Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

Mwl. J.K. Nyerere is the founder and architect of this Nation. Everyone knows this. Why are people recently finding it hard to acknowledge this fact?
 
.Watu wengine vichwa vyao sijui vinamchanga ndani unamwita baba wataifa ili apate faida gani huko aliko unajua ni kitu gani kinamtokea nilishasema nyerere kafa samahani siwezi kumuita baba wa taifa kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu na ndio maana pale uwanja wa taifa walikuwa wanampa heshima za mwisho kwasababu huko aendako hana heshima hata kidogo mungu hakumleta aje atumikie siasa !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kukariri nako kubaya sana. historia yenyewe ya kukariri. kwani yerere ndiyo dini yenu. tusiotaka kumwabudu mtuache kwani tuna sababu. kama hamtaki tumieni mtutu. kwani mmetumwa na nani? N nilazima kuamini hivyo?
 
Mchambuzi umechambua vizuri sana ,Katika marais waliopita hajawahi kutokea kama Mwalimu Nyerere na sidhani kama atakuja kutokea sijui ,
Nyerere baba Nyerere tutakukumbuka daima,
 
Watu wengine vichwa vyao sijui vinamchanga ndani...
Nadhani tuanze na kichwa chako kilichojaa kokoto, manaake wewe unajiita Boko haram na wakati huo huo unajieleza kwa kizungu (Still Muslim Untili the Day I Die), halafu bado unatumia teknolojia ya mtandao. Hujui maana ya Boko haram? Acha kujikanganya. Boko haram ina maana elimu ya kimagharibi ni haram. Kwa hiyo ninakushauri kwanza acha kutumia kizungu kwenye avatar yako. Na tangu leo acha kutumia JF kwa sababu ni chombo kinachotumia teknolojia ya kimagharibi!

Watu kama nyie na akina FaizaFoxy ndo mnaozidi kuharibu hadhi ya dini ya kiislamu kwa kujifanya wajuwaji kupindukia.
 
Mwl. J.K. Nyerere is the founder and architect of this Nation. Everyone knows this. Why are people recently finding it hard to acknowledge this fact?

There is a section of people in our society which is so disunited and would like to be united.
They failed to unite by virtue of love and common goals.
They are now trying to unite by virtue of having a common enemy.
They are trying to unite by having common hatred towards one man.
They are trying to make every one hate Nyerere.
By hating Nyerere, they presumably stick together.

And that is the problem.

Fortunately for us peace lovers, unity founded on hatred has never been long lasting.
 
Tafsiri ya Baba ni hii apa...

Baba ~Father Adoptive~baba wa kupanga..

Baba~ Father Putative~baba wa kudhaniwa step~baba wa kambo..

Fathers of the Church~waanzilishi wa kwanza wa Kikristo katika (karne tano za mwanzo)..

Father~Padre..

Father~Kasisi..

Father~kiongozi katika nyumba ya mapadre..

Father~the Holy~Baba Mtakatifu..

Father~ jina la kupanga~Christmas Noel..

Nyerere kapewa the Holy Father of the Nation~Baba wa Taifa Mtakatifu..
 
Thanks Nanren for your thoughtful comments. I would love to know what contribution, if any, people who soil Mwl. Nyerere's reputation have done for this Country!
 
There is a section of people in our society which is so disunited and would like to be united.
They failed to unite by virtue of love and common goals.
They are now trying to unite by virtue of having a common enemy.
They are trying to unite by having common hatred towards one man.
They are trying to make every one hate Nyerere.
By hating Nyerere, they presumably stick together.

And that is the problem.

Fortunately for us peace lovers, unity founded on hatred has never been long lasting.

Well said Nanren..But I doubt if they gon reply u, even if they will it's all gon be crap.

I always keep on saying; the problem with these guys is that…they do not know their enemyor themselves.
Look now..they are fighting with deceased enemy (Nyerere) instead of fighting with the living one (who they dont know anyway)
 
Mchambuzi!
Naunga mkono hoja ila next time jaribu kufupisha hii ni ndeefu sana!

Jamani, mbona aliomba radhi mapema kuwa article yake ni ndefu tumvumilie!? kuna wengine hawatuelewi mapema hadi mtu atoe maelezo ya kuanzia Ubungo hadi Msamvu! Hata hivyo tunamshukuru Mchambuzi kwa darasa lake tosha....big up!
 
Thanks Nanren for your thoughtful comments. I would love to know what contribution, if any, people who soil Mwl. Nyerere's reputation have done for this Country!
They are busy selling our country to the lowest bidders of this earth. They are busy getting rich, they and their children wanaoishi kimjinimjini while the country gets poorer. They are busy looking for handouts while our minerals are being stolen in broad daylight.
That is what they are busy doing. Now they have found that religion can be used to camouflage their evil deeds. But we have their number and it is just a matter of time.
 
Mag3. Kuna haja gani kuwauliza kina FF, kuhusu nyie, na kumbe wenyewe mpo? Mosi. Tueleze ww ni nani hapa JF na humu chini? Pili. Unapoamua kumwaga mboga, basi mwaga na ugali tujue moja. Tufafanulie aina ya watu waliovamia JF mwaka jana mwezi wa saba. Tatu. Tujulishe nani aliyekudanganya kuwa nchi ulizo orodhesha hapo ni za Kiislam?

Umeona eh...? Mag3 anasema eti aulizwe FaizaFoxy kuhusu yeye....OMG! of all the people aulizwe FF? this shows what kind of a person Mag3 is!
 
aaaah kumbe FF kweli kichwa maji kajifanya anajua ila leo kapatikana

kakomaa lakini mwishowe kakimbia,usikute jini mahaba

kamtembelea dada yetu.
 
U know nothing about Christianity..Just keep on talking about Islam. Biblia hatafsiriwi kama ilivoandikwa my friend, u need more than a normal human spirit to understand it.
Vp kuhusu bata na pweza..biblia inasemaje? Kwa nn nguruwe tu ndo tatizo kwenu?

eee bwanaee,kiongozi nimekukubali mimi nina marafiki zangu siku za nyuma pale magomeni

msikitini wakati wa idi walikuwa wanagawiwa nyama za NGAMIA,swali je kuruani imealalisha...,labda

killa mmoja wao anatumia masaburi kuelewa mambo.
 
Mag3 na wenzako hamuwezi kufananisha mambo wanayoandika na kutumia nchi zingine ndio utufanye tukinahi kuwa hiyo ndio "norm".

Mimi nnasema hivi, Waislaam hawana vyeo vya u "baba", baba ni aliyekuzaa tu, hivyo vyeo vipo kanisani, hata wale wasiruhusiwa kuzaa na kanisa wanaitwa ma "baba", baba mtakatifu, baba askofu, baba mchungaji na sasa "baba" wa Taifa, na hao uliowataja kuna uwezekano ni washirika wa kuyaendeleza wasiyoyajuwa. Waislaam wengi hatukubaliani na hiki cheo cha u baba ambacho asili yake ni kanisani. Kwanini mlazimishe? sisi tunasema Nyerere ni Rais wa kwanza wa JMT. hakuna cha zaidi.

Vyeo vyenu vya kanisani viishie hukohuko kanisani, msitujaze ujinga wa kuwa na baba ambao hata kuzaa hawaruhusiwi, hayo ni yenu nyinyi na mnaelewa kwanini mnawaita ma baba hao ambao si baba zenu.

Sijuwi mambo ya udini mmeyatoa wapi!? hivi hakuna kitu kitajadiliwa humu muache kuangalia kwa angles za udini? mbona nyie watu ni wabaguzi sana? Watanzania ni Waafrika, tena wengi ni Wabantu, kwa mila na tamaduni za kiafrika (siongelei dini yoyote hapa) ukimpa mtu heshima utamwita baba kama ni mwanaume na mama kama ni mwanamke. Kumwita Nyerere baba wa taifa tatizo liko wapi kwa mtu aliyekuwa Rais wa kwanza baada ya uhuru, kiongozi aliendesha harakati za Tanganyika kupata uhuru? Vigezo ni vingi lkn tuchukue hilo la kuwa rais wa kwanza baada ya uhuru, ni Mtanzania, ni muafrika kinawaumiza nini hadi mapovu yanawatoka mdomoni? Mnapungukiwa nini kwa Watz kumwita Nyerere baba wa taifa? FF, mwanaume mwenye umri mkubwa kwenu umefundishwa kumuita kwa jina lake? wenzio tumefundishwa kwa heshima hata kama ni baba wa mwenzio nami nitamuita baba. Kwa kuwa mnayatazama haya kidini no wonder mjadala umeingia makandokando kama haya....loh!

Tunaomkubali Mwl. Nyerere kama baba wa taifa tuseme NDIYOO.......NDIYOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!
Wanaomkataa Mwl. Nyerere kuwa si baba wa Taifa semeni SIYOO...............! (mkishajibu haya nendeni mkalale ebo!)
 
Nilikuwa na mwanangu anasoma darasa la 4 tunaangalia tv, walipotaja Nyerere baba wa taifa mwanangu akaniuliza:"eti mama wa taifa ni nani?".
Mi nadhani wanaotaka aitwe baba wa taifa waachwe waendelee na wasiotaka waachwe kusiwepo kulazimishana.Angekuwa kweli ni baba wa taifa kwa dhati basi taifa hili lisingekuwa na hali mbaya kiuchumi kama lilivyo hivi sasa.
Kinacho nishangaza ni unafiqi wa baadhi ya wtz wanaomuona Nyerere kama malaika lakini eti chama alichokiasisi amabcho ndicho kimetufikisha ha ni shetani? huu ni unaitwa uzabzabina.
 
Nilikuwa na mwanangu anasoma darasa la 4 tunaangalia tv, walipotaja Nyerere baba wa taifa mwanangu akaniuliza:"eti mama wa taifa ni nani?".
Mi nadhani wanaotaka aitwe baba wa taifa waachwe waendelee na wasiotaka waachwe kusiwepo kulazimishana.Angekuwa kweli ni baba wa taifa kwa dhati basi taifa hili lisingekuwa na hali mbaya kiuchumi kama lilivyo hivi sasa.
Kinacho nishangaza ni unafiqi wa baadhi ya wtz wanaomuona Nyerere kama malaika lakini eti chama alichokiasisi amabcho ndicho kimetufikisha ha ni shetani? huu ni unaitwa uzabzabina.
Sasa mbona na wewe mchango wako umekaa kiuzabizabina?
 
Nilikuwa na mwanangu anasoma darasa la 4 tunaangalia tv, walipotaja Nyerere baba wa taifa mwanangu akaniuliza:"eti mama wa taifa ni nani?".
Mi nadhani wanaotaka aitwe baba wa taifa waachwe waendelee na wasiotaka waachwe kusiwepo kulazimishana.Angekuwa kweli ni baba wa taifa kwa dhati basi taifa hili lisingekuwa na hali mbaya kiuchumi kama lilivyo hivi sasa.
Kinacho nishangaza ni unafiqi wa baadhi ya wtz wanaomuona Nyerere kama malaika lakini eti chama alichokiasisi amabcho ndicho kimetufikisha ha ni shetani? huu ni unaitwa uzabzabina.

Acha uzabizabina wako hapa! kama huijuwi historia nyamaza! wewe kataa au pinga Nyerere kuitwa baba wa taifa - fullstop! hayo ya kusema kama angekuwa baba wa taifa kwa dhati taifa lisingekuwa na hali mbaya kiuchumi kama ilivyo sasa?! Una maana gani? Nyerere aliongoza kipindi cha kwanza, kipindi cha pili, tatu na nne aliongoza yeye? fanya assessment ya kuporomoka kwa uchumi na si kusingizia eti kwa ajili ya baba wa taifa! Nyerere ndiye akiyeuza viwanda? Nyerere ndiye aliyeleta IPTL, Richmond, Dowans, EPA na kumilikisha migodi ya madini? Come to your senses!
 
Mkuu, JF sio sehemu ya porojo ebu tuwekee ili bandika linalosema uislam unakataza Nicname...

Omar-Ibn-Khattab huyu nickname yake ni "Abu Lulu"

Abu Bakr huyu nickname yake ni "Abu Quhafa"

Hawa ni maswaaba wa Mtume Mohammad walikuwa wanatumia hizi nickname zao..

Tunasubiri jibu mkuu

Najua porojo zina kikomo rudi tena kwa ustaadh wako muulize kuhusu nickname labda kwa kukufanulia zaidi Uislamu hauendani na nickname ambazo haziendani na utamaduni wa dini yetu. Foxy keshajua naongelea nini niliwahi kumshauri atumie jina kama waridi ama asumini nilikuwa na sababu sikutaka kulumbana JF.
Ukipata majibu rudi

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Kumezuka tabia ya baadhi ya Watanzania kukebehi heshima aliyopewa Mwalimu Nyerere, kama Baba wa Taifa la Tanzania.
Mungu amrehemu Baba Wetu wa Taifa, Mwalimu Julius Kambaraga Nyerere.

Mungu Ibariki Tanzania.

yule mzee ,aliwalogo mkalogeka vizuri..."BABA WA TAİFA" masikini tz . Nchi hii itaendelea kuwa masikini mpaka kundi linalo endelelea Kumuabudu yule mzee litoweke . Hivi mchonga meno angekuwa bado rais wa tz , tungekuwa hapa tulipo? Hivi mumesahau mateso waliyoyapata wa tz chini ya utawala wa Hambiliki? ACHENI MAWAZO MGANDO...
Kama kweli mnamapenzi na aliekua dikteta wa tz ...inawapasa kuwaomba radhi wa tz kwa jina la baba yenu wa "taifa". Vinginevyo ni sawa na kupaka rangi upepo...Yule mzee anahukumiwa kwa matendo yake na si kingine.
 
Back
Top Bottom