ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,689
...kwa hiyo tangu Nyerere aondoke watanzania tunachagua mafundi paa wakato hata msingi wa nyumba hakuna? mnaanza kuropoka taratibu mtajikuta mnajitukana wenyewe.
Hakuna siku nchi inayoitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itapata Rais mwingine wa KWANZA.
