Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

nyerere.jpg

Wengi wanaongea mengi mabaya juu ya Nyerere, ila ninachofahamu tu ni kwamba Nyerere alikuwa na kichwa kizuri, na hata mataifa mbalimbali duniani yanajua juu ya ukweli huo. Akiongea kitu hata mataifa makubwa yalikuna vichwa.
Alikuwa mtetezi wa wanyonge na katu hakunyamazia dhuluma dhidi ya raia.
Aliweka ardhi kuwa mali ya wananchi na kuwa na kauli nayo tofauti na leo.
Alianzisha utaratibu wa malipo ya watumishi serikalini kupunguzwa kwa wale wenye vyeo zaidi ya moja ili kuwa na uwiano wa mapato.
Na yeye akiwa mfano si kwa kuonyesha utendaji kwa kuwanyooshea vidole wengine ila maisha yake ni kielelezo fika.
 
Nashangaa vijana wengi kuwa na tafsiri mbaya juu ya Nyerere, papo hapo wazee wengi waliofanya kazi na Nyerere wakimwenzi kwa hali ya juu. Kuna watu aliofanya kazi nao kwa karibu na washauri wake wakuu hatusikii wakiongea habari mbaya juu ya nyerere ila wanasifia utendaji wake.
Watu hao kama:
  1. [*=1]Edwin Mtei
    [*=1]Pfr. Mbele
    [*=1]Cleupa Msuya.
Naweza kuwanukuru watu hawa kama ifuatavyo.
  • Edwin Mtei mwanzilishi wa Chadema utakuta itikadi za chadema ni zile itikadi za Nyerere, na Nyerere mwenyewe alishawahi kusema kipindi cha uhai wake kati ya waanzilishi wa vyama vya upinzani Edwin ni makini na anamfahami kwa kufanya naye kazi.
  • Profesa Mbele amekuwa mtetezi wa wazi wa utendaji wa Nyerere kwenye uandishi na mitandao mbalimbali.
  • Cleupa Msuya muda kidogo uliopita aliwahi kusema enzi za utawala wa Nyerere yeye akiwa waziri mkuu kosa kidogo tu upo nje, hakuvumilia uovu kamwe.
Kwa mtazamo wangu vijana tuwe na subira na kusoma ideology ya Nyerere na kuielewa badala ya kuanza kumkashifu tu kwa kusikia bila kujua undani wa maisha, utendaji na falsafa yake ya maisha.
 
Nashangaa vijana wengi kuwa na tafsiri mbaya juu ya Nyerere, papo hapo wazee wengi waliofanya kazi na Nyerere wakimwenzi kwa hali ya juu. Kuna watu aliofanya kazi nao kwa karibu na washauri wake wakuu hatusikii wakiongea habari mbaya juu ya nyerere ila wanasifia utendaji wake.
Watu hao kama:
  1. [*=1]Edwin Mtei
    [*=1]Pfr. Mbele
    [*=1]Cleupa Msuya.
Naweza kuwanukuru watu hawa kama ifuatavyo.
  • Edwin Mtei mwanzilishi wa Chadema utakuta itikadi za chadema ni zile itikadi za Nyerere, na Nyerere mwenyewe alishawahi kusema kipindi cha uhai wake kati ya waanzilishi wa vyama vya upinzani Edwin ni makini na anamfahami kwa kufanya naye kazi.
  • Profesa Mbele amekuwa mtetezi wa wazi wa utendaji wa Nyerere kwenye uandishi na mitandao mbalimbali.
  • Cleupa Msuya muda kidogo uliopita aliwahi kusema enzi za utawala wa Nyerere yeye akiwa waziri mkuu kosa kidogo tu upo nje, hakuvumilia uovu kamwe.
Kwa mtazamo wangu vijana tuwe na subira na kusoma ideology ya Nyerere na kuielewa badala ya kuanza kumkashifu tu kwa kusikia bila kujua undani wa maisha, utendaji na falsafa yake ya maisha.

Mbona ni too late kuisoma hiyo ideology ya Ujamaa kwa sababu IMESHAFELI tayari, na ushahidi unoana huu Umaskini, Rushwa, nk. tuliokuwa nao sasa hivi.
 
Mbona ni too late kuisoma hiyo ideology ya Ujamaa kwa sababu IMESHAFELI tayari, na ushahidi unoana huu Umaskini, Rushwa, nk. tuliokuwa nao sasa hivi.

Unaweza kuonyesha ujamaa ulivyoshindwa? Jaribu kuleta dondoo za kushindwa ujamaa hapa tuzijadili
 
Wengi, wanaomkashifu nyerere ni muslims. Hapa kitambo kulikuwa na mjadala wa kiislamu, mama yangu, nyerere alitukanika, cha kushangaza wakawasifu sana kikwete na mwinyi kwa uongozi wao uliotukuka. Nilisikitika sana na nilifikia maamuz ya kuasi kwa sabab ya viongoz feki wanaojali matumbo yao. Ni dhahiri walitumwa kufanya kazi hiyo.
 
Kama ujamsoma Mwalimu na kumjua kwa undani wake utakuwa mwepesi kuangusha bonge la lawama,lakini ukimsoma na kuvaa viatu vyake vya kutamani kuona kila kiumbe hapa duniani bila kujali rangi,kabila au dini anaishi kwa furaha na amani.Hizo ndio ndoto za Mwalimu,japo kwa wepesi hatuwezi kufanana wote kwa kila kitu basi kila mmoja alizike katika kugawana hiyo keki ya Taifa kila mmoja kwa kiwango chake.

Basi kwa yule anaekula keki alithike kwa kiwango chake,sawa na yule anaekula mkate ama kitumbua kwa kiwango chake.Sio mwingine anamwaga maini kwenye jalala huku mwenzie ajui leo atakula nini leo.Huo sio mapango wa mungu.
 
Kama ujamsoma Mwalimu na kumjua kwa undani wake utakuwa mwepesi kuangusha bonge la lawama,lakini ukimsoma na kuvaa viatu vyake vya kutamani kuona kila kiumbe hapa duniani bila kujali rangi,kabila au dini anaishi kwa furaha na amani.Hizo ndio ndoto za Mwalimu,japo kwa wepesi hatuwezi kufanana wote kwa kila kitu basi kila mmoja alizike katika kugawana hiyo keki ya Taifa kila mmoja kwa kiwango chake.

Basi kwa yule anaekula keki alithike kwa kiwango chake,sawa na yule anaekula mkate ama kitumbua kwa kiwango chake.Sio mwingine anamwaga maini kwenye jalala huku mwenzie ajui leo atakula nini leo.Huo sio mapango wa mungu.

Nakubaliana na hoja hiyo kwa vile wengi wanaomkashifu Nyerere hawaonyeshi mema yaliyotokana na utawala wake ila ni kuona upande mbaya tu hii ni kasoro kubwa katika uchambuzi juu ya mtu.

Ninachoona hapa wengi wanaokashifu Nyerere ni itikadi za kibaguzi zaidi kwa misingi ya rangi, dini nk na wengi wawanaokashifu ni wale wa mlengo wa kibepari, na bepari hata siku moja hakubaliana na dhana ya kugawana rasilimazi zetu ila kuhodhi.
 
Wengi, wanaomkashifu nyerere ni muslims. Hapa kitambo kulikuwa na mjadala wa kiislamu, mama yangu, nyerere alitukanika, cha kushangaza wakawasifu sana kikwete na mwinyi kwa uongozi wao uliotukuka. Nilisikitika sana na nilifikia maamuz ya kuasi kwa sabab ya viongoz feki wanaojali matumbo yao. Ni dhahiri walitumwa kufanya kazi hiyo.
Kwenye red. it is simple argument mkuu, kwa nini maeneo mengi ya muslims ni choka mbaya?
hawa ndo waliomweka nyerere katika ramani za kitaifa/kimataifa, ndio waliomtoa pale pugu alikokuwa akifundisha na wakampa ajira na mshahara. Na ngome kuu zilikuwa Tanga, Dar, Tabora na maeneo mengi yenye waislam wengi. Watu kama akina Sykes families walimlipa kwa kazi hiyo. Akina Dosa Aziz walijitolea magari yao ili nyerere apate kuzunguka nchi nzima na kuwafikia wananchi. Lakini alipoukwaa urais aliishia kuwafutilia mbali ikiwa ni pamoja na kuwafunga jela kama akina bibi Titi Mohamed. Halafu eti unasema waislam wamsifu. kwa lipi? kuwafunga? kuwanyima elimu? kuwafanya wawe masikini kupindukia kuliko hata kipindi cha mkoloni? You can't be seroius.
Hatumchukii nyerere kama nyerere (ndo maana hata waislam walimfuata pale pugu na kumuajiri) ila kwa matendo yake.
Ieleweke kuwa hakuna muislam mwenye shida na mkiristo kwani hawa ni majirani zetu na wengine ni ndugu zetu wadumu kabisa. Na pia hakujapatapo kuishi waislam pekee kwenye hii dunia kipindi cha mtume (SAW). Mtume aliishi na watu wadini zingine ikiwepo ukiristo, uyahudi na kimila na wala haikuwa tatizo. Suala la iman ni la mtu binafsi kwenye qur'an tunaambiwa hakuna kulazimishana kwenye dili. Mark my words.
 
Mazoezi ya kijeshi na khanga mie hoi!

Kinachonipiga chini ni jinsi watu walivyokuwa rahisi ku-organise. Halafu hiyo mitambo ya kijeshi kama isingekula fedha hivyo si nchi ingekuwa tajiri (au tungeenda pigana Msumbiji tena!
 
nyerere.jpg

Mengi wanayosema na kuyaamini wa-Tanzania kumhusu Mwalimu Nyerere ni
majungu. Hayo nimeyafahamu kwa muda mrefu. Ni wajibu wetu kuandika habari sahihi kuhusu Mwalimu Nyerere kama ilivyo kwa masuala mengine yoyote. Nami, kwa kuanzia, nimechapisha kitabu kiitwacho CHANGAMOTO, ambamo, pamoja na mengine yote, kuna makala na dondoo mbali mbali kuhusu Mwalimu Nyerere.

Kati ya majungu ambayo yanavuma sana ni kwamba Mwalimu Nyerere hatimaye alikiri kuwa Ujamaa umeshindwa. Madai haya yanasikika vijiweni, na nimewahi kuyaona kwenye maandishi pia, kama vile blogu, na gazeti la
An Nuur, ambamo kauli alizozitoa Mwalimu Nyerere katika mahojiano na CNN zimenukuliwa, lakini sio kwa usahihi.

Ninavyojua, Mwalimu Nyerere hakuwahi kusema kuwa Ujamaa umeshindwa. Ninajiamini kabisa kwa hilo. Napenda kutangaza kuwa yeyote atakayeleta ushahidi kuthibitisha kuwa Mwalimu Nyerere alikiri kuwa Ujamaa umeshindwa aulete ushahidi huu hapa kwenye blogu yangu. Ikidhihirika kuwa ushahidi umetolewa, nitampelekea mhusika dola 100 kama kifuta jasho na shukrani yangu, kwani atakuwa amenielimisha kwa jambo ambalo sikulijua. Ninathamini sana elimu.

Tangu nilipoanzisha blogu hii, nilitamka kuwa shughuli yake mojawapo itakuwa ni
kumwenzi Mwalimu Nyerere. Kuyaanika hadharani majungu dhidi ya Mwalimu Nyerere ni sehemu ya kazi hiyo. Naanza na majungu niliyoyataja hapa juu. Kazi kwenu. Imeandikwa na Profesa Mbele, hapakwetu.blogspot.com
 
nyerere.jpg

Mengi wanayosema na kuyaamini wa-Tanzania kumhusu Mwalimu Nyerere ni
majungu. Hayo nimeyafahamu kwa muda mrefu. Ni wajibu wetu kuandika habari sahihi kuhusu Mwalimu Nyerere kama ilivyo kwa masuala mengine yoyote. Nami, kwa kuanzia, nimechapisha kitabu kiitwacho CHANGAMOTO, ambamo, pamoja na mengine yote, kuna makala na dondoo mbali mbali kuhusu Mwalimu Nyerere.

Kati ya majungu ambayo yanavuma sana ni kwamba Mwalimu Nyerere hatimaye alikiri kuwa Ujamaa umeshindwa. Madai haya yanasikika vijiweni, na nimewahi kuyaona kwenye maandishi pia, kama vile blogu, na gazeti la
An Nuur, ambamo kauli alizozitoa Mwalimu Nyerere katika mahojiano na CNN zimenukuliwa, lakini sio kwa usahihi.

Ninavyojua, Mwalimu Nyerere hakuwahi kusema kuwa Ujamaa umeshindwa. Ninajiamini kabisa kwa hilo. Napenda kutangaza kuwa yeyote atakayeleta ushahidi kuthibitisha kuwa Mwalimu Nyerere alikiri kuwa Ujamaa umeshindwa aulete ushahidi huu hapa kwenye blogu yangu. Ikidhihirika kuwa ushahidi umetolewa, nitampelekea mhusika dola 100 kama kifuta jasho na shukrani yangu, kwani atakuwa amenielimisha kwa jambo ambalo sikulijua. Ninathamini sana elimu.

Tangu nilipoanzisha blogu hii, nilitamka kuwa shughuli yake mojawapo itakuwa ni
kumwenzi Mwalimu Nyerere. Kuyaanika hadharani majungu dhidi ya Mwalimu Nyerere ni sehemu ya kazi hiyo. Naanza na majungu niliyoyataja hapa juu. Kazi kwenu. Imeandikwa na Profesa Mbele, hapakwetu.blogspot.com
saafi ndugu yangu
 
Kwenye red. it is simple argument mkuu, kwa nini maeneo mengi ya muslims ni choka mbaya?
hawa ndo waliomweka nyerere katika ramani za kitaifa/kimataifa, ndio waliomtoa pale pugu alikokuwa akifundisha na wakampa ajira na mshahara. Na ngome kuu zilikuwa Tanga, Dar, Tabora na maeneo mengi yenye waislam wengi. Watu kama akina Sykes families walimlipa kwa kazi hiyo. Akina Dosa Aziz walijitolea magari yao ili nyerere apate kuzunguka nchi nzima na kuwafikia wananchi. Lakini alipoukwaa urais aliishia kuwafutilia mbali ikiwa ni pamoja na kuwafunga jela kama akina bibi Titi Mohamed. Halafu eti unasema waislam wamsifu. kwa lipi? kuwafunga? kuwanyima elimu? kuwafanya wawe masikini kupindukia kuliko hata kipindi cha mkoloni? You can't be seroius.
Hatumchukii nyerere kama nyerere (ndo maana hata waislam walimfuata pale pugu na kumuajiri) ila kwa matendo yake.
Ieleweke kuwa hakuna muislam mwenye shida na mkiristo kwani hawa ni majirani zetu na wengine ni ndugu zetu wadumu kabisa. Na pia hakujapatapo kuishi waislam pekee kwenye hii dunia kipindi cha mtume (SAW). Mtume aliishi na watu wadini zingine ikiwepo ukiristo, uyahudi na kimila na wala haikuwa tatizo. Suala la iman ni la mtu binafsi kwenye qur'an tunaambiwa hakuna kulazimishana kwenye dili. Mark my words.

Udini kando kwanza, tujadili utaifa vinginevyo watu wataumia nyongo bila sababu wakati mzee wetui Nyerere anastarehe ahera.
 
Kwenye red. it is simple argument mkuu, kwa nini maeneo mengi ya muslims ni choka mbaya?<br>
hawa ndo waliomweka nyerere katika ramani za kitaifa/kimataifa, ndio waliomtoa pale pugu alikokuwa akifundisha na wakampa ajira na mshahara. Na ngome kuu zilikuwa Tanga, Dar, Tabora na maeneo mengi yenye waislam wengi. Watu kama akina Sykes families walimlipa kwa kazi hiyo. Akina Dosa Aziz walijitolea magari yao ili nyerere apate kuzunguka nchi nzima na kuwafikia wananchi. Lakini alipoukwaa urais aliishia kuwafutilia mbali ikiwa ni pamoja na kuwafunga jela kama akina bibi Titi Mohamed. Halafu eti unasema waislam wamsifu. kwa lipi? kuwafunga? kuwanyima elimu? kuwafanya wawe masikini kupindukia kuliko hata kipindi cha mkoloni? You can't be seroius.<br>
Hatumchukii nyerere kama nyerere (ndo maana hata waislam walimfuata pale pugu na kumuajiri) ila kwa matendo yake.<br>
Ieleweke kuwa hakuna muislam mwenye shida na mkiristo kwani hawa ni majirani zetu na wengine ni ndugu zetu wadumu kabisa. Na pia hakujapatapo kuishi waislam pekee kwenye hii dunia kipindi cha mtume (SAW). Mtume aliishi na watu wadini zingine ikiwepo ukiristo, uyahudi na kimila na wala haikuwa tatizo. Suala la iman ni la mtu binafsi kwenye qur'an tunaambiwa hakuna kulazimishana kwenye dili. Mark my words.
<br><br>

Udini kando kwanza, tujadili utaifa vinginevyo watu wataumia nyongo bila sababu wakati mzee wetui Nyerere anastarehe ahera.
 
WATU WENGINE SIJUI TUNA FIKRA GANI, KWANI MWALIMU ALIPOJENGA TANZANIA NA IMEFIKA WAKATI SASA TANZANIA ALIYOJENGA INAHITAJI
MAREKEBISHO, HIVI HAPO KUNA HOJA GANI YA KUMLAUMU? KWA SABABU ALIJENGA WAKATI ULE HATUKUWEPO!!! SASA LEO TUPO TUMEONA MAREKEBISHO YANAHITAJIKA BASI TUANZIE HAPO. ALISHAWAHI KUSEMA, "ubaya wenu mnachukua yale mabaya mazuri mnayaacha"
 
Nyerere alikuwa puppet.Hakuwa genius.Waliokuwa wanamtumia ndio waliokuwa genius!
Mkuu unasema Kambarage alikuwa PUPPET? repeate PUPPET! Wakati mwingine siyo vizuri kutoa matamshi kama unguided MISSILE, je una ushaidi wa kuthibitisha kwamba Nyerere alikuwa anakuwa manipulated by any NATION, MORTAL hapa duniani? Jibu UNALO.
 
Back
Top Bottom