Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Heri hata wangekuwa wanajiambia: " Nyerere alikosea hili, ngoja mimi nijitahidi kusahihisha." Hapo angalau tungekuwa na mwelekeo. Lakini aliingia Mwinyi akaafanya vitu kivyakevyake, Mkapa naye kivyakevyake na Sasa Mwungana..... Tanzania bado ni kichwa cha mwendawazimu.
 
Mpaka leo wakuu wetu wanahangaika tu, wanalofanya hakuna labda generation ijayo ya watoto wetu, lakini mimi binafsi kwenye ya sasa nilisha kata tamaaa, kuwa hakuna uwezekano kabisaaa!
 
Jasusi, hii kwa namna moja inathibitisha ni jinsi gani Nyerere alikuwa na nguvu za kifikra kiasi kwamba miaka 22 baadaye wanashindwa kufikiri kwa kutumia vichwa yao wenyewe. Ukweli ni kuwa mbona Mwinyi aliweza kuliua azimio la arusha na Mwalimu mwenyewe alikuwa hai? Walipoanzisha mambo ya ubinafsishaji Nyerere si alikuwa hai na licha ya kupiga kelele waliendelea? Kama waliweza kufanya hayo wakati Mwalimu alikuwa hai ni nini kinawashinda leo kuweka maslahi ya Taifa mbele?

Hapana mkubwa. Mambo yalianza kwenda kinyume mwenyewe akiwa madarakani. Kulikuwepo na rushwa, mwendo wa kuruka, hujuma za uchumi na mambo kadhaa yeye akiwa madarakani.

Katika hotuba zake alitambua maadui watatu wakubwa. Ujinga, magonjwa na makazi. Na alitumia nguvu zake zote kupambana nazo. Lakini njia alizotumia zilituletea adui mwingine ambaye alikuwa mkubwa zaidi kuliko ujinga, magonjwa na makazi. Adui huyo ni MADENI yaliozidi uzalishaji wetu.

Mwinyi angeweza vipi kulinda azimio la Arusha au Nyerere angeweza vipi kumwambia Mwinyi kuwa Azimio la Arusha ni kitu bora sana duniani wakati hazina ina 85 Milioni na deni la bilioni 4 au 5 hivi?

Katika maisha ya sasa unapokuwa na madeni, mwenye sauti ni mwenye kukupa misaada au mwenye kukudai na sio KICHWA CHAKO.
 
Bin Maryamu, kuna nchi duniani ambazo sera za nyuma za nchi hiyo zilikuwa mbaya na viongozi wapya wakaingia na kubadilisha. Na yote yametokea katika kizazi chetu:

a. Uganda:
Nchi ya Uganda imepitia matatizo mengi, mapinduzi ya kijeshi, vita vya wenyewe kwa wenyewe na maamuzi mengine ya kibabe ya viongozi wake huko nyuma. Musevenni alipoingia madarakani 1986 aliikuta nchi imeporonyoka na majengo kadhaa hadi pale Kampala yalikuwa na matundu ya risasi! Ukifika maeneo ya Luwero (njia ya Bombo) kwenye msitu wa jirani mabaki ya watu waliouawa na final push ya 1986 yalikuwa yamezagaa. Ndani ya miaka 22 Uganda imeweza kufanya mabadiliko makubwa ya kiuchumi tena bila kubadilisha sana mfumo wake wa kisiasa. Waliingia na mfumo walioubuni wao wenyewe wakauita "Movement" ambapo NRA (baadaye NRM) ilikuwa ndiyo "chama tawala pekee" na kimsingi kilikuwa ni Udikteta wa kijeshi. Guess what, leo hii Waganda wanashukuru hatua ambazo Museveni alichukua mwanzoni ili kuliokoa Taifa lake. Leo hii wanatengeneza Uganda than ever before, leo hii Uganda wameanza kuchimba mafuta, wanatembea kwa nyuso za kkujiamini na waliokimbia wanarudi na waliobakia wanaendelea kubakia. Lakini kuna mambo ambayo Museveni hakuinama chini kukubali. Alimwacha Amin afie ugenini, na alimwacha Obote afie Ugenini ingawa alitumia hekima kuuleta mwili wake ulazwe nyumbani. Wao waliweza na hawakuwa wafungwa wa historia yao; iweje viongozi wetu washindwe?

b. Rwanda
Mfano huo tena ni mwingine mzuri. Historia ya nchi himaya ya Watutsi na kuvunjika kwa himaya hiyo na maumivu ya historia ya nchi hiyo yanaeleweka. Kuanzia mwishoni mwa miaka ya 1950 na mwanzoni mwa miaka ya sitini na baadaye hadi wakati wa mauaji ya ya 1994 Rwanda ilikuwa inaelekea kwenye kujiangamiza yenyewe kama Somalia. Akaingia Kagame, na yeye kama Museveni (a contemporary and a friend os his) akaingia madarakani. Akafanya maamuzi ambayo were uniquely Rwandan. Akapitia changamoto nyingi na akaongozwa na lile la roho ya Taifa. Walioasamehewa wakasemehewa ilioshindikana wanasota Arusha na kwenye mahakama zile za kijadi. Wao wenyewe wa Rwanda pamoja na historia yao ya machozi, dhuluma n.k wakaweza kukaa pamoja kama Taifa. Kuna ambao hawakuridhishwa na maamuzi ya Kagame huko mwanzoni lakini leo hii wanafurahia matnda ya maamuzi hayo. Na ilipo Rwanda sasa imeanza kung'aa duniani. Muda si mrefu watakuwa ni kituo cha teknolojia katika eneo letu!

Sisi hatujapigana, hatujuana, hatujawa na mapinduzi ya kijeshi n.k bado ati tunamlalamikia Nyerere; aidha sisi ni watu duni kabisa duniani kifikra au tumelaaniwa katika eneo letu. Vinginevyo hakuna jinsi nyingine ya kuelezea hali yetu. Kujaribu kutaja jina la Nyerere kuwa ndiyo chanzo cha matatizo yetu mtu ambaye aliiachia nchi miaka 22 iliyopita ni kututukana akili zetu. Lawama za hali yetu remains squarely on the people in power today! Period. Lazima tuwawajibishe viongozi wetu kwa makosa yao badala ya kuwatengenezea huu udhuru usio na mantiki (illogical excuse) kuwa Nyerere ndiye amesababisha tuingie mikataba ya kijinga, sheria mbovu, rushwa, n.k ! Mkiendelea hivi hata watoto wa watoto wetu wataendelea kumlalamikia Nyerere wakati majirani zetu wote wanayoyoma kimaendeleo. We got to stop this and hold the people in power accountable.

Kama huu ungekuwa mwaka 1985 basi hali ya Tanzania hadi mwaka huo ingekuwa moja kwa moja imefungamana na utawala wa Nyerere na lawama zote tungembebesha Nyerere, lakini miaka 22 baadaye kuendelea kumbebesha Nyerere ni kukubali uduni wa kifikra na hicho nakikataa na ndio maana naongoza mapambano haya ya kifikra kuwa hadi sisi wenyewe tubadilike, tujiamini kuwa tunaweza, tutambue kuwa tunastahili vitu vyema na tukubali nafasi yetu katika kujenga taifa tulitakalo. Vinginevyo, nyinyi wenzetu endeleeni kumlalamikia Nyerere mkifungwa na historia milele, wakati wengine kama vile Nabii Samson tunasimama katikati ya watawala wetu tukizitingisha nguzo za majengo yao na kumwomba Mungu kuwa atupe nguvu "just this time" ili waangushwe na kutokomea ili hatimaye viongozi wapya wasimame katika ardhi yetu!!
 
Bi Maryam
Ni kweli rushwa ilikuwepo wakati wa Mwalimu. Lakini hawa walijificha. Walijua mkuu wao akigundua watakiona cha mtema kuni. Hii ilibadilika wakati wa Mzee Ruksa. Rushwa na kujilimbikizia mali vikawa ndiyo modus operandi. Ikakithiri chini ya awamu ya tatu. Yeye alichukua 30% na kuwaambia mawaziri wake wachukue 10%. Hiyo ndiyo tofauti. Hili la madeni ni kweli tusingekubali kukopa. Charles Dickens, aliyeishi katika mwanzo wa karne ya 19 ameandika: "gifts have an inevitable tendency to pauparize the recepient." Tungeachana nayo kabisa tujitegemee.
 
Ndio maana naamini turudi kwenye mawazo ya kujitegemea na hasa kujitegemea kwa mawazo!
 
Bin Maryamu, kuna nchi duniani ambazo sera za nyuma za nchi hiyo zilikuwa mbaya na viongozi wapya wakaingia na kubadilisha. Na yote yametokea katika kizazi chetu:

a. Uganda:
Nchi ya Uganda imepitia matatizo mengi, mapinduzi ya kijeshi, vita vya wenyewe kwa wenyewe na maamuzi mengine ya kibabe ya viongozi wake huko nyuma. Musevenni alipoingia madarakani 1986 aliikuta nchi imeporonyoka na majengo kadhaa hadi pale Kampala yalikuwa na matundu ya risasi! Ukifika maeneo ya Luwero (njia ya Bombo) kwenye msitu wa jirani mabaki ya watu waliouawa na final push ya 1986 yalikuwa yamezagaa. Ndani ya miaka 22 Uganda imeweza kufanya mabadiliko makubwa ya kiuchumi tena bila kubadilisha sana mfumo wake wa kisiasa. Waliingia na mfumo walioubuni wao wenyewe wakauita "Movement" ambapo NRA (baadaye NRM) ilikuwa ndiyo "chama tawala pekee" na kimsingi kilikuwa ni Udikteta wa kijeshi. Guess what, leo hii Waganda wanashukuru hatua ambazo Museveni alichukua mwanzoni ili kuliokoa Taifa lake. Leo hii wanatengeneza Uganda than ever before, leo hii Uganda wameanza kuchimba mafuta, wanatembea kwa nyuso za kkujiamini na waliokimbia wanarudi na waliobakia wanaendelea kubakia. Lakini kuna mambo ambayo Museveni hakuinama chini kukubali. Alimwacha Amin afie ugenini, na alimwacha Obote afie Ugenini ingawa alitumia hekima kuuleta mwili wake ulazwe nyumbani. Wao waliweza na hawakuwa wafungwa wa historia yao; iweje viongozi wetu washindwe?

b. Rwanda
Mfano huo tena ni mwingine mzuri. Historia ya nchi himaya ya Watutsi na kuvunjika kwa himaya hiyo na maumivu ya historia ya nchi hiyo yanaeleweka. Kuanzia mwishoni mwa miaka ya 1950 na mwanzoni mwa miaka ya sitini na baadaye hadi wakati wa mauaji ya ya 1994 Rwanda ilikuwa inaelekea kwenye kujiangamiza yenyewe kama Somalia. Akaingia Kagame, na yeye kama Museveni (a contemporary and a friend os his) akaingia madarakani. Akafanya maamuzi ambayo were uniquely Rwandan. Akapitia changamoto nyingi na akaongozwa na lile la roho ya Taifa. Walioasamehewa wakasemehewa ilioshindikana wanasota Arusha na kwenye mahakama zile za kijadi. Wao wenyewe wa Rwanda pamoja na historia yao ya machozi, dhuluma n.k wakaweza kukaa pamoja kama Taifa. Kuna ambao hawakuridhishwa na maamuzi ya Kagame huko mwanzoni lakini leo hii wanafurahia matnda ya maamuzi hayo. Na ilipo Rwanda sasa imeanza kung'aa duniani. Muda si mrefu watakuwa ni kituo cha teknolojia katika eneo letu!

Sisi hatujapigana, hatujuana, hatujawa na mapinduzi ya kijeshi n.k bado ati tunamlalamikia Nyerere; aidha sisi ni watu duni kabisa duniani kifikra au tumelaaniwa katika eneo letu. Vinginevyo hakuna jinsi nyingine ya kuelezea hali yetu. Kujaribu kutaja jina la Nyerere kuwa ndiyo chanzo cha matatizo yetu mtu ambaye aliiachia nchi miaka 22 iliyopita ni kututukana akili zetu. Lawama za hali yetu remains squarely on the people in power today! Period. Lazima tuwawajibishe viongozi wetu kwa makosa yao badala ya kuwatengenezea huu udhuru usio na mantiki (illogical excuse) kuwa Nyerere ndiye amesababisha tuingie mikataba ya kijinga, sheria mbovu, rushwa, n.k ! Mkiendelea hivi hata watoto wa watoto wetu wataendelea kumlalamikia Nyerere wakati majirani zetu wote wanayoyoma kimaendeleo. We got to stop this and hold the people in power accountable.

Kama huu ungekuwa mwaka 1985 basi hali ya Tanzania hadi mwaka huo ingekuwa moja kwa moja imefungamana na utawala wa Nyerere na lawama zote tungembebesha Nyerere, lakini miaka 22 baadaye kuendelea kumbebesha Nyerere ni kukubali uduni wa kifikra na hicho nakikataa na ndio maana naongoza mapambano haya ya kifikra kuwa hadi sisi wenyewe tubadilike, tujiamini kuwa tunaweza, tutambue kuwa tunastahili vitu vyema na tukubali nafasi yetu katika kujenga taifa tulitakalo. Vinginevyo, nyinyi wenzetu endeleeni kumlalamikia Nyerere mkifungwa na historia milele, wakati wengine kama vile Nabii Samson tunasimama katikati ya watawala wetu tukizitingisha nguzo za majengo yao na kumwomba Mungu kuwa atupe nguvu "just this time" ili waangushwe na kutokomea ili hatimaye viongozi wapya wasimame katika ardhi yetu!!

Sasa angalau umeleta mifano yenye nguvu na ambayo itajibu kile tunachozungumza hapa.

Pilika zote za vita vya Uganda ilikuwa ni kumrudisha Obote madarakani. Lakini Museveni hakuona umuhimu wa kurudisha old guards madarakani. Na Nyerere alimuita Museveni MROHO WA MADARAKA.

Na Obote aliporudi madarakani alifanya yale yale aliyofanya zamani (OLD HABIT DIE HARD) na kuongezea mengine aliyojifunza Tanzania kulazimisha watu kuanzisha vijiji. Matokeo yake mambo hayakuwa mazuri na vita vya wenyewe vikaendelea mpaka pale Museveni alipochukua nchi. Museveni alikuja na framework mpya ya mawazo ambayo ilibadilisha muundo mzima wa kiserikali kwa kuanzia na katiba na kuleta watu wake wapya kuendesha nchi.

Kagame vile vile alipochukua nchi, cha kwanza ni kubadilisha nchi na alianzia na katiba na kuendelea na mambo mengine ya kiuchumi na kuleta sura mpya kuendesha uchumi.

Mabadiliko ya kisiasa katika nchi za Ulaya mashariki yalipofanyika, kitu cha kwanza ilikuwa ni kuvunja vyama vya kijamaa, kubadilisha katiba na kuleta sura mpya kuendesha nchi.

Kwa upande wa Tanzania, mabadiliko hayakubadilisha muundo wa serikali, kasoro ya katiba ya chama kimoja na hayakuleta sura mpya katika ngazi zote za utawala.

Muundo wa chama kimoja ulikuwa na maana ya kudumisha amani na kuleta umoja. Lakini miongoni mwa athari zake ni kuwa na kundi la viongozi walioacha taaluma zao na kujiingiza ndani ya chama kupata ULAJI. Kikwete alisomea uchumi lakini hakufanya kazi za kiuchumi.

Watu hawa hawana jipya na utendaji wao wa kazi ni sawa na waliyofanya miaka 30 iliyopita. Nyerere aliaga dunia miaka 8 iliyopita lakini muundo wa serikali na watendaji wake bado wamo madarakani.

Kitu cha kuwafanya hawa watu waondoke madarakani haraka na kuleta mabadiliko yasio na EXCUSE ZA NYERERE ni kutumia ya KAGAME au MUSEVENI walichotumia - MTUTU wa bunduki. Hivyo usilete mifano ya Museveni na Kagame kama hauko tayari kushika mtutu wa bunduki kwa jinsi unavyopenda amani.

Mwaka 1995, kulikuwa na uwezekano mkubwa wa mabadiliko ya muundo mzima wa serikali na katiba nchi nzima. Yazilipoonyeshwa Video za mauaji ya Rwanda, watu wakataa mabadiliko.

Kama hatutaki mabadiliko ya mtutu wa bunduki au kutumia nafasi chache zinazopatikana kuchagua sura mpya basi itabidi tusubiri mabadiliko ya vizazi kwani kundi lililopo madarakani litaendelea kuzeeka na kufa.
 
Bi Maryam
Ni kweli rushwa ilikuwepo wakati wa Mwalimu. Lakini hawa walijificha. Walijua mkuu wao akigundua watakiona cha mtema kuni. Hii ilibadilika wakati wa Mzee Ruksa. Rushwa na kujilimbikizia mali vikawa ndiyo modus operandi. Ikakithiri chini ya awamu ya tatu. Yeye alichukua 30% na kuwaambia mawaziri wake wachukue 10%. Hiyo ndiyo tofauti. Hili la madeni ni kweli tusingekubali kukopa. Charles Dickens, aliyeishi katika mwanzo wa karne ya 19 ameandika: "gifts have an inevitable tendency to pauparize the recepient." Tungeachana nayo kabisa tujitegemee.

There is no BI Maryam in this forum.
 
Ndio maana naamini turudi kwenye mawazo ya kujitegemea na hasa kujitegemea kwa mawazo!

Kurudi kwenye mawazo ya kujitegemea nakubaliana na wewe. Na haya ndio maisha ya mwafrika toka enzi zilizopita.

Waliopo Marekani wanaelewa ugumu wa mtu aliyetegemea misaada ya serikali kwenye projects kuachana na misaada hiyo.

Tanzania toka ijiingize kwenye kundi la nchi inayotegemea misaada imekuwa ni vigumu kujitoa.
 
nilichelewa hii thread. ninaungana na wanaosema kuwa nyerere alikuwa dictator. ingawa ni uhuru wa mawazo, ila bado ninasikitika kuona watu bado wana mawazo zandiki.

mimi ninakumbuka pale kagera enzi za uhujumu uchumi namna baba yangu alivyolazimishwa kumwaga sukari yake mto kagera magunia matatu, na baadhi ya vizaa vingine. pia ninakumbuka magari yake mawili yalivyo tiwa moto kwa lengo hilohilo, na nyumba yako kuchukuliwa na serikali pale bukoba mjini- karibu na tumaini shule ya msingi. ila nikastaajabu mkapa kutangaza nyumba zote zilizotaifishwa kulejeshwa kwa wenye navyo. baba aliikataa kuifatilia sababu tayari ilishakuwa chafu na kuu kuu.

eti kafanya mengi kwa ajili ya nchi!!! hata mwizi akiiba mara moja atatiwa hatiani hata kafanya mengi kwa ajili ya watu. babu seya kafanya mengi ila katiwa hatiani tu na kosa moja. Zumma angekutwa na hatia angetiwa ndani hata kama alishaifanyia mengi inchi yake, Idd amini kafanya mengi sana kwa ajili ya inchi yake hata kuwapa maduka ya waindi ila bado anaitwa dictator,

mwanakijiji nisaidie, hivi kuna mtu Ujerumani anyesifiwa kama HITLER KWA WAJERUMANI. ila bado anaitwa dictator.

Mimi bado ninamwona huyu kaka kama dictator hata kama kaifanyia chi yake mazuri.
 
Hebu someni hii article...Janga la ugonjwa wa fikra na Uporwaji wa Rasilimali za Taifa
ENZI NA KUMBUKUMBU KWA JK NYERERE
kwenye link hii🙁http://www.duniahai.com/articles.html)
Sioni kama kuna anayeweza kuona the same..and I am sure fikra za JK Nyerere bado ni very very valid kwa ukombozi wa uchumi wa Tz ukiondoa makosa madogo madogo ya kibinadamu. Respect to him!!

Hasa article: Afya ya fikra kwa mtanzania mpya
 
nilichelewa hii thread. ninaungana na wanaosema kuwa nyerere alikuwa dictator. ingawa ni uhuru wa mawazo, ila bado ninasikitika kuona watu bado wana mawazo zandiki.

mimi ninakumbuka pale kagera enzi za uhujumu uchumi namna baba yangu alivyolazimishwa kumwaga sukari yake mto kagera magunia matatu, na baadhi ya vizaa vingine. pia ninakumbuka magari yake mawili yalivyo tiwa moto kwa lengo hilohilo, na nyumba yako kuchukuliwa na serikali pale bukoba mjini- karibu na tumaini shule ya msingi. ila nikastaajabu mkapa kutangaza nyumba zote zilizotaifishwa kulejeshwa kwa wenye navyo. baba aliikataa kuifatilia sababu tayari ilishakuwa chafu na kuu kuu.

eti kafanya mengi kwa ajili ya nchi!!! hata mwizi akiiba mara moja atatiwa hatiani hata kafanya mengi kwa ajili ya watu. babu seya kafanya mengi ila katiwa hatiani tu na kosa moja. Zumma angekutwa na hatia angetiwa ndani hata kama alishaifanyia mengi inchi yake, Idd amini kafanya mengi sana kwa ajili ya inchi yake hata kuwapa maduka ya waindi ila bado anaitwa dictator,

mwanakijiji nisaidie, hivi kuna mtu Ujerumani anyesifiwa kama HITLER KWA WAJERUMANI. ila bado anaitwa dictator.

Mimi bado ninamwona huyu kaka kama dictator hata kama kaifanyia chi yake mazuri.

Sasa wewe unamuita dikteta kwa sababu baba alinyang'anywa nyumba.. well it is personal to you. Can't argue with that. Ila kumuweka Nyerere na kundi la HItler ni jaribio dhaifu kwa sababu unachotuambia ni upande wa familia yako na hakuna mtu anayebisha. Sasa akitokea mtu mwingine ambaye aliweza kupatiwa elimu, makazi ya maana, afya n.k chini ya utawala wa Nyerere akimuita Nyerere shujaa itakuwaje? Ndiyo maana neno Dikteta lina maana yake halisi.
 
Hebu someni hii article...Janga la ugonjwa wa fikra na Uporwaji wa Rasilimali za Taifa
ENZI NA KUMBUKUMBU KWA JK NYERERE
kwenye link hii🙁http://www.duniahai.com/articles.html)
Sioni kama kuna anayeweza kuona the same..and I am sure fikra za JK Nyerere bado ni very very valid kwa ukombozi wa uchumi wa Tz ukiondoa makosa madogo madogo ya kibinadamu. Respect to him!!

Hasa article: Afya ya fikra kwa mtanzania mpya

Nyerere katika maswali ya uchumi WAS VERY BEHIND na hiyo ni fact. Na mtu aliyoandika hiyo anamnukuu Ibrahim Kadumu.

Kadumu alikuwa ni Mwenyekiti wa mamlaka ya mkonge. Na Kama ndugu Kaduma anajua umuhimu wa kumkomboa mtanzania kifikra na kiuchumi kama Nyerere alivyotaka, je alifanya juhudi gani wakati akiwa mwenyekiti wa mamlaka ya mkonge zaidi ya kuzungaka na magari?

Inasikitisha kuona viongozi ambao walipewa nafasi na Mwalimu na walishindwa kutumia nafasi zao kuliletea taifa manufaa, bado wanataka kutueleza nini mwalimu alitaka.

Wanachoshindwa kuelewa ni kuwa alichosema Mwalimu yalikuwemo kwenye mitaala yetu ya shule kuanzia darasa la tatu kwenda mbele. Na hakuna sababu kurudia rudia.
 
Sasa wewe unamuita dikteta kwa sababu baba alinyang'anywa nyumba.. well it is personal to you. Can't argue with that. Ila kumuweka Nyerere na kundi la HItler ni jaribio dhaifu kwa sababu unachotuambia ni upande wa familia yako na hakuna mtu anayebisha. Sasa akitokea mtu mwingine ambaye aliweza kupatiwa elimu, makazi ya maana, afya n.k chini ya utawala wa Nyerere akimuita Nyerere shujaa itakuwaje? Ndiyo maana neno Dikteta lina maana yake halisi.

Hiyo sio personal. Tanzania inatafuta wawekezaji katika kila fani. Watu wote walijitahidi kuwekeza katika kipindi kile walikuwa wanarudishwa nyuma.

Katika kipindi cha zaidi ya miaka 20 mtu angemiliki mali zake mwenyewe je angefika wapi?
 
Quote: Azimio Jipya
Hebu someni hii article...Janga la ugonjwa wa fikra na Uporwaji wa Rasilimali za Taifa
ENZI NA KUMBUKUMBU KWA JK NYERERE kwenye link hiihttp://www.duniahai.com/articles.html)
Sioni kama kuna anayeweza kuona the same..and I am sure fikra za JK Nyerere bado ni very very valid kwa ukombozi wa uchumi wa Tz ukiondoa makosa madogo madogo ya kibinadamu. Respect to him!!

Hasa article: Afya ya fikra kwa mtanzania mpya


Nyerere katika maswali ya uchumi WAS VERY BEHIND na hiyo ni fact. Na mtu aliyoandika hiyo anamnukuu Ibrahim Kadumu.

Kadumu alikuwa ni Mwenyekiti wa mamlaka ya mkonge. Na Kama ndugu Kaduma anajua umuhimu wa kumkomboa mtanzania kifikra na kiuchumi kama Nyerere alivyotaka, je alifanya juhudi gani wakati akiwa mwenyekiti wa mamlaka ya mkonge zaidi ya kuzungaka na magari?

Inasikitisha kuona viongozi ambao walipewa nafasi na Mwalimu na walishindwa kutumia nafasi zao kuliletea taifa manufaa, bado wanataka kutueleza nini mwalimu alitaka.

Wanachoshindwa kuelewa ni kuwa alichosema Mwalimu yalikuwemo kwenye mitaala yetu ya shule kuanzia darasa la tatu kwenda mbele. Na hakuna sababu kurudia rudia.

Bin Maryam. I hope you r doing the disxn with some degree of objectivity. Maana inaonekana You r reacting to the whole issue of Jk Nyerere with resentment. you know what? it has been proven that..kama unareact kwenye "issue" soon you become its mirror emage of what you r reacting..Yaani you will soon look like a dictator, hata kweli kam sio hivyo. with reaction we can not make any meaningfull disxn. Kwanza inaaminika tuna react blindly na umasikini wetu ndio maana tunadidimia ...kwa kila jitihada tunayofanya.Viongozi wetu wanakuripuka juu juu tu..na kila mara wanaishia kuungana na upande wa adui. Bila kutulia na kunagalia swala la tatizo la Uchumi wa Taifa letu OBJECTIVELY wimbo utakuwa the same. A lot of efforts .... kuja kugundua kua tulikuwa secretly and unknowingly tulikuwa tunamsuport adui.N aadui anajua huu mchezo..anatka tuchemke kihisia..then huna ujanja Ata Kuhypnotise tu..hata kama wewe ni Mkapa..au Karamagi!!! You will definetly Brain washed!! Utajikuta unakosa muelekeo!! Utayumba na kutapatapa!! Hufikiri wa Tz Tumefikishwa hapo kwa sasa?
 
Quote: Azimio Jipya
Hebu someni hii article...Janga la ugonjwa wa fikra na Uporwaji wa Rasilimali za Taifa
ENZI NA KUMBUKUMBU KWA JK NYERERE kwenye link )
Sioni kama kuna anayeweza kuona the same..and I am sure fikra za JK Nyerere bado ni very very valid kwa ukombozi wa uchumi wa Tz ukiondoa makosa madogo madogo ya kibinadamu. Respect to him!!

Hasa article: Afya ya fikra kwa mtanzania mpya




Bin Maryam. I hope you r doing the disxn with some degree of objectivity. Maana inaonekana You r reacting to the whole issue of Jk Nyerere with resentment. you know what? it has been proven that..kama unareact kwenye "issue" soon you become its mirror emage of what you r reacting..Yaani you will soon look like a dictator, hata kweli kam sio hivyo. with reaction we can not make any meaningfull disxn. Kwanza inaaminika tuna react blindly na umasikini wetu ndio maana tunadidimia ...kwa kila jitihada tunayofanya.Viongozi wetu wanakuripuka juu juu tu..na kila mara wanaishia kuungana na upande wa adui. Bila kutulia na kunagalia swala la tatizo la Uchumi wa Taifa letu OBJECTIVELY wimbo utakuwa the same. A lot of efforts .... kuja kugundua kua tulikuwa secretly and unknowingly tulikuwa tunamsuport adui.N aadui anajua huu mchezo..anatka tuchemke kihisia..then huna ujanja Ata Kuhypnotise tu..hata kama wewe ni Mkapa..au Karamagi!!! You will definetly Brain washed!! Utajikuta unakosa muelekeo!! Utayumba na kutapatapa!! Hufikiri wa Tz Tumefikishwa hapo kwa sasa?

Unachoongea hapa akiingii akilini mwangu. Inaonyesha toka somo la siasa liachwe kufundishwa mashuleni, kuna watu mmekosa kazi au majukwaa ya kuzungumza.

Nimesoma article hiyo na nimeona nini ndugu Kaduma alichosema. Ukweli unabakia palepale walipata nafasi na kuvurunda BIG TIME.

Kama unavurunda SUCK IT AND MOVE ON.

Na hayo masuala ya kuwa kuna maadui achana nayo, huo UVUNDO. Tanzania haina maadui, kilichopo ni watanzania kushindwa kutumia nafasi zao katika masuala ya uchumi na kuwafanya wengine wa-TAKE ADVANTAGE.

Sasa hivi kuna wakezaji kutoka Botswana, Kenya na nchi nyingine wanaokuja kuwekeza Tanzania. Hawa tulikuwa nao katika kundi moja na wanapokuja Tanzania hawaji kutoa huduma za jamii. Wanakuja kuchuma faida. Na kama kila anayekuja kuchuma faida Tanzania utamuona kama maadui, basi itabidi ujiandee vizuri sana kwani hata wale ndugu zako uliowasaidia kupata uhuru kwa kumwaga damu wako tayari na mirija yao kukunyonya.

Na kweli hiyo article mmevurunda. Mnauliza "Ni nani ajitokeze atuonyeshe njia ya kweli ya ukombozi?" Sijuhi mnashindwa kutofautisha dini, siasa na uchumi.

Ukombozi wa namna gani mnaotaka? Mnatafuta dikteta sasa. Huyo mkombozi akija, atalazimisha watu kufuata njia yake.
 
Mwakilishi,

I was trying to Lexis-Nexis that article lakini mimi nilifikiri ilikuwa sixties, can someone establish the date tulimwage hapa maana kila kitu kipo mtandaoni.

Siyo hili la March 13 1964?

1101640313_400.jpg


[media]http://img.timeinc.net/time/magazine/archive/covers/1964/1101640313_400.jpg[/media]

Pundit,

Siyo hilo mkuu, nakumbuka distinctly nikiwa primary school miaka ya 79/80 hivi madingi wakawa wananong'ona hiyo issue home...
 
Watanzania kuwa mbumbumbu kunaweza kuthibitishwa.Kuna member katoa kuwa 75% hawajui nini kinachoendelea na wale 25% nao wanaangukia katika parameter za kuangalia au usindikizaji na wale wenye kufanya mambo yakatendeka.
 
Back
Top Bottom