Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
Nguvu walio nao wakina Nyani Ngabu inaonekana dhahiri jamaa wamejipanga kikamilifu watashinda haya maneno ya Membe hayawezi kuwazuia kama kuwepo wameshaingia na wanakimbiza ile mbaya kitaa.Soon kwa ushawishi mkubwa alionao NN hapa JF atapendekeza wapewe jukwaa lao,na,watapewa.