Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

Kwanza sikulaumu, umejiunga na JF mwaka jana mwezi wa saba, huo ulikuwa ni wakati mbaya sana kwa JF kwani ni katika kipindi hicho JF ilivamiwa na watu aina yako, pole sana.

Pili, historia ya Marekani unadai kuifahamu huku humfahamu hata wanayemwita Father of the Nation, pole tena sana.

Tatu, nchi za Kiislaam zenye Baba wa Taifa ni hizi;

[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD] Ahmad Shah Durrani[/TD]
[TD] Afghanistan[/TD]
[TD="width: 213"] Ahmad Shah Baba/
Father of Nation[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: TableGrid1"]
[TR]
[TD] A. K. Fazlul Haq[/TD]
[TD] Bangladesh[/TD]
[TD="width: 213"] Banglar Baagh/
Father of the People[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD] Sukarno[/TD]
[TD] Indonesia[/TD]
[TD="width: 213"] Bapak Bangsa/Pemimpin Besar Revolusi Indonesia/Proklamator Father of Nation/Great Leader of Indonesian Revolution[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] Tunku Abdul Rahman[/TD]
[TD="width: 213"] Malaysia[/TD]
[TD="width: 213"] Bapa Kemerdekaan Father of Independence[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] Mohammad Ali Jinnah[/TD]
[TD="width: 213"] Pakistan[/TD]
[TD="width: 213"] Quaid-e-Azam/ Baba-e-Qaum[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] El-Ouali Mustapha Sayed[/TD]
[TD="width: 213"] Sahrawi Arab Democratic Republic[/TD]
[TD="width: 213"] Father of the Nation[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] Ibn Saud of Saudi Arabia[/TD]
[TD="width: 213"] Saudi Arabia[/TD]
[TD="width: 213"] مة (Waalid Al Ummah)/
Father of the Nation[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] Mustafa Kemal Atatürk[/TD]
[TD="width: 213"] Turkey[/TD]
[TD="width: 213"] Atatürk /[Great] Father of the Turks[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] Sheikh Zayed bin Sultan Al Nahyan[/TD]
[TD="width: 213"] United Arab Emirates[/TD]
[TD="width: 213"] الأمة (Waalid Al Ummah) /
Father of the Nation[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Waulize akina FaizaFoxy, watakueleza Mag3 ni nani kwani naona kama vile unadandia train kwa mbele, pole tena pole sana.

Jibu la swali la tatu

WTZ na Elimu za Kucopy. Hivi mtu unataka kujenga hoja, kwa nini unatumia mifano ambayo haina hata misingi na foundation za critical thinking.

Chukulia, mfano- Hoja inayojengwa hapa na wale wanaojiita supporter of Mwalimu Nyerere. Wanashindwa kuelewa hizo nchi nyingi zenye kutumia hilo neno la "Father" limetokana na mizizi ya utawala wa kikoloni uliopita. Wanazugumzia, Pakistan, wanashndwa kuelewa hii nchi iligawanywa kutoka India baada ya Kutawaliwa na British "Wakristo" Na zipo nchi nyingi tu ambazo zinatumia hili neno kwa sababu ya colinization system iliyopita.

Kama walivyosema wachangiaji wakubwa hapa- mambo ya dini ya Kiislamu hamyajui, na msichanganye mambo ya traditional yaliyopo ktk dunia na religion. Bora mkae kimya msome ili muelimika kuliko kujenga hoja ambazo hamjui hata kuzijibu Kielimu.

Jibu la swali la pili- Marekani kuna "Fathers" as plural na siyo singular "Father" huyo Gorge Washington unaemzunguzia siyo official "Father of the Nation" ni opinion. Naraduia tena, Marekani ina official "Founding Fathers"

Kabla ya kujenga hoja please, soma kwanza kwenye textbook na siyo kusoma kwenye Wikipedia.
 
Kwanza sikulaumu, umejiunga na JF mwaka jana mwezi wa saba, huo ulikuwa ni wakati mbaya sana kwa JF kwani ni katika kipindi hicho JF ilivamiwa na watu aina yako, pole sana.

Really?? naona unarukia vitu bila ya kujua. Hebu angalia my join date, halafu naomba usahihishe naona umekosea.
 
Jibu la swali la tatu
Jibu la swali la pili- Marekani kuna "Fathers" as plural na siyo singular "Father" huyo Gorge Washington unaemzunguzia siyo official "Father of the Nation" ni opinion. Naraduia tena, Marekani ina official "Founding Fathers"

Kabla ya kujenga hoja please, soma kwanza kwenye textbook na siyo kusoma kwenye Wikipedia.

Sijui kwa nini hata nahangaika na hili gogo vivu, anyway jibu lako hili hapa;

Question: In grade school and beyond, every American learns that George Washington is the Father of the country. With the celebration of President's Day this week, I'd like to know exactly why Washington is given such an honored position. What is it that makes him worthy of being called the Father of our country?

Answer
: George Washington is revered as the Father of this country for many reasons. Virtually every American knows that he was the first President of the United States of America. Most also know that we commanded the Revolutionary Army. However, many Americans know few of the details about his days as the nation's Commander-in-Chief, both during the Revolutionary War and after. As the General of the Revolutionary Army, Washington's determination, leadership and refusal to give up made the difference between victory and defeat on more than one occasion. His daring attack on a Hessian fort at Trenton (pictured on the RIGHT) turned the tide in a War that had been clearly going the way of the British--not the Colonists. When the Continental Congress repeatedly found itself incapable of leading the young nation, Washington had to take charge, and take charge he did. By many accounts, merely seeing Washington was enough to convince most men and women that he was the leader of the nation. Indeed, so powerful was Washington's character and reputation that the organizers of the Constitutional Convention believed that the Convention could not and would not succeed unless Washington attended it. Fortunately, Washington, the "indispensable man," did attend the Philadelphia Convention of 1787. In fact, he was unanimously chosen to be the President of the Convention and to preside over it. Perhaps the most lasting effects of Washington's influence on the United States of America are the product of his two terms in office as the nation's first President. Several scholars have suggested that the Constitution as we know it was only agreeable to the people of the new nation because it was widely assumed that Washington would be the first man to be its Chief Executive. Any other man, it was widely feared, would not have wielded the power of the office as capably or responsibly as Washington. Indeed, throughout his Presidency, Washington passed by opportunity after opportunity to assume and consolidate power. Arriving in the Capitol city before most of the members of the newly elected Congress, Washington chose to wait for the Congress to convene before committing any official acts as President. Instead of succumbing to popular sentiment that he be treated as something of a king, Washington downplayed his stature has President. He did so through dozens of actions, some purely symbolic--such as wearing a simple brown broadcloth suit to his Inauguration--and some very substantive--such as stepping down after two terms to set the precedent of timely and orderly transitions in political power and leadership. By all accounts, Washington sought only to serve his country all the days of his adult life. In fact, one of the major complaints about Washington was that he allowed himself to become so consumed by his public responsibilities that there was little room left for a private, personal side of the man. But Washington's commitment to the interests of the country, as he saw them, is unquestioned. No doubt his own words are the best summation of his view of public service:

George Washington, "Though I prize as I ought the good opinion of my fellow citizens, yet, if I know myself, I would not seek or retain popularity at the expense of one social duty or moral virtue. While doing what my conscience informed me was right, as it respected my God, my country, and myself, I could despise all the party clamor and unjust censure, which must be expected from some, whose personal enmity might by occasioned by their hostility to the government . . . and certain I am, whensoever I shall be convinced the good of my country requires my reputation to be put at risk, regard for my own fame will not come in competition with an object of so much magnitude".
 
Sijui kwa nini hata nahangaika na hili gogo vivu, anyway jibu lako hili hapa;

Unajua bado unashindwa kuelewa kati ya opinion na official. Marekani kuna OFFICIAL Founding Fathers. Nimekwambia acha kucopy kasome ktk really institution ili upate kuelewa vizuri. Hao Founding Fathers ndiyo waliyoweka misingi ya USA.
 
Mag3 said:
Kwanza sikulaumu, umejiunga na JF mwaka jana mwezi wa saba, huo ulikuwa ni wakati mbaya sana kwa JF kwani ni katika kipindi hicho JF ilivamiwa na watu aina yako, pole sana.
Really?? naona unarukia vitu bila ya kujua. Hebu angalia my join date, halafu naomba usahihishe naona umekosea.
Really ?
Mr.Right said:
Jibu la swali la pili- Marekani kuna "Fathers" as plural na siyo singular "Father" huyo Gorge Washington unaemzunguzia siyo official "Father of the Nation" ni opinion. Naraduia tena, Marekani ina official "Founding Fathers"
Ngoja nikupe somo, role ya Founding Fathers wa Marekani ni tofauti kabisa na Father of the Nation. Father of the Nation anakuwa moja tu na si wengi kama unavyoamini, hili ni somo la bure tu kwako.
Washington is regarded as the "Father of the United States" for his numerous achievements, most notably his role as commander of the Continental Army in the Revolutionary War and his unyielding efforts to formulate a unified and efficient country. Washington's intelligence, charisma, and military experience made him perhaps the most successful and revered general in United States history.

Aside from his remarkable accomplishments, Washington's achievements went beyond the war, extending to the formation of America and the creation of the United States Constitution. Although his closest advisers (Thomas Jefferson and Alexander Hamilton) respectively positioned themselves within the Anti-Federalist and Federalist factions, George Washington never affiliated himself with a political party. The first President of the United States believed that political parties would create stagnation and the creation of opposing sides would impede the collective goals of the country.

In regards to the creation of the Constitution, George Washington must be held separate from his fellow Founding Fathers. During the Revolution, Washington was busy fighting and leading armies to victory over British factions. The "Father of the United States" was tangled in a war, while his fellow intellects were busy contemplating the future and structure of the United States Government. That being said, in a popular George Washington biography-The Real George Washington-it was revealed that the first President was quite skeptical over the creation of a Constitution. In the George Washington biography, he is quoted as saying, "I almost despair of seeing a favorable issue to the proceedings of the convention, and do therefore repent having any agency in the business."
 
Really ?

Ngoja nikupe somo, role ya Founding Fathers wa Marekani ni tofauti kabisa na Father of the Nation. Father of the Nation anakuwa moja tu na si wengi kama unavyoamini, hili ni somo la bure tu kwako.

Hiyo sentenci yako inasema Washington is regarded as the "Father of the United States" for his numerous achievements.

Sasa hiyo sentenci ni OPINION- regarded as the father siyo official. Naona unashindwa kuelewa. USA kuna OFFICIAL founding fathers. Please, first read, analyze, before you posted over here.
 


Kwanza
sikulaumu, umejiunga na JF mwaka jana mwezi wa saba, huo ulikuwa ni wakati mbaya sana kwa JF kwani ni katika kipindi hicho JF ilivamiwa na watu aina yako, pole sana.

Pili, historia ya Marekani unadai kuifahamu huku humfahamu hata wanayemwita Father of the Nation, pole tena sana. Hebu soma;

Tatu,
nchi za Kiislaam zenye Baba wa Taifa ni hizi;

[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD] Ahmad Shah Durrani[/TD]
[TD] Afghanistan[/TD]
[TD] Ahmad Shah Baba/ Father of Nation[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: TableGrid1"]
[TR]
[TD] A. K. Fazlul Haq[/TD]
[TD] Bangladesh[/TD]
[TD] Banglar Baagh/ Father of the People[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD] Sukarno[/TD]
[TD] Indonesia[/TD]
[TD] Bapak Bangsa/Pemimpin Besar Revolusi Indonesia/Proklamator Father of Nation/Great Leader of Indonesian Revolution[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Tunku Abdul Rahman[/TD]
[TD] Malaysia[/TD]
[TD] Bapa Kemerdekaan Father of Independence[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] Mohammad Ali Jinnah[/TD]
[TD="width: 213"] Pakistan[/TD]
[TD="width: 213"] Quaid-e-Azam/ Baba-e-Qaum[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] El-Ouali Mustapha Sayed[/TD]
[TD="width: 213"] Sahrawi Arab Democratic Republic[/TD]
[TD="width: 213"] Father of the Nation[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] Ibn Saud of Saudi Arabia[/TD]
[TD="width: 213"] Saudi Arabia[/TD]
[TD="width: 213"]  (Waalid Al Ummah)/ Father of the Nation[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] Mustafa Kemal Atatürk[/TD]
[TD="width: 213"] Turkey[/TD]
[TD="width: 213"] Atatürk /[Great] Father of the Turks[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"] Sheikh Zayed bin Sultan Al Nahyan[/TD]
[TD="width: 213"] United Arab Emirates[/TD]
[TD="width: 213"]  (Waalid Al Ummah) / Father of the Nation[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Waulize akina FaizaFoxy, watakueleza Mag3 ni nani kwani naona kama vile unadandia train kwa mbele, pole tena pole sana.
Mag3. Kuna haja gani kuwauliza kina FF, kuhusu nyie, na kumbe wenyewe mpo? Mosi. Tueleze ww ni nani hapa JF na humu chini? Pili. Unapoamua kumwaga mboga, basi mwaga na ugali tujue moja. Tufafanulie aina ya watu waliovamia JF mwaka jana mwezi wa saba. Tatu. Tujulishe nani aliyekudanganya kuwa nchi ulizo orodhesha hapo ni za Kiislam?
 
Really ?

Ngoja nikupe somo, role ya Founding Fathers wa Marekani ni tofauti kabisa na Father of the Nation. Father of the Nation anakuwa moja tu na si wengi kama unavyoamini, hili ni somo la bure tu kwako.

Mag3,

Hiyo article uliyopost huyo mwandishi anajaribu kuweka argument sababu za George Washington awe Father of the Nation. Kama vile wewe unavyojaribu kuweka argument zako. Ni OPINION na siyo OFFICIAL.

Lazima ujue kutofautisha ktk argument za OPINION na OFFICIAL statement.
 
Mi nashauri mkubaliane kutokukubaliana. Mwandishi ameelezea utofauti kati ya Baba na Rais bora wa Taifa,kila mtu ameelewa,labda kama mtu hakubali. Halafu ameonyesha kuwa asili ya ubaba wa taifa ama jina hilo haikutokea kanisa katoliki wala si Roma wanaotoa jina hilo kwa viongozi wa nchi hapa duniani,iwe za kiislamu au kikristo. Hata hatukuwahi kusikia aliyetoa jina hilo alikuwa kardinali Rugambwa au Pengo! Mi nadhani imechukuliwa kifamilia zaidi kwamba...kiongozi wa familia huwa ni mwanamume. Na kwa bahati ni kwamba wanaharakati wengi katika ukombozi na mapinduzi ya nchi zao,walikuwa wanaume... Kifamilia kuna mambo ambayo hayakamiliki hadi baba aje.. Heshima ya ubaba,ni kuonesha uongozi,msimamo,ujasiri,vision,na maamuzi ambayo hata kama yatapingwa na watoto au wake zake,ya baba yanakuwa ya mwisho.. Someone can correct me ila huo ndiyo ufahamu wangu.

Mr. Right comment na hili..
 
Hapa umejiongezea sifa nyingine nayo ni ile ya unafiki. Mbona hukumpinga huyu mentor wako alipodai haya hapa chini. Kumbuka wewe na Mohamed Said umewahi kudai hamkukutana barabarani bali mmetokea mbali tangu enzi za wazee wenu (baba zenu ?).


Kila unavyojitahidi kuukwepa ukweli ndivyo unavyozidi kujikanganya. Hivi wewe unaongea kwa niaba ya Waislaam wa wapi maanake kila unapopewa ukweli, una"question" ilmu ya hao Waislaam wanaofanya tofauti na unavyoamini wewe - hivi FaizaFoxy, wewe ndiye Muislaam aliyekamilika kuliko hao wengine ? Unapata wapi ujasiri na mandate ya kuwahukumu usiokubaliana nao hadi wale ambao hiyo lugha ya kiarabu ndiyo lugha yao ya asili ?

Mkuu Mag3 bado hapa hujajenga hoja ya kukabiliana na FF kuhusu uislamu na nani anastahili kuitwa baba! Umemnukuu mohamed said ambae yeye amesema ndio "mila, desturi, na heshima ya watu wa pwani!" Sasa ni nani Mkuu alikuambia mila, desturi na heshima za watu wa pwani ndio taratibu na desturi za kiislamu?! Hili ndio latizo la wengi......utasikia "hata waarabu wenyewe....!" lengo ikiwa ni kutaka ku-justify matendo ya waarabu na uislamu!! Uslamu hauna mipaka kwahiyo si sahihi kuzani mila za pwani ndizo mila za kiislamu! Hata hivyo, mila za kiislamu duniani kote zipo sawa bila kujali ni bara au pwani!! Kama suala ni utamaduni wa kiislamu basi Muislamu wa Tabora na Unguja wote mila zao ni zilezile lakini not necessarily kwamba mila za watu wa tabora na unguja ni sawa!
 
Mi nashauri mkubaliane kutokukubaliana. Mwandishi ameelezea utofauti kati ya Baba na Rais bora wa Taifa,kila mtu ameelewa,labda kama mtu hakubali. Halafu ameonyesha kuwa asili ya ubaba wa taifa ama jina hilo haikutokea kanisa katoliki wala si Roma wanaotoa jina hilo kwa viongozi wa nchi hapa duniani,iwe za kiislamu au kikristo. Hata hatukuwahi kusikia aliyetoa jina hilo alikuwa kardinali Rugambwa au Pengo! Mi nadhani imechukuliwa kifamilia zaidi kwamba...kiongozi wa familia huwa ni mwanamume. Na kwa bahati ni kwamba wanaharakati wengi katika ukombozi na mapinduzi ya nchi zao,walikuwa wanaume... Kifamilia kuna mambo ambayo hayakamiliki hadi baba aje.. Heshima ya ubaba,ni kuonesha uongozi,msimamo,ujasiri,vision,na maamuzi ambayo hata kama yatapingwa na watoto au wake zake,ya baba yanakuwa ya mwisho.. Someone can correct me ila huo ndiyo ufahamu wangu.

Hii inakosa mashiko?
 
Mag3 na wenzako hamuwezi kufananisha mambo wanayoandika na kutumia nchi zingine ndio utufanye tukinahi kuwa hiyo ndio "norm".

Mimi nnasema hivi, Waislaam hawana vyeo vya u "baba", baba ni aliyekuzaa tu, hivyo vyeo vipo kanisani, hata wale wasiruhusiwa kuzaa na kanisa wanaitwa ma "baba", baba mtakatifu, baba askofu, baba mchungaji na sasa "baba" wa Taifa, na hao uliowataja kuna uwezekano ni washirika wa kuyaendeleza wasiyoyajuwa. Waislaam wengi hatukubaliani na hiki cheo cha u baba ambacho asili yake ni kanisani. Kwanini mlazimishe? sisi tunasema Nyerere ni Rais wa kwanza wa JMT. hakuna cha zaidi.

Vyeo vyenu vya kanisani viishie hukohuko kanisani, msitujaze ujinga wa kuwa na baba ambao hata kuzaa hawaruhusiwi, hayo ni yenu nyinyi na mnaelewa kwanini mnawaita ma baba hao ambao si baba zenu.

Moja ya mambo Uislam umekataza ni kujipa nickname hilo hulioni na umeona ni fahari kubwa, kwa ufupi kama ulivyoamua kuchagua lipi la kufuata kwenye Uislamu; waachie hao walioamua kumwita Mwl. Nyerere Baba wa Taifa; huu ubishani wako ni sawa na wale walioamua kuchagua haramu; nguruwe haramu, pombe sawa tu, zinaa kama kazi; na zaidi hakuna kipengele kwenye katiba yetu kinacholazimisha lazima watanzania wamwite Mwl. Nyerere Baba Taifa. Watanzania wameamua kumuenzi kwasababu ya upendo wa kiongozi wao nadhani hata mazishi kama ulipata nafasi ya kuangalia uliiona jinsi alivyojizika, siku zote tuaamini mtu hujizika kwa amali yake; hata shikamoo kwenye Uislamu si sahihi je ni Waislamu wangapi wanaitumia? Kwa hiyo Mama Faiza Foxy siku ukisikia mh. Kikwete kapeleka marekebisho ya katiba kupendekeza kipengele cha kumfanya Mwl. Nyerere awe Baba wa Taifa rudi jamvini na hoja hiyo hivi sasa haileti maana kamili; wasomi hukubaliana kutokubaliana .

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Mkuu wangu mnalazimisha vitu. Wapakistan wakiandika baba wa Taifa haina maana yoyote kuwa ndioi Uislaam ni jadi zao Za kiutawala ambazo zimetumika ktk usemi huo wa baba wa Taifa. Na Pakistan kwenyewe kuna mengi machafu wanayafanya kinyume cha Uislaam hivyoi kujiita nchi ya kiislaam haina maana yoyote ikiwa hutafuata Uislaam. Ni sawa na Mkristu anayekula nguruwe akihalalisha yeye lakini hakuna mahala popote ndani ya Biblia kunahalalisha. Na siwezi kutumia kumwona mtu anakula nguruwe na kusema ndio Ukristu kwa sababu tu wakristu wengi wanakula..Na ukweli haswa wa hizi sheria asili za Canon law ndizo Uislaam na tunatakiwa kuzitumia lakini leo Wakristu wanawaita hawa wanaotumia Canon law ndio magaidi na uncivilized huku wakiamini sheria hizo vitabuni.

Kwa hiyo tusichanganye sana maswala ya dini na dhana yetu ya demokrasia ama sijui niite ulimbukeni wa kuiga mambo ya dunia. Faizafoxy anazungumza kwa gear tofauti kabisa na kama hutajaribu kumwelewa na kuelewa fasaha ya mambo haya ni kutafuta kubishana tu..Mimi namwita Nyerere baba wa Taifa lakini sivyo nilivyoamrishwa ktk Uislaam, sitakiwi kumwita Nyerere baba wala nani isipokuwa mzazi wangu kama navyokatazwa kumwita Mungu kiumbe yeyote yule zaidi ya Muumba. Lakini yupo jamaa hapa mshikaji kutoka west anaitwa Mungu na huwa namwita Mungu ambalo ni jina lake...na kwa wewe mkristu wa Tanzania hutakiwi kumwita mtu yeyote Yesu (kama sikosei) lakini wapo watu kutoka South America wanaitwa Yesu. kumwita mtu huyu haina maana unatumia dini yako ama inaondoa maana ulokusudia ulipolitaja jina hilo.
U know nothing about Christianity..Just keep on talking about Islam. Biblia hatafsiriwi kama ilivoandikwa my friend, u need more than a normal human spirit to understand it.
Vp kuhusu bata na pweza..biblia inasemaje? Kwa nn nguruwe tu ndo tatizo kwenu?
 
Hapa umejiongezea sifa nyingine nayo ni ile ya unafiki. Mbona hukumpinga huyu mentor wako alipodai haya hapa chini. Kumbuka wewe na Mohamed Said umewahi kudai hamkukutana barabarani bali mmetokea mbali tangu enzi za wazee wenu (baba zenu ?).


Kila unavyojitahidi kuukwepa ukweli ndivyo unavyozidi kujikanganya. Hivi wewe unaongea kwa niaba ya Waislaam wa wapi maanake kila unapopewa ukweli, una"question" ilmu ya hao Waislaam wanaofanya tofauti na unavyoamini wewe - hivi FaizaFoxy, wewe ndiye Muislaam aliyekamilika kuliko hao wengine ? Unapata wapi ujasiri na mandate ya kuwahukumu usiokubaliana nao hadi wale ambao hiyo lugha ya kiarabu ndiyo lugha yao ya asili ?
Kwanza huyu FaizaFoxy ashukuru yuko Tanzania na anaweza kulumbana na wanaume mitandaoni kwa sababu hii nchi sio ya kidini. Ninamhakikishia kama angekuwa kwenye nchi ya kiislamu asingepata hiyo ruksa. Nadhani hilo nalo analijua fika, ingawa kama kawaida yake; atabisha!
 
WTZ na Elimu za Kucopy. Hivi mtu unataka kujenga hoja, kwa nini unatumia mifano ambayo haina hata misingi na foundation za critical thinking.

Chukulia, mfano- Hoja inayojengwa hapa na wale wanaojiita supporter of Mwalimu Nyerere. Wanashindwa kuelewa hizo nchi nyingi zenye kutumia hilo neno la "Father" limetokana na mizizi ya utawala wa kikoloni uliopita. Wanazugumzia, Pakistan, wanashndwa kuelewa hii nchi iligawanywa kutoka India baada ya Kutawaliwa na British "Wakristo" Na zipo nchi nyingi tu ambazo zinatumia hili neno kwa sababu ya colinization system iliyopita.

Kama walivyosema wachangiaji wakubwa hapa- mambo ya dini ya Kiislamu hamyajui, na msichanganye mambo ya traditional yaliyopo ktk dunia na religion. Bora mkae kimya msome ili muelimika kuliko kujenga hoja ambazo hamjui hata kuzijibu Kielimu.

Unahitaji masaa mengi zaidi darasani. Go get educated and come back for a serious discourse
 
Moja ya mambo Uislam umekataza ni kujipa nickname hilo hulioni na umeona ni fahari kubwa, kwa ufupi kama ulivyoamua kuchagua lipi la kufuata kwenye Uislamu; waachie hao walioamua kumwita Mwl. Nyerere Baba wa Taifa; huu ubishani wako ni sawa na wale walioamua kuchagua haramu; nguruwe haramu, pombe sawa tu, zinaa kama kazi; na zaidi hakuna kipengele kwenye katiba yetu kinacholazimisha lazima watanzania wamwite Mwl. Nyerere Baba Taifa. Watanzania wameamua kumuenzi kwasababu ya upendo wa kiongozi wao nadhani hata mazishi kama ulipata nafasi ya kuangalia uliiona jinsi alivyojizika, siku zote tuaamini mtu hujizika kwa amali yake; hata shikamoo kwenye Uislamu si sahihi je ni Waislamu wangapi wanaitumia? Kwa hiyo Mama Faiza Foxy siku ukisikia mh. Kikwete kapeleka marekebisho ya katiba kupendekeza kipengele cha kumfanya Mwl. Nyerere awe Baba wa Taifa rudi jamvini na hoja hiyo hivi sasa haileti maana kamili; wasomi hukubaliana kutokubaliana .

Chama
Gongo la Mboto DSM

Mkuu, JF sio sehemu ya porojo ebu tuwekee ili bandika linalosema uislam unakataza Nicname...

Omar-Ibn-Khattab huyu nickname yake ni "Abu Lulu"

Abu Bakr huyu nickname yake ni "Abu Quhafa"

Hawa ni maswaaba wa Mtume Mohammad walikuwa wanatumia hizi nickname zao..

Tunasubiri jibu mkuu
 
Back
Top Bottom