Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Dr WHO: I cant agree anymore with your last piece. It is a truism that one of the critical failures of Mwalimu was the failure to groom leaders. Of course, we also know that he was not a good dad. In other words he was a bad parent. It is 100% true also that our leaders today are a product of mwalimu. Even the lack of inquisitiveness and criticism and the massive zombieness and docileness among us (Tanzanians) are his product and making.

Nevertheless, as I sad earlier, he had good intentions even though these might have not been translated into good deeds.
 
DrWHo wrote:
2-UDINI hili ni moja kati ya sensitive issues amabzo wengi wanakuwa emotional kuliaddress bila kuangalia evidence zilizowasilishwa..mfano kuwa popular belief among muslims Tanzania kuwa serikali ya Mwalimu JK iliwaweka chini strategically na matokeo yake ni kuondoka kwa religious Harmony especially kati ya Waislam na Wakatoliki sasa Mwalimu kwa kweli hili alifeli kuliaddress na matokeo yake lilikuja kuwa addressed na bwana JK mkapa..je mnasemaje (Please hiii sio topic ya dini bali ni je Nyerere anamkono katika hili?

Ingawa ni kweli kuwa baadhi ya mawaziri wa Nyerere kama vile Mkapa na Msuya walitokana na wanafunzi wake wa kule Pugu na St marys, na hivyo walikuwa wakristo, ukweli ni kuwa mawaziri na mabalozi wengi wa Nyerere walikuwa ni waislamu kuliko wakristo kwa jumla; kwa bahati mbaya waislamu wachache wanaotumia udini katika siasa wamekuwa wapuuza ukweli huu kwa kutumia data za kubabaisha tu.


Kumbuka kuwa katika maisha yake yote Nyerere hakuwahi kuwa na makamu wa rais mkristo: Kawawa, Karume, Jumbe, na Mwinyi wote ni waislamu. Mzee Mwinyi mwenyewe alitengenezwa kisiasa na Nyerere huyo huyo, kuanzia wizara ya mambo ya ndani. Katika uteuzi wa mawaziri wake Nyerere alikuwa akishuriana na Mzee Thabit Kombo (Mungu aiweke roho yake pema peponi): je ina maana mzee huyo naye alikuwa akipendelea wakatoliki? Ilishangaza kuwa Mwinyi na Kighoma malima waliopewa madaraka na Nyerere walikuja kuwa wa kwanzakwanza kutangaza siasa za udini baada ya Nyerere kustaafu.

Vilvile Nyerere alikuwa akihakikisha kuwa hata wahindi wanakuwa represented, Al-Noor Kassum, Amil Jamal ni mifano michache ya Wahindi waliokuwa kwenye Wizara za Nyerere pamoja na uchache wao katika nchi. Nitakapopata nafasi nitafanyia utafiti wa kina kuorodhesha mawaziri wote wa nyerere tangu 1961 mpaka 1985 na dini zao ili kumaliza uzushi huu.

Hii religious harmony unayosema hapa pia sikuelewi una maana gani. Wakati wa Nyerere hakukuwa na hotuba za hadharani za kutukana na kukashifu dini za watu wengine; ina fact mimi nilikulia katika mazingira ya uislamu pale Tabora nakumbuka kuwa nilikuwa nathaminiwa kama mtoto wa jirani, kiasi kuwa hata wakati wa futari nilikuwa najumuishwa na watowtot wengine wa kiislamu bila kujali dini yangu. marafiki zangu 80% walikuwa ni waislamu. Kwa jumla religious harmony ilikuwa kubwa sana wakati wa Nyerere. Baada ya mwinyi kuingia madarakani , ndipo vurugu za kidini zaikaanza. Mpaka leo hii watu hatuamaniniani tena kwa misingi ya kidini; religious harmony ilipotea kabisa mara baada ya Mwinyi kupanga pale Ikulu.

Kwenye swala la religious harmony, Nyerere did an axellenet job. After all baada ya uhuru shule nyingi zilikuwa za kikristo, Nyerere alizitaifisha na kuruhusu watoto wote wasome bila kujali dini zao. Mwinyi alipofika alifanya kama agenda ya kuhimiza ujenzi wa shule za kiislamu na hivyo automatically kuruhusu kuwepo tena kwa shule nyingi zenye kufuata mfumo wa kidini; hili ni tatizo kubwa sana kwa vile badala ya watoto kufundishwa kuependana, wamekuwa wanaanza kufundishwa kuchukiana kwa misingi ya dini wakati wangali wadogo sana. Ni kama watoto wa kiarabu wanavyfundishwa kuwachukia waisrael tangu wangali wanayonya.

Ukilinganisha Mheshimiwa Mwingi na Mzee Nyerere utaangalia kabisa wazi kuwa Nyerere built a more stable religious harmony than Mwinyi. Nyerere alifuta kasumba ya dini katika jamii wakati Mwinyi ali-sensitize dini katika jamii.

Kuweni wakweli katika kumlaumu Nyerere hasa leo hii baada ya miaka 20 tangu atoke madarakani kwa hiari yake.
 
Tanzania is boring na hakuna Mtanzania anaitwa DrWHO ndiyo maana huyu kijana atabakai kuwa whoooooooooo kila mara kwa kuwa hajui historia na asemalo. Namuunga mkoni Kichuguu na sasa nakuita kijimlima na Tibwili na Mandera kazi njema sana . Kuna watu hawakusoma historia na hawaijui Tanzania ndiyo maana wao wanaongekea siasa Uingereza tu na wamebatibwa kwa majina ya wazungu kama DrWHO hawezi kujua thamani na umuhimu wa Mwalimu katika siku na maisha yake na sasa hivi tunavyo ishi .Pole sana Mganga Whoo
 
Ahsanteni nyote kwa kuanza kuchangia mada hii ambayo ilionekana imezirwa. Niliahidi ningesema bali ninaona wengi mmesema.

Waswahili pia husema "Apendae, chongo huita kengeza" na hizi methali hazipo kwenye lugha bure tu.
 
Hakuna asiejuwa kuwa Nyerere was a great leader. Kinachokataliwa ni huu u-mungu mtu anaopewa na baadhi yetu. Kama binaadamu ana mapungufu, ambayo hayakuweza kusemwa during his time (hilo peke yake ni pungufu .. he couldn't stand criticism!).

Dr.Who, mimi ntachangia hayo manne ya mwanzo:

Muungano: Well, ni wazi kuwa huu Muungano uliharakishwa mno kiasi uko shaghala baghala.. hauleweki. Na kuuhoji ilikuwa ni dhambi. Kuna theory nyingi behind why Muungano came into being .. and in such a rush. Zaidi ya zile sababu tulizomezeshwa tukiwa shule (mojawapo eti ni urafiki wa karibu kati ya Nyerere na Karume!), kuna waandishi kama Amrit Wilson walioandika kuwa Muungano ulikuja kwa pressure from the west. Read US foreign policy and revolution: the creation of Tanzania. By Amrit Wilson. Waandishi wengine kama Ali Muhsin are of similar opinion. I think it is high time huu Muungano tuuweke sawa, otherwise pande zote mbili zina malalamiko yake.

Udini: Aaaah, waheshimiwa wanabisha sana humu .. lakini ukweli ni kuwa udini alikuwa nao. Apart from kelele nyiiingi za waislamu za kila siku, the matter is well documented by both christians and muslims. Read: The life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968). The untold story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika. 1998, By Mohamed Said Na Kanisa Katoliki na siasa ya Tanzania bara 1953 hadi 1985 by John C Sivalon among others. Ameshawahi kunukuliwa akisema kuwa "I want to give the church a better chance in Tanzania" .. may be he did, that's why they want to make him a Catholic Saint!

Uchumi - kwa hili alifeli. Full stop.

Military adventures: Nadhani in most cases alikuwa na nia njema, labda ni sehemu ya dreams zake za umoja wa kiafrika, hata hivyo kiuchumi hizi adventures zilituumiza watanzania. Kwa kuwa kuna mchangiaji ametaja vita vya uganda.. napenda niseme tu kuwa kuna wenye maoni tofauti. Kuna wanaodai kuwa Idi Amin hakutuvamia kamwe! Ni sababu tu ziliundwa undwa kumuondoa. Kuna wakati gazeti la Rai lilianzisha huu mjadala.. zilimiminika barua nyingi kutoka kwa watanzania in favour of this view.. na details kibao mpaka Jenerali ulimwengu akaamua kuufunga isije ikaleta tabu! Halafu what was the point kumuondoa Amin na kumuweka more or less similar dictator like Obote? Mbona 'rafiki' yake Karume alivyokuwa akifanya madudu alikuwa akimuachia?

Kitabu kingine
The Dark Side Of Nyerere's Legacy, By Ludovick. S. Mwijage kipo hapa:
http://www.zanzinet.org/files/darkside.txt
Or download the word document:
http://www.zanzinet.org/files/Darkside.doc

Pamoja na yote hayo .. I would like to stress kuwa Mwalimu was a great and legendary leader. Along with umoja, mshikamano, amani na utulivu, aliijengea nchi heshima kubwa duniani. My uncle tells me when he was studying in the US Nyerere came and gave a speech ... a great speech.. Jimmy Carter was seen for the first time taking notes when another president is speaking. The next day, magazeti yalimsifu sana... eti mojawapo likaconclude kwamba "He is only black in colour, all the blood in him is white"!

The guy was great ... but can't be perfect, just like any human being.
 
Ninadhani wale ambao hawajasoma vitabu hivi vilivyotajwa hapa ni bora wangefanya hivyo kabla ya kurukia kujibu kijinga.

Kulikoni said:
Muungano: Read US foreign policy and revolution: the creation of Tanzania. By Amrit Wilson. Waandishi wengine kama Ali Muhsin are of similar opinion.

Udini: ukweli ni kuwa udini alikuwa nao. Read: The life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968). The untold story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika. 1998, By Mohamed Said Na Kanisa Katoliki na siasa ya Tanzania bara 1953 hadi 1985 by John C Sivalon among others. Ameshawahi kunukuliwa akisema kuwa "I want to give the church a better chance in Tanzania" .. may be he did, that's why they want to make him a Catholic Saint!

Uchumi - kwa hili alifeli. Full stop.


Kitabu kingine
The Dark Side Of Nyerere’s Legacy, By Ludovick. S. Mwijage kipo hapa:
http://www.zanzinet.org/files/darkside.txt
Or download the word document:
http://www.zanzinet.org/files/Darkside.doc


.
 
Failures za Nyerere kiuchumi hasa baada ya kuvuruga watu na vijiji vya ujamaa na amashirika ya Umma zinajulikana na wala sina ubsishi nazo. Hata hivyo hakuna anayeweza kuprove kuwa failure hizi zilisababishwa na tamaa ya kujirimbikizia utajiri kama ilivyotokea wakati wa tawala za waliomrithi. Ni failure zilzotokana na mazingira ya wakati huo, ingawa nia yake ilikuwa njema.

Swala nisilokubaliana nalo kabisa ni pale ndugu wa Kiislamu waliochochezwa na Kighoma Malima chini ya utawala wa Mwinyi wanapoanza kumbeza Nyerere kuwa aliendesha nchi kufuata misingi ya dini. Ukweli wa wazi kabsia ni kwamba Nyerere angeendekeza dini, shule nyingi nzuri nzuri zingebaki za wakristo tu na hata hospitali kubwa zote nchini zenye huduma nzuri zingebaki za wakristo tu. nakumbuka Kighoma Malima alipewa scholarship na Nyerere kwenda kusoma wakati akiwa katibu mtendaji wa TANU, halafu baada ya Mwinyi kuwa madarakani ndiye alikuwa wa kwanza kutangaza sera za udini; upuuzi kabisa huo.
 
Mimi ninampenda sana Mwalim yanapokuja mambo ya ubinadam. Alimfanya Mtanzania ajiamini kama binadamu na yeye hakulimbikiza mali wala hakutaka kulimbikiza. Kwa hili ninamvulia kofia, na ninamuheshimu sana. Bali kigezo kikubwa cha Kiongozi wa nchi ni ufanisi wa watu wake kiuchumi. Hapa Mwalm JKN alifeli ndio maana hata huko kujiamini walikonako Watanzania leo hii ni kwa nadharia tu, kwani pita uone jinsi wageni wanavyonyenyekewa na kuaminiwa zaidi ya Watanzania katika kuendesha nyenzo za uchumi wa nchi yetu. kwa hiyo by inference Mwalim alifeli pia kuwafanya Watanzania wajiamini.

Mimi huwa ninakwepa kuongelea mambo ya udini wa Nyerere. Lakini niseme tu kuwa amani iliyopo Tanzania leo hii si kutokana na Mwalim Nyerere, lahasha, Tanzania ni nchi ya amani kwa sababu ya Waislam - wamekuwa wavumilivu mno. Laiti waliyotendewa Waislam wangetendewa Wakristo nchi ingelivurugika siku nyingi sana, amin usiamini. Mitaachia hapa kwani nilikwishasema kuwa hili nisingelipenda kuliongelea zaidi.
 
Nyerere angekuwa mdini asinge-nationalize shule binafsi ili hao wanaolalamika kuwa waLInyimwa elimu waipate bure na wala asingemuachia nchi "kilaza" Ali Hassan Mwinyi.

Halafu Kifimbo angekuwa hai asingeruhusu huu upuuzi wa JK na kundi lake la mafia wanamtandao wafanye majaribio ya uongozi.

Finally,Julius kama mwanadamu mwingine alikuwa na strengths na weaknesses zake.Hakuwa malaika,na milele hakutakuwa na kiongozi malaika.Nadhani hakuna wakati ambao tunamhitaji Mwalimu kama huu tulionao sasa ambao watu wameigeuza Ikulu kuwa maabara ya sera zao mufilisi.Hate him or love him,he still remains the Father of The Nation,na wale waliozimia na kulia siku alipokufa hawakuwa vichaa bali walijua kiama kitachofuatia baada ya kuondoka mzee huyo (na kiama chenyewe ndio hiki kinachoanza kuja kwa kasi)
 
mwanasiasa said:
Dr WHO: I cant agree anymore with your last piece. It is a truism that one of the critical failures of Mwalimu was the failure to groom leaders. Of course, we also know that he was not a good dad. In other words he was a bad parent. It is 100% true also that our leaders today are a product of mwalimu. Even the lack of inquisitiveness and criticism and the massive zombieness and docileness among us (Tanzanians) are his product and making.

Nevertheless, as I sad earlier, he had good intentions even though these might have not been translated into good deeds.


Now this brings us to a wider question of LEADERSHIP which is the main VOID in Tanzania. now the next question would be WHERE DO WE GO FROM HERE? surely we cant go back to UJAMAA and NYERERISM But still, just because we find ourself where we are today(economically) due to his mis calculations does not mean those who are elected to power should not have a vision and common sense.

My main arguement for bringing this debate is because Tanzania seem unable to make the switch from a Commodity based economy to one that is focused on manufacturing base economy simply because "MWALIMU ASINGEKUBALI HILI" etc etc

Look at Malaysia for instance. It has several ethnic groups that were bundled together by the colonialist, yet their prime minister who was MWALIMU's friend Dr. Mahathir Mohammed had a vision. Look at where Malaysia is today. Due to Mahathir's vision, today Malaysia is a leader in the Semiconductor industry, with a large Chemical processing industry. Furthermore it is now becoming a leader in the electronics industry, automobile manufacturing, textiles, and raw material processing. All this happening despite corruption taking place. Now how comes that our leaders in Tanzania have not done what the Prime Minister of Malaysia has done?

Malaysia successfully developed from a commodity-based economy to one focused on manufacturing. Today the Government of Malaysia seeks to make the leap to a knowledge-based economy. At independence, Malaysia inherited an economy dominated by two commodities--rubber and tin. In the 40 years thereafter, Malaysia's economic record had been one of Asia's best

Ohh lets not forget now they got smarter and have managed to fool our so called leaders in signing contracts without reading small prints...I am talking about IPTL contract of course
 
DrWHO,
Your comparison of Mwalimu and Mahathir is misplaced. Mwalimu should rightfully be compared to Tunku Abdul Rahman Putra. They both fought colonialism and helped realise independence for their respective countries.

They both set out to build an identity for their nations.

Mahathir was the third leader of Malaysia. So he should compare with Mwinyi or Mkapa at best. Mwalimu inherited a backward underdeveloped Tanganyika. Our economy was basically agrarian. The majority of our people rural, sick and uneducated. He set out to educate us. There was not a single manufacturing industry in Tanganyika. The British made sure there would be no industries to compete with their industries in Kenya. Tanganyika was the first market for Kenyan made goods.

For educating us, and contrinbuting to the liberation struggle Mwalimu was laying a foundation for a Mahathir in Tanzania. But the leaders that followed: Mwinyi and Mkapa, kila mtu aliamua kufanya vitu kivyake vyake tu.
 
Jizaledo said:
Ninadhani wale ambao hawajasoma vitabu hivi vilivyotajwa hapa ni bora wangefanya hivyo kabla ya kurukia kujibu kijinga.

Kuna vitabu vingi vinavyoonyesha kuwa haya madai ni ya uwongo. Wewe google Nyerere utapata taarifa kamili, siyo kuorodhesha vitabu vitatu vilivyoandikwa na kwa lengo la kupotosha ukweli. Kwa hiyo siyo vizuri kutumia vitabu vichache tu kutoa conclusion za kijinga kama hizi wakati kuna vitabu vingi vinavyoonyesha kinyume. Kwanza kabisa ni vizuri kuthibitisha credibility ya kila author; hawa wote hawawezi kupasi credibility test kwa vile siyo independent: wote ni waislamu ingawa wengine wametumia pen-names za kikristo. Kinachoshangaza ni kwamba baadhi yao wamesomeshwa bure na serikali ya Nyerere tangu vidudu hadi walikoweza kufikia kielimu. Namfahamu jamaa mmoja pale chuo kikuu ambaye alisoma bure kabisa kupitia serikali ya nyerere hadi chuo kikuu na kuwa mwalimu pale mlimani halafu naye baada kupewa fungu la fedha kutoka shirika moja la kuendeleza dini ya kiislam kutoka Iran akadai ya kuwa waislamu walizuiwa kupata elimu; dunia hii kumbe kuna watu wapuuzi kupindukia.

Kudai kuwa Nyerere alipiga vita uislamu ili kukuza ukatoliki ni kudhihaki dini nyingine kama vile hazi-exist; yaani ni kudai kuwa Tanzani ni ya waislamu na wakatoliki tu. Kama mwandishi anakubali kuwa kuna dini nyingine zaidi ya hizo kwa nini asizungumzie jinsi nyerere alivyonyasa dini hizo pia kwa kunufaisha ukatoliki. Kwa nini hatujasikia dini nyingine yoyote ikilalamika kuwa Nyerere aliwanyanyasa zaidi ya waislamu. Madai haya ya kutumia dini ya kiisalamu kuwa inanyaswa na viongozi wasiokuwa waislamu ndiyo yaliyo vichwani mwa magaidi wengi kama akina Osama bin Laden, ni tatizo kubwa katika jamii ambapo wasilamu hawaridhiki katika kuongozwa na mtu asiye muislamu, lazima watafute kisingizio cha kunyanyaswa, na ni tatizo lililoanza na kukua sana miaka ya themanini tu hasa baada ya mapinduzi ya Irani na vita ya Afghanistani.
 
Jasusi said:
DrWHO,
Your comparison of Mwalimu and Mahathir is misplaced. Mwalimu should rightfully be compared to Tunku Abdul Rahman Putra. They both fought colonialism and helped realise independence for their respective countries. They both set out to build an identity for their nations. Mahathir was the third leader of Malaysia. So he should compare with Mwinyi or Mkapa at best. Mwalimu inherited a backward underdeveloped Tanganyika. Our economy was basically agrarian. The majority of our people rural, sick and uneducated. He set out to educate us. There was not a single manufacturing industry in Tanganyika. The British made sure there would be industries to compete with their industries in Kenya. Tanganyika was the first marked for Kenyan made goods. For educating us, and contrinbuting to the liberation struggle Mwalimu was laying a foundation for a Mahathir in Tanzania. But the leaders that followed: Mwinyi and Mkapa, kila mtu aliamua kufanya vitu kivyake vyake tu.

Jasusi

There you are.

100% Co/signed
 
Watanzania hadi mtakapo fikia hatua ya Waisrael toka utumwani misri ndipo mtajua kwamba Mwalimu alikuwa Mzalendo na mpenda Tanzania zaidi na watanzania wake .Ni bidii naupendo wale marehemu mwalimu umewapa nafasi ya kusoma na kuandika hapa lakini mtayajua haya baadaye wacha siku ziende mtajionea.
 
Kichuguu,

Ninadhani unaositahili kugombana nao ni hao walioandika hivyo vitabu alivyovighorodhesha Kulikoni nami nikavirudia kuwatahadharisha watu wasirukie kujibu tu bila ya kuvisoma, kuvielewa na kuvichambuwa. Wewe huonekani umefanya lolote la haya niliyoshauri.

Kama kuna vitabu vinavyoonyesha madai hayo ni ya uongo basi na wewe cha kufanya ni kuvighorodhesha hivyo unavyodai vimepinga hayo. Na unapodai waandishi ni waislamu waliojibadilisha majina ndipo unaponitowa nje kabisa kwani siuuone ushahidi wowote wa madai yako hayo zaidi yakuropoka ovyo.

Hapa ninaona umeanzisha mengine ya kuhusu kusomeshwa na serikali ya Nyerere. Usichotaka kuelewa ni kuwa ni haki ya kila mwananchi kusomeshwa na taifa hadi kufikia kiwango cha upeo wa uelewa wake na nchi ndiyo inayomsomesha mwananchi kupitia serikali iliyopo iwe ya Nyerere iwe ya nani. Pia ni vigumu kupima ufanisi kwenye hili kwani hakukuwa na serikali mbili za kupambanisha wala hakukuwa na uhuru wakubadilisha serikali ili kuona ni serikali ya Nyerere au ya mwengine ambayo ilisomesha watu vema. Kwa mantiki hiyo Mwalim Nyerere hakutowa hata senti tano yake moja mfukoni kusomesha watu, zilizotusomesha ni kodi na nguvu za wazazi wetu. Ningependa ujirekebisha hapa kwanza. Pili wewe hata uelewi watu walisoma vipi enzi zile za mwanzo wa uhuru hivyo huwezi ukajadili hili ila inabidi unyamaze kimya uelezwe. Kwa ufahamisho tulilipa karo hadi 1965 na ni wazazi wetu ndio waliotakiwa kulipa karo Middle school za sh 100 kwa mwaka. Pia tulilipa ada za Shg 960 kwa mwaka kwenye shule za sekondari za serikali za kulala na Sh 480 kwa mwaka kwenye zile za kushinda na hizi zilikuwa ni pesa nyingi kwa wakati ule kiasi ambacho wanafunzi wengi wenye vipaji walikatishwa masomo kwa kukosa ada. Uchagani mfumo wa Ushirika wa Kilimanjaro ulitumika kuwalipia vijana wengi wa Kichaga ada pamoja na kuwasomesha nje ndio maana wengi wakaibukia kuwa na elimu wakati ule kulinganisha na wale wa makabila mengine. Hata hili lilikera na mfumo huu ukasambaratishwa pamoja na umangi wao.

Baadaye elimu hiyo ilikuja tolewa “bure” lakini na hili nalo likawa nongwa. Ukimaliza chuo kikuu kama daktari au mhandisi mshahara wako ulikuwa ni Shg 1865 kwa mwezi na ole wako uambulie BA wewe ulilipwa Sh 1060 tu kwa mwezi lakini ulihesabiwa kama "kiongozi" ili usipate mwanya wa kufanya hata kibiashara cha kuuza maziwa ya mtindi ili ujiongezee kipato. Wakati hizo Sh 1060 za BA yako zilikupa hadhi ya kuwa “kiongozi” ambaye hakuruhusiwa hata kufuga kuku wa kienyeji kwa biashara, wafanya biashara wanaoingiza faida ya zaidi ya Sh 1000 kwa siku bado hawakuwa viongozi na wangeweza kufanya biashara yeyote waliyotaka sambamba na zile za serikali za kuanzia kuuza chumvi. Sasa usawa ulikuwa wapi hapa.

Na kama hilo la kuwekewa ngumu kujiendeleza kiuchumi kwa njia halali halikutosha, elimu hiyo ya bure ilikutaka ukatwe 60% ya mshahara wako kuchangia JKT na ujiulize katika hali ya maisha ya Tanzania na majukumu ya ndugu na wazazi waliokusomesha na waliotarajia msaada kutoka kwako ungeishiji. Hata hivyo ndugu zako hawakuwa na ruhusa kukutembelea kuomba msaada kwani katika macho ya Nyerere wakifanya hivyo walikuwa kupe. Wakati huo huo State house ilijaa ndugu na jamaa wa Nyerere na hata watoto wa swaib wake Chief Makongoro.

Wewe Kichuguu usilazimishe tuseme mengi; si vizuri.

kichuguu said:
Kuna vitabu vingi vinavyoonyesha kuwa haya madai ni ya uwongo. Wewe google Nyerere utapata taarifa kamili, siyo kuorodhesha vitabu vitatu vilivyoandikwa na kwa lengo la kupotosha ukweli. Kwa hiyo siyo vizuri kutumia vitabu vichache tu kutoa conclusion za kijinga kama hizi wakati kuna vitabu vingi vinavyoonyesha kinyume. Kwanza kabisa ni vizuri kuthibitisha credibility ya kila author; hawa wote hawawezi kupasi credibility test kwa vile siyo independent: wote ni waislamu ingawa wengine wametumia pen-names za kikristo. Kinachoshangaza ni kwamba baadhi yao wamesomeshwa bure na serikali ya Nyerere tangu vidudu hadi walikoweza kufikia kielimu. Namfahamu jamaa mmoja pale chuo kikuu ambaye alisoma bure kabisa kupitia serikali ya nyerere hadi chuo kikuu na kuwa mwalimu pale mlimani halafu naye baada kupewa fungu la fedha kutoka shirika moja la kuendeleza dini ya kiislam kutoka Iran akadai ya kuwa waislamu walizuiwa kupata elimu; dunia hii kumbe kuna watu wapuuzi kupindukia.

Kudai kuwa Nyerere alipiga vita uislamu ili kukuza ukatoliki ni kudhihaki dini nyingine kama vile hazi-exist; yaani ni kudai kuwa Tanzani ni ya waislamu na wakatoliki tu. Kama mwandishi anakubali kuwa kuna dini nyingine zaidi ya hizo kwa nini asizungumzie jinsi nyerere alivyonyasa dini hizo pia kwa kunufaisha ukatoliki. Kwa nini hatujasikia dini nyingine yoyote ikilalamika kuwa Nyerere aliwanyanyasa zaidi ya waislamu. Madai haya ya kutumia dini ya kiisalamu kuwa inanyaswa na viongozi wasiokuwa waislamu ndiyo yaliyo vichwani mwa magaidi wengi kama akina Osama bin Laden, ni tatizo kubwa katika jamii ambapo wasilamu hawaridhiki katika kuongozwa na mtu asiye muislamu, lazima watafute kisingizio cha kunyanyaswa, na ni tatizo lililoanza na kukua sana miaka ya themanini tu hasa baada ya mapinduzi ya Irani na vita ya Afghanistani.
 
Jizalendo

Nadhani tumalize mjadala huu kwa vile inaelekea hautatufikisha popote. Nependa tu ujue kuwa mimi sipendi watu wanaofanya jambo lolote linalovuruga utaifa wetu. Hapa ninapoishi kuna wakimbizi wengi sana kutoka sehemu mbalimbali za Afrika hasa Rwanda, Burundi, Sudani, Somalia, Kongo, na Liberia. Wote wanasifia utaifa wetu ambao wao hawana. Vile vile niko sensitive na topic hii ya udini kwa vile iliwahi kutishia amani pale Tanzania mwanzoni mwa miaka ya tisini. Niliifanyia utafiti wa kina na nikagundua kuwa kampeinaz wa udini hawakuwa wakweli bali wengi wao walikuwa na hoja zao binafsi, hivyo walikuwa wakitumia data za uongo ili kuhalalisha hoja zao. Leo hii ni zaidi ya miaka kumi tangu topic hii ilipoanzishwa na professor Malima pamoja na watu wake; na inanikera sana kuwa bado kuna wandesha kampein hii.

Baada ya hapo napenda kukujibu tu kuwa:

(a) Mimi sina udini na wala siyo mkatoliki kama ulivyohisi kupitia thread nyingine. Utetezi wangu kwa Nyerere ni kutokana kufuatilia hili swala kwa karibu sana kwa kipindi cha zaidi ya miaka mitano kuanzi 1990-1996. Mimi kwetu ni Tabora mjini na mtaani wetu tumezungukwa na waislamu pande zote; ni familia yetu tu ndiyo ya wakristo (Moravian) hapo. Mazingira hayo ndiyo yaliyonifanya niifuatilie topic hiyo kwa karibu sana. Tunajua madhaifu mengi ya Nyerere na yameandikwa sehemu nyingi tu na wala hujaona nikiyapinga. Lakini hili la kusema Nyerere hakujali utaifa bali aliendekeza udini ni jambo ambalo siyo kweli kabisa na ndiyo maana nimepiga kelele nyingi hizo. Vitabu vilivyotajwa vyote niliwahi kuvisoma pamoja na vingevyo; author mmojawapo hakuwa ametoa identity yake sawasawa, ndiyo maana nilihisi alikuwa labda alikuwa anaficha dini yake kwa vile mada ya kitabu ilikuwa ni dini; inawezekana hisia yangu haikuwa saihihi. Author mmojwapoa alikuwa amelipwa na shirika moja la kuendeleza uislamu kutoka Iran, hivyo kulikuwa na kila sababu ya kutilia shaka maandiko yake. Zaidi zaidi ni kwamba maandiko yao yote hayakuwa ni sahihi bila kujali jina la mwandishi wala mtu aliyemuajiri kufanya hivyo.

Hapa ninaona umeanzisha mengine ya kuhusu kusomeshwa na serikali ya Nyerere. Usichotaka kuelewa ni kuwa ni haki ya kila mwananchi kusomeshwa na taifa hadi kufikia kiwango cha upeo wa uelewa wake na nchi ndiyo inayomsomesha mwananchi kupitia serikali iliyopo iwe ya Nyerere iwe ya nani.

(b) Kuhusu haki ya mtu kupata elimu ni swala linalotegemea sera za serikali iliyoko madarakani; inawezekana serikali isijali kama watu wote wanapata elimu. Kwa vile Nyerere alijali sana utaifa, sera zake za elimu hazikujali dini ya mtu; zilienga kwa watanzania wote. Hiyo ndiyo point niliyokuwa nikisemea.

Kuna watu wamekuwa wanatoa taarifa za uongo kuwa mtoto fulani alishinda kwenda sekondari halafu jina lake likafutwa eti kwa vile Nyerere alijuwa kuwa ni muislamu. Au kuna muislamu alipata skolaship akanyang'anywa na kupewa mkatoliki; huu ni uwongo wa wazi ambao hata mtoto wa darasa la saba hawezi kukubaliana nao. Niliwahi kuandika huko nyuma kuwa Professor Malima alipewa skolaship single handedly na Nyerere (nadhani mwaka 1965 au 1966 hivi) kwenda kusoma Marekani ambako ndiko alikopatia digrii zake zote. Wakati huo Malima alikuwa katibu mtendaji wa TANU. Kwa nini alifanya hivyo kama kweli alikuwa hataki waislamu? Mifano ya Nyerere kutoa opportunities sawa kwa watu wote ipo lukuki hakuna haja ya kuzitaja.

(c) Tunaposema kuwa Nyerere alifanya jambo fulani siyo kwamba alifanya kwa kutumia pesa zake binafsi au alitumia mikono yake. Nadhani hili ni jambo la wazi wala nisingetegemea uliulize kama ulivyofanya hapa

Historia itasimulia yenyewe baadaye; ni bahati nzuri kuwa kwa kawaida historia haisemi uwongo; pole pole ukweli utajitenga na uwongo katika kuacha historia kamili. Kumbukeni kuwa kujaribu kuandika historia ya nyerere kwa kuposha ni dhuluma kwa vizazi vijavyo.
 
Kichuguu,

Nameamua kurefrain from writing further about the other side of Nyerere, ingawa zipo nyingi tu nyinginezo. Nimekumbushwa kuwa tunatakiwa tuseme mazuri tu ya maiti zetu .. ila pale ambapo ni lazima .. labda kwa ajili ya kurekebisha. Hapa foramuni sina hakika of that being the case. Na tukiandika sana his negative aspects .. kuna wanaotufikiria kuwa hatuappreciate kabisaaaaa mazuri yake.

However I need to set some records straight:

I am bit surprised uliposema kuwa katika vitabu nilivyovitaja kuna waandishi waislamu waliotumia pen name za kikristo ... bila kufafanua. Huu ni uongo.. au kama ulivyosema later kuwa ni hisia .. sio hisia sahihi.

On udini nilitoa references 2, moja ni by Mohamed Said, ambalo ni jina lake halisi, na anaendelea kuandika mpaka leo. Kama ulimkusudia Dr. John C Sivalon, huyu nae alikuwa ni mzungu, a christian Father na alikuwa akifundisha UDSM until 2001. Na kitabu chake alikiandika with all the blessings of the church. Tena, surprisingly, kiligaiwa kwa wabnge wote katika makabrasha yao ya bunge!! Kwa bahati biography yake, tena yenye picha, iko hapa: http://www.maryknollafrica.org/BioSivalon.htm

Na huo uwongo mwingine wa kulipwa na wairani kama umemkusudia Mohamed Said pia hauna grounds, as hajakuwa mwalimu mlimani kama ulivyodai.

Umesema kuwa hivyo vitabu vimejibiwa .. bila kutupatia references. Sidhani kama ni kweli .. au tupe reference tuzipitie when we have the time. All I know ni kuwa Prof mmoja (namhifadhi jina) alimfuata Nyerere na kitabu cha Mohamed Saidi (which was more of a history book .. an untold history as the author puts it) na kumuambia kuwa wakijibu. Nyerere akamwambia amekisoma na hakuna la kujibu!
 
Kulikoni said:
Kichuguu,

Nameamua kurefrain from writing further about the other side of Nyerere, ingawa zipo nyingi tu nyinginezo. Nimekumbushwa kuwa tunatakiwa tuseme mazuri tu ya maiti zetu .. ila pale ambapo ni lazima .. labda kwa ajili ya kurekebisha. Hapa foramuni sina hakika of that being the case. Na tukiandika sana his negative aspects .. kuna wanaotufikiria kuwa hatuappreciate kabisaaaaa mazuri yake.

However I need to set some records straight:

I am bit surprised uliposema kuwa katika vitabu nilivyovitaja kuna waandishi waislamu waliotumia pen name za kikristo ... bila kufafanua. Huu ni uongo.. au kama ulivyosema later kuwa ni hisia .. sio hisia sahihi.

On udini nilitoa references 2, moja ni by Mohamed Said, ambalo ni jina lake halisi, na anaendelea kuandika mpaka leo. Kama ulimkusudia Dr. John C Sivalon, huyu nae alikuwa ni mzungu, a christian Father na alikuwa akifundisha UDSM until 2001. Na kitabu chake alikiandika with all the blessings of the church. Tena, surprisingly, kiligaiwa kwa wabnge wote katika makabrasha yao ya bunge!! Kwa bahati biography yake, tena yenye picha, iko hapa: http://www.maryknollafrica.org/BioSivalon.htm

Na huo uwongo mwingine wa kulipwa na wairani kama umemkusudia Mohamed Said pia hauna grounds, as hajakuwa mwalimu mlimani kama ulivyodai.

Umesema kuwa hivyo vitabu vimejibiwa .. bila kutupatia references. Sidhani kama ni kweli .. au tupe reference tuzipitie when we have the time. All I know ni kuwa Prof mmoja (namhifadhi jina) alimfuata Nyerere na kitabu cha Mohamed Saidi (which was more of a history book .. an untold history as the author puts it) na kumuambia kuwa wakijibu. Nyerere akamwambia amekisoma na hakuna la kujibu!


(a) Sikusema vitabu hivyo hapo vimejibiwa; ila nilisema niliwahi kuvisoma pamoja na vingine vya aina hiyo.

(b) Nikipata nafasi nitakutafua majina ya wandishi na references zote nilizowahi kusoma kuhusu hii topic. Kwa sasa hivi naishi nje ya nchi na collection yangu ya vitabu haina vitabu vya siasa za Tanzania. Ila nikisearch internet ninaweza kuzipata references hizo; kwa hiyo tulia

(c) je una reference ya nyerere kusema hakuna la kujibu!
 
Watoto ndugu/viongozi wezi mjue/wajue siku watanzania wakiamka watawataka tu mrudishe mali ambazo ndugu/baba zenu wanaendelea kuiba kwa kutusainisha mikataba feki. Hata kama mnafanya juhudi eti or Ujamaa umetufikisha pabaya etc huko ni kujihami tu tunahijaji second nationalization lakini iwhusu tu viongozi wezi. Watanzania wengi wanalilia hili. Ni kweli hatuhitaji ujamaa tena bali tunahitaji kujitegema na pia umoja wetu. Lakini kuachana na ujamaa haikumanisha baba zenu wapatae kibali cha ujitajirisha ili wawe mabepari kwa super sonic speed! wakati maskini wanaongezeka at twice the rate!
http://www.freemedia.co.tz/daima/2006/10/19/makala3.php
 
Back
Top Bottom