Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Kama alikuwa hapendi hoja alikuwa anachukua uamuzi gani?unahisi alikuwa dictator wa chini kwa chini?
 
Nyerere alifanya mengi mazuri,lakini hakufanya mabaya???nahisi alikuwa mjeuri sana na mgumu wa kufanya naye kazi!!!kwa nini hakusikiliza maoni ya kambona na wenzake mpaka wakakimbia nchi??????????ni kwa nini walikimbia nchi!labda alitaka kuwaua??mbona hakumsikilza waziri wake wa fedha mtui????anghhhhh

Lipi moja zuri la nyerere? licha ya mengi.
 
Kama alikuwa hapendi hoja alikuwa anachukua uamuzi gani?unahisi alikuwa dictator wa chini kwa chini?
Si kwamba alikuwa hapendi hoja. Alikuwa hapendi watu wasioweza kujenga hoja na kutetea hoja zao. Alipenda sana hoja. Alipenda debates.
 
I'm sure he was a lovely bloke but saints? It's all nonsense.

If anything he is single handedly responsible of our currently rotten political elites who care about nothing but ripping us off.


Btw this Sainthood process will also involve a medieval ritual of exhuming the body of Mwalimu and put it on a view as part of the beatification process !


The current crop of politician were his making and the rotten system we have was engineered by him and now we are paying the price, our children are also paying the price and 3 more generations will pay the price of Nyerere's and his clones mis management of the country.[/B]
 
I have lived to understand Mwalimu as a person who was non responsive to ideas and thinking which is different from his own from among his people. He was quick to adopt things from outside and become rigid from home grown ideas and opinions. To be able to lead with this attitude he selected people in his leadership team who were passive with little ability of inovation or synthesis of ideas. Refer to the leaders He chose in various leadership positions in the government and the party....majority had remain in their positions for years because they were YES man and women. This country has the greatest weakness in Leadership and the reason takes us back to Mwalimu. He killed by his various actions independent thinking and innovation thus those who survived under his rule were the like of Late Kawawa RIP who once said that he cant recall a single decision that he made by himself. With respect a leader as much as he not a robot must at time decide and stand for his decision. It goes with the say that if two people think alike every time one of them is not thinking. People with that attitude remain in position of leadership and recruited as leaders their like.... Need I say more???
 
I'm sure he was a lovely bloke but saints? It's all nonsense.

If anything he is single handedly responsible of our currently rotten political elites who care about nothing but ripping us off.


Btw this Sainthood process will also involve a medieval ritual of exhuming the body of Mwalimu and put it on a view as part of the beatification process !


The current crop of politician were his making and the rotten system we have was engineered by him and now we are paying the price, our children are also paying the price and 3 more generations will pay the price of Nyerere's and his clones mis management of the country.[/B]
Slidingroof,
You are either misinformed or you are a misinformer. Firstly, Nyerere did not campaign for sainthood and I would go on a limb to say that had the idea been broached to him he would have been dead against it. Secondly, it is not a requirement to have one's body exhumed during the beautification process. Thirdly, the current crop of politicians, including Kikwete and Mkapa were nonbelievers of Nyerere's philosophy and that is why soon as he retired they started wearing western style suits. They were/are political opportunists and the evidence is in their perfomance. We Christians believe everyone should carry his own cross. Mkapa and Kikwete should be judged on their performances.
 
I have lived to understand Mwalimu as a person who was non responsive to ideas and thinking which is different from his own from among his people. He was quick to adopt things from outside and become rigid from home grown ideas and opinions. To be able to lead with this attitude he selected people in his leadership team who were passive with little ability of inovation or synthesis of ideas. Refer to the leaders He chose in various leadership positions in the government and the party....majority had remain in their positions for years because they were YES man and women. This country has the greatest weakness in Leadership and the reason takes us back to Mwalimu. He killed by his various actions independent thinking and innovation thus those who survived under his rule were the like of Late Kawawa RIP who once said that he cant recall a single decision that he made by himself. With respect a leader as much as he not a robot must at time decide and stand for his decision. It goes with the say that if two people think alike every time one of them is not thinking. People with that attitude remain in position of leadership and recruited as leaders their like.... Need I say more???
You cannot compare the calibre of leadership we had under Mwalimu with the calibre we have today. Jamal was no Rostum and Kawawa was no Lowassa.
 
If you pin down on Nyerere, you are bound to fail in any of your campaigns, be cautious. Nyerere was exceptional!
 
I'm sure he was a lovely bloke but saints? It's all nonsense.

If anything he is single handedly responsible of our currently rotten political elites who care about nothing but ripping us off.


Btw this Sainthood process will also involve a medieval ritual of exhuming the body of Mwalimu and put it on a view as part of the beatification process !


The current crop of politician were his making and the rotten system we have was engineered by him and now we are paying the price, our children are also paying the price and 3 more generations will pay the price of Nyerere's and his clones mis management of the country.[/B]
Crying, complaining, gossips, looking for excuses, not struggling, not tapping available opportunities,and Divorcing our norms and values. Who is behind mining contracts, richmond, epa, kagoda, mismanagement of the economy? Mkuu, start living!!
 
Whatever you say about Mwalimu Nyerere, he will standstill as Tanzania Father of The Nation! He is the Hero of our time! I rember one day in Mbeya during May day speech, he pazzled "...katika kila awamu ya utawala kuna mazuri na mabaya (makosa) yanafanyika, tusifanye makosa kwani sisi malaika! Ni wajibu wa awamu inayo ingia kuchukua mazuri na kuacha mabaya-AJABU NINYI MNAACHA MAZURI MNACHUKUA MABAYA (huku akimuangalia Basil Mramba)..!

Mwalimu knew and regret that he did mistake during his regime and he expected Mwinyi will correct all mistakes, but neither Mwinyi nor Mkapa or Kikwete did what Mwalimu expected! They did not even accept and regret what they have done to Tanzanians. To me Mwl. is the HERO!
 
Bure kabisa! Yaani ni hamnazo! Unapindapinda tu kumuelezea Mwl! Nyerere unamjua unamsikia!? Julius is exeptional!

So you are proud of who, Sarkozy I guess, Tatizo la miafrika haijitambui, kazi kukaririshwa tu! Brainwashed!
 
Haambiliki, hivi kwanini aliitwa hivyo?

Sababu ni nyingi tu lakini kubwa ni kutetea maslahi ya Tanzania na Watanzania. Kwa mfano alipopewa masharti na IMF na WB katika kile kichoitwa Economic Reforms na kumtaka afukuze Wafanyakazi wengi sana katika mashirika ya umma na Serikali na kisha kushusha thamani ya shilingi alikataa kufanya hivyo ili kulinda maslahi ya watanzania ambao wengi wao hawakuwa na mitaji ya kuanzisha biashara kama wangefukuzwa kazi na pia kushusha kwa thamani ya shilingi yetu athari yake ilikuwa ni kuongezeka kwa gharama kubwa za maisha kwa Watanzania.
 
Alipowaponda baadhi ya watu kugombea uongozi wa taifa watu wengi walimwona kama mzee aliyepitwa na wakati ambaye alikuwa anajaribu kutumia umaaruffu wake kuweka mtu ambaye watu waliona kama ni kuwachagulia kiongozi. Aliweza kufanikiwa kupendekeza mtu ambaye hatimaye alikuja kuwa kiongozi wa taifa hili. Baada ya muda kidogo huyu kiongozi alionyesha kwa luwango kikubwa kwamba alikuwa kiongozi makini na kwa namna nyingi alifanikisha mipango mingi ya maendeleo. Leo nchi ina barabara zinazopitika mwaka mzima na mengine mengi mazuri ingawa naye alikuwa na mabaya yake. Baada ya kipindi chake mr Ben kwisha wametokea wengine na kwa bahati mbaya wengi wao walikataliwa nayena matokeo yake tumeyaona wote. Kashfa zimekuwa nyingi na mambo mengi yanaenda mrama.
Tukubali kitu kimoja hapa kwamba Nyerere alikuwa more advanced kuliko wakati wetu yaani alikuwa ni mtu wa future wakati siye tulikuwa
 
Alipowaponda baadhi ya watu kugombea uongozi wa taifa watu wengi walimwona kama mzee aliyepitwa na wakati ambaye alikuwa anajaribu kutumia umaaruffu wake kuweka mtu ambaye watu waliona kama ni kuwachagulia kiongozi. Aliweza kufanikiwa kupendekeza mtu ambaye hatimaye alikuja kuwa kiongozi wa taifa hili. Baada ya muda kidogo huyu kiongozi alionyesha kwa luwango kikubwa kwamba alikuwa kiongozi makini na kwa namna nyingi alifanikisha mipango mingi ya maendeleo. Leo nchi ina barabara zinazopitika mwaka mzima na mengine mengi mazuri ingawa naye alikuwa na mabaya yake. Baada ya kipindi chake mr Ben kwisha wametokea wengine na kwa bahati mbaya wengi wao walikataliwa nayena matokeo yake tumeyaona wote. Kashfa zimekuwa nyingi na mambo mengi yanaenda mrama.
Tukubali kitu kimoja hapa kwamba Nyerere alikuwa more advanced kuliko wakati wetu yaani alikuwa ni mtu wa future wakati siye tulikuwa

Nyerere alikuwa puppet.Hakuwa genius.Waliokuwa wanamtumia ndio waliokuwa genius!
 
Back
Top Bottom