Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

Kwa ufupi sana labda niseme msingi wa mkuu wa AZIMIO LA ARUSHA ulikua ni "uchumi kumilikiwa na SERIKALI" .... hebu tujikite ktk hili.... bila kuwaudhi kwa maelezo marefu ya kisiasa ngoja nitoe mifano ya kimaelezo ....!

Mwaka 2008 uchumi wa DUNIA nzima ulianguka na sio IMF wala WB waliokuwa na jibu ila lililo kutokea km ndio tatizo dhahiri ilikuwa BIASHARA HURIA hivyo wakuu wa nchi zenye Uchumi mkubwa walikaa (G20) na katika mwaka huo walikaa mara mbili badala ya moja kwa mwaka km kawaida yao... kubwa walilokua wanalifanya ni kutunga sera zenye kuhakikisha serikali zinaweka udhibiti ktk Biashara (Huria)
Serikali ya Marekani ilinunua hisa za Mabenki yote (4) Makubwa ... serikali ya Uingereza iliyatwaa Mabenki yote makubwa (9) ... Hali ya Uchumi ilirejea ktk ukuaji wa kila mwaka na sasa hali ya uchumi wa kidunia unakua vyema

Katika nchi ambayo serikali ilimiliki njia za Uchimi km China na karibuni Venezuela hazikuathirika na kutokukujua kwa uchumi wao. Uchumi wa China ukiendelea kujua kwa kati ya 8% na 12%

AZIMIO LA ARUSHA likihimiza umiliki wa nji kuu za uchumi kumilikiwa na serikali..... Sera hii ndio iliyotumika kuuokoa Uchumi wa DUNIA na pia kuuliza Uchumi China na Venizuela....!

Mwaka 1986 Mwl. Nyerere alimhakikishia Regan na Thecher kuwa sera ya Biashara huria ni kosa Iliyoasisiwa mwaka huo...miaka 22 baadae hakuna anayebisha kuwa Biashara huria kuwa ni kosa.... Tumelitupa Azimio ambalo ni jibu la mengi ya mambo yasioende vizuri km taifa.
nimependa sana hoja zako mkuu. lakini je ,mwalimu aliweka mfumo kwamba marais wanaokuja watambue kwamba serikali kujiingiza katika biashara na kuregulate biashara ndo mfumo sahihi wa maendeleo?. pengine hata nchi za ulaya hazikujua hilo .hili linaonyesha mwalimu hakuwa na maono.


hakujinge
 
Nchi hii ilikosa misingi ya kuifikisha ipasapo ilipokabidhiwa madaraka ya kujiendesha yenyewe. Kumbuka, hatukupewa Uhuru, kwani mwaka 1961 tulikuwa hatutawaliwi.

Aliyeshindwa kuweka hiyo misingi imara ni Julius Kmabarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?

Nyerere alishindwa kuweka misingi imara na ndio maana kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni? alikuwa hana muono?

Tujadili.


Faiza, I respect you so much for many views and contributions you have done to this forum, but when it comes to Mwalimu Julius Nyerere you better leave him alone, Mwalimu laid foundations for this this nation as leader who was disciplinary and above corruption. Mwalimu Julius Nyerere's principles and values that he stood for, still arose deeply interest within and between the school of thoughts, scholars and intellectuals for many years after his death.

Don't compare Mwalimu with bunch of thieves like Ally Hassan Mwinyi, Ben Mkapa and the apex of all thieves Kikwete who has used his friends such as Lowassa, Rostam, Mkullo, Ngereja, Chenge, Karamagi, his son Ridhwan and others for plundering and looting our wealth and stash them abroad while leaving Tanzanians with high inflation rate, high unemployment rate, low GDP, low purchasing power parit and, poor balance of payment.

Right now CCM has nothing to offer except kutaja urefu wa barabara za lami as if ni muhimu zaidi ya ajira na mfumuko wa bei people can live without barabara za lami but they can't live without works that means kipato.
 
safari ndefu sana kujenga nchi ya usawa. unataka kuniambia mama nyerere akidhulumiwa kiwanja marafiki wa nyerere wamsaidie?.unafuata utawala wa sheria?
mama nyerere akidhulumiwa nikama mwananchi wakimasai au waloliondo amedhulumiwia.hakuna special treatment katika sheria. legacy ya mwalimu hujaielewa bado.

Hiyo unayosema ni nadharia ambayo Mwalimu alikuwa anaitekeleza. Lakini sasa haipo.

Je, mama Anna Mkapa anaweza kudhurumiwa kiwanja kama alivyodhurumiwa mama Maria Nyerere?
 
Kwa ufupi sana labda niseme msingi wa mkuu wa AZIMIO LA ARUSHA ulikua ni "uchumi kumilikiwa na SERIKALI" .... hebu tujikite ktk hili.... bila kuwaudhi kwa maelezo marefu ya kisiasa ngoja nitoe mifano ya kimaelezo ....!

Mwaka 2008 uchumi wa DUNIA nzima ulianguka na sio IMF wala WB waliokuwa na jibu ila lililo kutokea km ndio tatizo dhahiri ilikuwa BIASHARA HURIA hivyo wakuu wa nchi zenye Uchumi mkubwa walikaa (G20) na katika mwaka huo walikaa mara mbili badala ya moja kwa mwaka km kawaida yao... kubwa walilokua wanalifanya ni kutunga sera zenye kuhakikisha serikali zinaweka udhibiti ktk Biashara (Huria)
Serikali ya Marekani ilinunua hisa za Mabenki yote (4) Makubwa ... serikali ya Uingereza iliyatwaa Mabenki yote makubwa (9) ... Hali ya Uchumi ilirejea ktk ukuaji wa kila mwaka na sasa hali ya uchumi wa kidunia unakua vyema

Katika nchi ambayo serikali ilimiliki njia za Uchimi km China na karibuni Venezuela hazikuathirika na kutokukujua kwa uchumi wao. Uchumi wa China ukiendelea kujua kwa kati ya 8% na 12%

AZIMIO LA ARUSHA likihimiza umiliki wa nji kuu za uchumi kumilikiwa na serikali..... Sera hii ndio iliyotumika kuuokoa Uchumi wa DUNIA na pia kuuliza Uchumi China na Venizuela....!

Mwaka 1986 Mwl. Nyerere alimhakikishia Regan na Thecher kuwa sera ya Biashara huria ni kosa Iliyoasisiwa mwaka huo...miaka 22 baadae hakuna anayebisha kuwa Biashara huria kuwa ni kosa.... Tumelitupa Azimio ambalo ni jibu la mengi ya mambo yasioende vizuri km taifa.

umongea akili sana mkuu, lakini swali ni je mwalimu alisimamia alichokiamin i?
 
Aliwafukuza kwasababu hakutaka kuwa na kundi la walafi, elewa hoja yangu......Alifanya hivyo kuepuka hiyo dhambi.

Je ccm,

a) kunakambi ngapi.......kwanini watu wenyelengo moja la kushika dola, ndani pawe na makundi? (tafsiri ya chama cha siasa tafadhali..)

b) Je ccm wanawezaje kuwa na malengo tofauti ndani ya chama kilekile cha siasa (Makundi)? kwanini hawayakemei makundi?

Upeo wako kuhusu siasa ni SIFURI.

Slaa kuwafukuza wapinzane ni ishara ya UROHO wa madaraka si kitu kingine.
 
umongea akili sana mkuu, lakini swali ni je mwalimu alisimamia alichokiamin i?


Mkuu unawasiwasi na utawala wa mwalimu? Kwa dhati ya moyo wangu ndiyoooo alitekeleza japoa kasoro ndogodogo

hazikosi, lakini mambo yalibadilika kwa kasi alipong'atuka madarakani.



Nimekata hii paragraph ya Mwanamutapa hapa chini nimeipenda kwa kweli tena sana tu.

Mwalimu laid foundations for this this nation as leader who was disciplinary and above corruption. Mwalimu Julius Nyerere's principles and values that he stood for, still arose deeply interest within and between the school of thoughts, scholars and intellectuals for many years after his death.

Don't compare Mwalimu with bunch of thieves like Ally Hassan Mwinyi, Ben Mkapa and the apex of all thieves Kikwete who has used his friends such as Lowassa, Rostam, Mkullo, Ngereja, Chenge, Karamagi, his son Ridhwan and others for plundering and looting our wealth and stash them abroad while leaving Tanzanians with high inflation rate, high unemployment rate, low GDP, low purchasing power parit and, poor balance of payment.

Right now CCM has nothing to offer except kutaja urefu wa barabara za lami as if ni muhimu zaidi ya ajira na mfumuko wa bei people can live without barabara za lami but they can't live without works that means kipato
 
Upeo wako kuhusu siasa ni SIFURI.

Slaa kuwafukuza wapinzane ni ishara ya UROHO wa madaraka si kitu kingine.


Umejibu haya maswali au ndiyo kuweweseka kwenyewe...

Je ccm,

a) kunakambi ngapi.......kwanini watu wenyelengo moja la kushika dola, ndani pawe na makundi? (tafsiri ya chama cha siasa tafadhali..)

b) Je ccm wanawezaje kuwa na malengo tofauti ndani ya chama kilekile cha siasa (Makundi)? kwanini hawayakemei makundi? (hili ndilo Dr W. Slaa hakulitaka)
 
Sihui ni kwa kwa makusudi au kwa bahati mbaya, LAKINI
Nahisi watanzania tunaweza kuwa tunaongoza kwa kuwa wanafiki bila kujali tumelinganishwa na nani.
Watu wengi ambao wamekua wakitusi UJAMAA pamoja na AZIMIO LA ARUSHA
i. ndio hao hao wanaolalamikia watoto na wadogo zao kukosa mikopo ya ELIMU YA JUU.
ii. Ndio hao hao wanaolalamikia kukosekana kwa huduma bora za AFYA kwenye vituo vya afya na hospital za UMMA.
iii. Ndio hao hao wanaolalamikia kuuzwa kwa makampuni na mashirika ya UMMA kwa wageni.
iv. Na hawaachi kuimba kama sio juhudi zake Nyerere na hayo yote yangetoka wapi.

Na kila kinachopiganiwa hapo ni misingi iliyopo kwenye UJAMAA, sasa sijui ndio tunaimba UBEPARI lakn tunataka kucheza UJAMAA
Hofu yangu ni kwamba watanzania hatusomi maandiko ya Nyerere na wanafalsafa wengine ili tujue malengo yao yalikua ni nini, badala ya kuangalia utekelezaji uliofeli kama kigezo cha kuwakosoa. Serikali ni Mfumo, na kama ni mfumo kufeli kwake hakuwezi kuhusianishwa na mtu mmoja moja kwa moja bila kuangalia wengine walihusikaje kufika tulipofika.
Mwacheni mzee wa watu apumzike, na sie tusalie na uvivu wetu wa kufikiri.
mkuu . sio kwamba watu hatusomi/hatujui ujamaa na siasa za kujitegemea. ni kwamba hivyo vitu haviwezekani kwa
raisi asiye na msimamo au asiejua context of the world politics and economics kama nyerere. nyerere hakua na maono.
 
Hauna akili wala hujui kilichokufikisha hapo ulipo wewe uliyesoma bure na umeshindwa kufanya kitu chochote unamlaumu nyerere aliyepokea nchi ikiwa haina wasomi wakusaidiana naye. Hata watoto wako siku moja watakukana kuwa na mzazi mbumbumbu kama wewe copy chama
 
Last edited by a moderator:
mkuu . sio kwamba watu hatusomi/hatujui ujamaa na siasa za kujitegemea. ni kwamba hivyo vitu haviwezekani kwa
raisi asiye na msimamo au asiejua context of the world politics and economics kama nyerere. nyerere hakua na maono.

Una maono gani wewe hapo ulipo.
 
Umejibu haya maswali au ndiyo kuweweseka kwenyewe...

Je ccm,

a) kunakambi ngapi.......kwanini watu wenyelengo moja la kushika dola, ndani pawe na makundi? (tafsiri ya chama cha siasa tafadhali..)

b) Je ccm wanawezaje kuwa na malengo tofauti ndani ya chama kilekile cha siasa (Makundi)? kwanini hawayakemei makundi? (hili ndilo Dr W. Slaa hakulitaka)

Kwanza jiulize definition ya political party na definition ya policy utajikuta umeshapta jibu ya swali lako la kitoto.
Kwa akili zako za kitoto wakati Obama na Hillary wanashindania tiketi ya Democratic party na kuwa na makundi ilikuwa ni ulafi!!!

Hujui maana ya siasa, hujui maana ya political party, hujui maana ya policy halafu unataka kujadili mambo hadharani! Equip yourself with appropriate knowledge first...

Kwa akili yako ya kitoto unaona ni sahihi kwa Dr. Slaa kufukuza makundi mengine ili libakie kundi lake yeye peke yake! Yaani ni kama vile Hillary angesema kundi la Obama liondolewe!!!
 
Hauna akili wala hujui kilichokufikisha hapo ulipo wewe uliyesoma bure na umeshindwa kufanya kitu chochote unamlaumu nyerere aliyepokea nchi ikiwa haina wasomi wakusaidiana naye. Hata watoto wako siku moja watakukana kuwa na mzazi mbumbumbu kama wewe copy chama


Mamndenyi thanks for this post, i really appreciate.
 
hapa ishu ni dini sio nyerere
I really hate watu wanaojenga hoja za kisiasa kuhusu utawala wa Mwl. Nyerere kwa mlengo wa dini na kwa manufaa ya dini ambapo hawa watu hawako tofauti na wale wanaotetea hoja za kisiasa kuhusu utawala wa Mwl. Nyerere kwa mlengo wa dini na kwa manufaa ya dini.

Watu kama hawa ndiyo wana polorize hata hoja mbadala za kimaendeleo zinazopatikana katika kuiangalia historia ya nchi ndani ya utawala wa Mwl. Nyerere ziwe ni kaput. It's Unfortunate And Disgraceful.
 
Mshikamano wa kitaifa alioujenga Nyerere je, unathaminiwa na jamii? Je, Nyerere alisema nini kuhusu serikalki tatu? Je, wanasiasa na jamii ya leo inasema nini kuhusu serikali tatu? Je, alichofundisha Nyerere kinafanana na kinachosemwa na jamii?

Tatizo ni Nyerere(RIP)? Jamii?

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, aliwahi sema namnukuu " .....tatizo mnachukua mabaya mnaacha mazuri....hii haikuwa serikali ya malaika..."
 
Mamndenyi thanks for this post, i really appreciate.

Wanaleta hasira kama siyo nyerere hata saa hii ucku uhuru wa kuchat ungetoka wapi. Watu wengine ni kama mafurushi tu wamejikuta hapo walipo hawajui chochote.
 
Kwanza jiulize definition ya political party na definition ya policy utajikuta umeshapta jibu ya swali lako la kitoto.
Kwa akili zako za kitoto wakati Obama na Hillary wanashindania tiketi ya Democratic party na kuwa na makundi ilikuwa ni ulafi!!!

Hujui maana ya siasa, hujui maana ya political party, hujui maana ya policy halafu unataka kujadili mambo hadharani! Equip yourself with appropriate knowledge first...



1. Unafahamu makundi ya uliyowataja ni ya kikatiba na yanaexist wakati wa chaguzi za kisheria ndani ya vyama-marekani?

2. Niambie kundi la zito lilitambulika na nani na nini ilikuwa misingi (uchaguzi au nini hasa) y hata kupelekea kutimuliwa katika chama, Katiba ya chadema inasemaje.......

3. Je mpaka kufikia sasa kambi za Lowas, Membe, S. Sita, Nchimbi zinatambuliwa na chama (ccm) kama ilivyokuwa kwa Hillay clinton na barack Obakama kama ulivyonasibisha hapo juu?
 
Nitakujibu kwa swali ukilijibu utapata unachokihitaji.

Mtanzania wa kawaida anaishi kwa chini ya Tsh 1500 kwa siku.

Shule bora za kulipia ada kwa mwaka ni kuanzia 1.5 milion nakuendelea.

Swali watanzania wangapi wanauwezo wa kulipia ada hiyo?

a) wakulima na wafanyakazi wa kawaida

b) wa wafanyabishara za madawa ya kulevya, wabunge na mawazili

c) a, b, na c yote sawa?

Elezea kwanini?
acha hayo mawazo mkuu, mapebari manaseek for the best. wote tunataka elimu bora, ila mwalimu hakutuakikishia tunaipataje (mapungufu). tumeshagundua kwamba ili tupate elimu bora tunahitaji pesa. sasa tunapigania mgawanyo sawa wa pesa za tanzania
 
Tatizo ni Nyerere(RIP)? Jamii?

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, aliwahi sema namnukuu " .....tatizo mnachukua mabaya mnaacha mazuri....hii haikuwa serikali ya malaika..."

Mabaya gani kujenga vyuo kujenga mashule elimu ya ubure hospital bure tulisafi kwa warant kwenda shule kakosea wapi. Wangeboresha ujamaa na kujitegemea wangeboresha azimio la arusha ili litekelezeke siyo kumlaumu nyerere kwani aliondoka na nini?
 
  • Thanks
Reactions: ral
Back
Top Bottom