Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

Nyerere ataendelea kuenziwa na hakuna mtu anayweza kufuta historia yake na mchango wake wa kipekee katika historia yetu kama taifa. Iwe ni katika Tanganyika au katika Tanzania. Nyerere ni baba wa Taifa la Tanzania kama alivyokuwa baba wa taifa la Tanganyika. Wazee wetu walitambua hivyo na walimheshimu hivyo. Sasa ni wazi watu ambao wana religious objection bila ya shaka inaruhusiwa kukataa na kama wanatoa pingamizi kwa misingi ya kidini inakublalika. Lakini, kupinga kwao kwa misingi ya imani hakuwezi kuwafanya watu wengine ambao hawana objection hiyo kukataa kufanya hivyo.

Upande mwingine nao ni kweli; kwamba wale ambao kutokana imani zao binafsi hawaoni tatizo kumuita Nyerere Baba wa Taifa au dhamira zao hazioni ubaya wa kufanya hivyo wanayo haki yakufanya hivyo pasipo kuonekana wanavunja jambo fulani. Sisi wengine kwa imani zetu ziwe za jadi au kidini hatuoni tatizo hilo na tunaona fahari kumtambua Nyerere kama Baba wa Taifa kwani tunajua siyo jamii ya kwanza kumtambua mtu aliyetoa mchango wa pekee katika uanzishwaji wa taifa kama baba wa Taifa.

Ndio hoja ya Mchambuzi na hata Mag3 kuwa mataifa yametambua waasisi wake kama Baba wa Taifa au Mababa wa Taifa. Kwa mfano, Palestina ikija kuwa nchi, taifa lile sitashangaa kama watamtambua Yassir Arafat kama Baba wa Taifa na siyo Abu Mazen.
 
Hujajibu bado, Jee, hujuwi maana ya kuwekwa nukta tatu baada ya sentensi? na Jee hujuwi maana ya kuwekwa reference?

Usijaribu kuchakachuwa, huwezi. Hilo neno ni kama lilivyo na halibadiliki hata upande ushuke. Huna, huwezi kuhalalisha u "baba" wa taifa kutoka kwenye Qur'an.

hivi huoni hatari ya ulichokifanya? kwamba kunukuu na kuiacha hewani "Mohamed si baba wa yeyote..." haina maana ya kwamba hakuwa baba wa mtu yeyote? Je, kwa watu wengine wasiojua historia si wanaweza kuamini ndicho Qurani inamaanisha kuwa Mohammed hakuwa baba yeyote na ingekuwa vizuri kama ungenukuu aya nzima ili kuondoa upotoshaji wowote maana?
 
Kwanza kamjibu Mag3 kwenye bandiko lake#392, siyo kujibalaguza hapa tu mwongo mkubwa wewe!
Mkuu wangu mnalazimisha vitu. Wapakistan wakiandika baba wa Taifa haina maana yoyote kuwa ndioi Uislaam ni jadi zao Za kiutawala ambazo zimetumika ktk usemi huo wa baba wa Taifa. Na Pakistan kwenyewe kuna mengi machafu wanayafanya kinyume cha Uislaam hivyoi kujiita nchi ya kiislaam haina maana yoyote ikiwa hutafuata Uislaam. Ni sawa na Mkristu anayekula nguruwe akihalalisha yeye lakini hakuna mahala popote ndani ya Biblia kunahalalisha. Na siwezi kutumia kumwona mtu anakula nguruwe na kusema ndio Ukristu kwa sababu tu wakristu wengi wanakula..Na ukweli haswa wa hizi sheria asili za Canon law ndizo Uislaam na tunatakiwa kuzitumia lakini leo Wakristu wanawaita hawa wanaotumia Canon law ndio magaidi na uncivilized huku wakiamini sheria hizo vitabuni.

Kwa hiyo tusichanganye sana maswala ya dini na dhana yetu ya demokrasia ama sijui niite ulimbukeni wa kuiga mambo ya dunia. Faizafoxy anazungumza kwa gear tofauti kabisa na kama hutajaribu kumwelewa na kuelewa fasaha ya mambo haya ni kutafuta kubishana tu..Mimi namwita Nyerere baba wa Taifa lakini sivyo nilivyoamrishwa ktk Uislaam, sitakiwi kumwita Nyerere baba wala nani isipokuwa mzazi wangu kama navyokatazwa kumwita Mungu kiumbe yeyote yule zaidi ya Muumba. Lakini yupo jamaa hapa mshikaji kutoka west anaitwa Mungu na huwa namwita Mungu ambalo ni jina lake...na kwa wewe mkristu wa Tanzania hutakiwi kumwita mtu yeyote Yesu (kama sikosei) lakini wapo watu kutoka South America wanaitwa Yesu. kumwita mtu huyu haina maana unatumia dini yako ama inaondoa maana ulokusudia ulipolitaja jina hilo.
 
Baba yako ni baba yako, hakuna mahali niliposema huwezi kumuita baba yako baba, lakini huwezi kumuita baba ya mwenzako baba unamuita kwa heshima "Ami" hata kama ni mume wa mama yako ambae si baba yako mzazi Kiislaam huwezi kumuita baba. Na hatuna vyeo vya u Baba katika Uislaam kama vile Baba Mtakatifu, Baba Askofu, Baba Mchungaji, Baba wa Taifa. Hakuna hizo katika Uislaam kuna baba yako tu mzazi basi.

Hakuna mahali nilisema huwezi kumuita baba yako baba. Naona unaongea kama vile kuna mahali nilisema siwezi kumuita baba yangu baba au niliwahi kumuambia mtu asimwite baba yake baba. Unanshangaza.

Ni wapi nilisema Qur'an inakataza usimuite baba yako baba?
Kwani akiitwa baba wa Taifa ndiyo ina maana atakuwa ameitwa baba yako?
 
Mkuu wangu mnalazimisha vitu. Wapakistan wakiandika baba wa Taifa haina maana yoyote kuwa ndioi Uislaam ni jadi zao Za kiutawala ambazo zimetumika ktk usemi huo wa baba wa Taifa. Na Pakistan kwenyewe kuna mengi machafu wanayafanya kinyume cha Uislaam hivyoi kujiita nchi ya kiislaam haina maana yoyote ikiwa hutafuata Uislaam. Ni sawa na Mkristu anayekula nguruwe akihalalisha yeye lakini hakuna mahala popote ndani ya Biblia kunahalalisha. Na siwezi kutumia kumwona mtu anakula nguruwe na kusema ndio Ukristu kwa sababu tu wakristu wengi wanakula..Na ukweli haswa wa hizi sheria asili za Canon law ndizo Uislaam na tunatakiwa kuzitumia lakini leo Wakristu wanawaita hawa wanaotumia Canon law ndio magaidi na uncivilized huku wakiamini sheria hizo vitabuni.

Kwa hiyo tusichanganye sana maswala ya dini na dhana yetu ya demokrasia ama sijui niite ulimbukeni wa kuiga mambo ya dunia. Faizafoxy anazungumza kwa gear tofauti kabisa na kama hutajaribu kumwelewa na kuelewa fasaha ya mambo haya ni kutafuta kubishana tu..Mimi namwita Nyerere baba wa Taifa lakini sivyo nilivyoamrishwa ktk Uislaam, sitakiwi kumwita Nyerere baba wala nani isipokuwa mzazi wangu kama navyokatazwa kumwita Mungu kiumbe yeyote yule zaidi ya Muumba. Lakini yupo jamaa hapa mshikaji kutoka west anaitwa Mungu na huwa namwita Mungu ambalo ni jina lake...na kwa wewe mkristu wa Tanzania hutakiwi kumwita mtu yeyote Yesu (kama sikosei) lakini wapo watu kutoka South America wanaitwa Yesu. kumwita mtu huyu haina maana unatumia dini yako ama inaondoa maana ulokusudia ulipolitaja jina hilo.
Mkuu, samahani sana, mimi nimeusoma huu uzi then nikaja straight huku mwishoni kwenye pg za mwisho..........
inanishangaza kwamba uzi umehamia kwenye mambo madogo sana (kwangu mimi), mambo ya imani.......naona Cannon law na Muhammad na mungu anatajwa tuu!!

Hivi hatuwezu kabisa kuacha imani zetu hizi 'tulizoletewa' halafu tukawa rational kidogo, tukaongea vitu ambavyo sio vya 'kusadikika'
Kwangu mimi mambo ya imani ni mambo ya kusadikika tu!!

what is happening hapa jamvini, kila mjadala wa Nyerere lazima uishie kwenye ukatoliki 'wake' na uislamu 'wao'. I am sick and tired of this. Hatuwezi kuongelea Nyerere na ideology yake ya political economy bila kuweka ukatoliki na uislamu ndani yake??
 

George Washington, the Father of Our Country


[TD="width: 10"]
trans.gif
[/TD]
[TD="width: 230"] Born: February 22, 1732
Died: December 14, 1799 The first president of the United States, George Washington, is often referred to as the Father of Our Country. He was known for his love of the land and farming, and his dislike of war. He was a distinguished general and commander in chief of the colonial armies in the American Revolution. He married a widow, Martha Dandridge Custis, and they lived at Mount Vernon, Washington's plantation in Virginia on the Potomac River.



[/TD]
Acha ubishi wa kijnga..... endeleeni na mjadala, nimeamua kuwa mtazamaji. Ila nimepata furaha sana kuona jinsi watanzania wengi wanavyomtetea Nyerere, no wonder we had Unity back then.


Unashindwa hata kuelewa maana kamili ya hiyo sentenci. Hiyo ni opinion unashindwa hata kutafsiri. Marekani haina "Father" as singular, bali kuna plural as "Fathers" "Founding Fathers"

Soma vizuri historia ya Marekani kabla ya kuanza kubisha kwa kucopy sentenc ambazo hujui hata maana yake.
 
Mkandara said:
.......... Ni sawa na Mkristu anayekula nguruwe akihalalisha yeye lakini hakuna mahala popote ndani ya Biblia kunahalalisha. Na siwezi kutumia kumwona mtu anakula nguruwe na kusema ndio Ukristu kwa sababu tu wakristu wengi wanakula..Na ukweli haswa wa hizi sheria asili za Canon law ndizo Uislaam na tunatakiwa kuzitumia lakini leo Wakristu wanawaita hawa wanaotumia Canon law ndio magaidi na uncivilized huku wakiamini sheria hizo vitabuni.

Kwanza mnabailisha mada na pili ulichonadika hapo nilipowekea rangi i. Hiyo tafsiri ya ukirtso kutorushiwa ni yako na wengine lakini wanatheoljia wengine wakristu hao hao wanatumia biblia kukwambia binadamu hawezi na ni kufuru kuharamisha kitu kilichotiwa pumzi na mungu. Ukihitaji darasa utapewa lakini usipotoshe. Kama huli nguruwe ni sabbau zako uiaka kujua kwa nn wengine wanakula uliza.
 
Hakuna kwa Muislaam Lu iota MTU baba ambae si baba yake. Hayo mambo ya Kikatoliki na Kikristo, baba mtakatifu, baba askofu, baba mchungaji Wa kondoo, baba Wa taifa? Hata wasioruhusiwa kuzaa na kanisa mnawaita baba. Kwa Waislaam ni NO.

Hapa umejiongezea sifa nyingine nayo ni ile ya unafiki. Mbona hukumpinga huyu mentor wako alipodai haya hapa chini. Kumbuka wewe na Mohamed Said umewahi kudai hamkukutana barabarani bali mmetokea mbali tangu enzi za wazee wenu (baba zenu ?).

Kwa adabu za kikwetu mtu yeyote mwenye umri sawa na baba yako unamwita "baba" hali kadhalika mwanamke yeyote umri wa mama yako unamwita "mama."

Hakuna jina jingine nje ya hapo.

Na inapokuwa kati ya hao ni rafiki ya baba au mama yako ile heshima ya ubaba na mama huwa juu zaidi.
Huwa hawana jina lingine nje ya hayo.

Utamwita "baba" au "mama."
Hizi ndizo mila, desturi na heshima za watu wa pwani.
Mohamed

Kila unavyojitahidi kuukwepa ukweli ndivyo unavyozidi kujikanganya. Hivi wewe unaongea kwa niaba ya Waislaam wa wapi maanake kila unapopewa ukweli, una"question" ilmu ya hao Waislaam wanaofanya tofauti na unavyoamini wewe - hivi FaizaFoxy, wewe ndiye Muislaam aliyekamilika kuliko hao wengine ? Unapata wapi ujasiri na mandate ya kuwahukumu usiokubaliana nao hadi wale ambao hiyo lugha ya kiarabu ndiyo lugha yao ya asili ?
 
Hapa umejiongezea sifa nyingine nayo ni ile ya unafiki. Mbona hukumpinga huyu mentor wako alipodai haya hapa chini. Kumbuka wewe na Mohamed Said umewahi kudai hamkukutana barabarani bali mmetokea mbali tangu enzi za wazee wenu (baba zenu ?).


Kila unavyojitahidi kuukwepa ukweli ndivyo unavyozidi kujikanganya. Hivi wewe unaongea kwa niaba ya Waislaam wa wapi maanake kila unapopewa ukweli, una"question" ilmu ya hao Waislaam wanaofanya tofauti na unavyoamini wewe - hivi FaizaFoxy, wewe ndiye Muislaam aliyekamilika kuliko hao wengine ? Unapata wapi ujasiri na mandate ya kuwahukumu usiokubaliana nao hadi wale ambao hiyo lugha ya kiarabu ndiyo lugha yao ya asili ?

Lahaaulah! Ama kweli njia ya mwongo ni fupi. Watu wabishi kaa ngedere ilhali mikundu yao inayong'aa na iliyojaa vinyesi vyenye harufu kali inawaumbua kila kukicha.
 
Unashindwa hata kuelewa maana kamili ya hiyo sentenci. Hiyo ni opinion unashindwa hata kutafsiri. Marekani haina "Father" as singular, bali kuna plural as "Fathers" "Founding Fathers"
Soma vizuri historia ya Marekani kabla ya kuanza kubisha kwa kucopy sentenc ambazo hujui hata maana yake.

Inakuwa vigumu kweli kujadiliana na watu kama wewe, yaani hata ukweli ukikuchungulia usoni hauwezi kuukubali kwa sababu huna uwezo wa kuutambua huo ukweli kwa umbo lolote lile. Hii ni mara ya tatu unakuja na hili dai la kijinga na watu kwa makusudi hawajihangaishi kukujibu lakini kwa upofu ulio nao hata hilo unashindwa kuligundua. Linalosikitisha ni kuwa unajiita eti Mr. Right.

Hebu pitia list ya watu wote wanaojulikana duniani kama "Father of the Nation" na mataifa yao.

 
Naona mjadala ni mrefu sana!!!..... nilikula ban, nini kinaendelea humu? loool!
 
Inakuwa vigumu kweli kujadiliana na watu kama wewe, yaani hata ukweli ukikuchungulia usoni hauwezi kuukubali kwa sababu huna uwezo wa kuutambua huo ukweli kwa umbo lolote lile. Hii ni mara ya tatu unakuja na hili dai la kijinga na watu kwa makusudi hawajihangaishi kukujibu lakini kwa upofu ulio nao hata hilo unashindwa kuligundua. Linalosikitisha ni kuwa unajiita eti Mr. Right.

Hebu pitia list ya watu wote wanaojulikana duniani kama "Father of the Nation" na mataifa yao.

Hivi bado kuna la ziada?
 
Mi nashauri mkubaliane kutokukubaliana. Mwandishi ameelezea utofauti kati ya Baba na Rais bora wa Taifa,kila mtu ameelewa,labda kama mtu hakubali. Halafu ameonyesha kuwa asili ya ubaba wa taifa ama jina hilo haikutokea kanisa katoliki wala si Roma wanaotoa jina hilo kwa viongozi wa nchi hapa duniani,iwe za kiislamu au kikristo. Hata hatukuwahi kusikia aliyetoa jina hilo alikuwa kardinali Rugambwa au Pengo! Mi nadhani imechukuliwa kifamilia zaidi kwamba...kiongozi wa familia huwa ni mwanamume. Na kwa bahati ni kwamba wanaharakati wengi katika ukombozi na mapinduzi ya nchi zao,walikuwa wanaume... Kifamilia kuna mambo ambayo hayakamiliki hadi baba aje.. Heshima ya ubaba,ni kuonesha uongozi,msimamo,ujasiri,vision,na maamuzi ambayo hata kama yatapingwa na watoto au wake zake,ya baba yanakuwa ya mwisho.. Someone can correct me ila huo ndiyo ufahamu wangu.

Hii inakosa mashiko?
 
Naona mjadala ni mrefu sana!!!..... nilikula ban, nini kinaendelea humu? loool!
Mkuu kuna watu humu dizaini ya Faiza Fox ni wabishi sijapata kuona ktk ulimwengu huu! Wanaweza kubishana na risasi hawa! pole kwa ban ila mind your step now!
 
Inakuwa vigumu kweli kujadiliana na watu kama wewe, yaani hata ukweli ukikuchungulia usoni hauwezi kuukubali kwa sababu huna uwezo wa kuutambua huo ukweli kwa umbo lolote lile. Hii ni mara ya tatu unakuja na hili dai la kijinga na watu kwa makusudi hawajihangaishi kukujibu lakini kwa upofu ulio nao hata hilo unashindwa kuligundua. Linalosikitisha ni kuwa unajiita eti Mr. Right.

Hebu pitia list ya watu wote wanaojulikana duniani kama "Father of the Nation" na mataifa yao.



Tofauti kati yako na mimi ni kwamba mimi nimeisom hiyo historia ya USA, na wewe unaishia kucopy kutoka Wikipedia. Wewe unajua kwamba huku wenzako hatufuati hiyo Wikipedia kama valuable source?

Pili unajua hoja ninayoijenga? au unabisha tu na elimu yako ya 0 Tier Tumaini University? Angalia hoja ninayoijenga halafu anza njoo na hoja, Acha kocopy.
 
WTZ na Elimu za Kucopy. Hivi mtu unataka kujenga hoja, kwa nini unatumia mifano ambayo haina hata misingi na foundation za critical thinking.

Chukulia, mfano- Hoja inayojengwa hapa na wale wanaojiita supporter of Mwalimu Nyerere. Wanashindwa kuelewa hizo nchi nyingi zenye kutumia hilo neno la "Father" limetokana na mizizi ya utawala wa kikoloni uliopita. Wanazugumzia, Pakistan, wanashndwa kuelewa hii nchi iligawanywa kutoka India baada ya Kutawaliwa na British "Wakristo" Na zipo nchi nyingi tu ambazo zinatumia hili neno kwa sababu ya colinization system iliyopita.

Kama walivyosema wachangiaji wakubwa hapa- mambo ya dini ya Kiislamu hamyajui, na msichanganye mambo ya traditional yaliyopo ktk dunia na religion. Bora mkae kimya msome ili muelimika kuliko kujenga hoja ambazo hamjui hata kuzijibu Kielimu.
 
Tofauti kati yako na mimi ni kwamba mimi nimeisom hiyo historia ya USA, na wewe unaishia kucopy kutoka Wikipedia. Wewe unajua kwamba huku wenzako hatufuati hiyo Wikipedia kama valuable source? Pili unajua hoja ninayoijenga? au unabisha tu na elimu yako ya 0 Tier Tumaini University? Angalia hoja ninayoijenga halafu anza njoo na hoja, Acha kocopy.


Kwanza
sikulaumu, umejiunga na JF mwaka jana mwezi wa saba, huo ulikuwa ni wakati mbaya sana kwa JF kwani ni katika kipindi hicho JF ilivamiwa na watu aina yako, pole sana.

Pili, historia ya Marekani unadai kuifahamu huku humfahamu hata wanayemwita Father of the Nation, pole tena sana. Hebu soma;

Tatu,
nchi za Kiislaam zenye Baba wa Taifa ni hizi;

[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD] Ahmad Shah Durrani[/TD]
[TD] Afghanistan[/TD]
[TD] Ahmad Shah Baba/ Father of Nation[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: TableGrid1"]
[TR]
[TD] A. K. Fazlul Haq[/TD]
[TD] Bangladesh[/TD]
[TD] Banglar Baagh/ Father of the People[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD] Sukarno[/TD]
[TD] Indonesia[/TD]
[TD] Bapak Bangsa/Pemimpin Besar Revolusi Indonesia/Proklamator Father of Nation/Great Leader of Indonesian Revolution[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Tunku Abdul Rahman[/TD]
[TD] Malaysia[/TD]
[TD] Bapa Kemerdekaan Father of Independence[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] Mohammad Ali Jinnah[/TD]
[TD="width: 213"] Pakistan[/TD]
[TD="width: 213"] Quaid-e-Azam/ Baba-e-Qaum[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] El-Ouali Mustapha Sayed[/TD]
[TD="width: 213"] Sahrawi Arab Democratic Republic[/TD]
[TD="width: 213"] Father of the Nation[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] Ibn Saud of Saudi Arabia[/TD]
[TD="width: 213"] Saudi Arabia[/TD]
[TD="width: 213"] مة (Waalid Al Ummah)/ Father of the Nation[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] Mustafa Kemal Atatürk[/TD]
[TD="width: 213"] Turkey[/TD]
[TD="width: 213"] Atatürk /[Great] Father of the Turks[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] Sheikh Zayed bin Sultan Al Nahyan[/TD]
[TD="width: 213"] United Arab Emirates[/TD]
[TD="width: 213"] الأمة (Waalid Al Ummah) / Father of the Nation[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Waulize akina FaizaFoxy, watakueleza Mag3 ni nani kwani naona kama vile unadandia train kwa mbele, pole tena pole sana.
 
Lahaaulah! Ama kweli njia ya mwongo ni fupi. Watu wabishi kaa ngedere ilhali mikundu yao inayong'aa na iliyojaa vinyesi vyenye harufu kali inawaumbua kila kukicha.

Mkuu, JF inatembelewa na watoto wanajifunza mambo mengi humu...tumia lugha ya kawaida utaeleweka tu..
 
Back
Top Bottom