Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
Sass ni jambazi gani aliyafanya hayo matatu? Huyo Nyamongo ndio kwanza namsikia kwakoWatu wa Nyamongo niliwapa habari ya Jombi wakasema alikuwa Mtoto wa mama tu.
Sass ni jambazi gani aliyafanya hayo matatu? Huyo Nyamongo ndio kwanza namsikia kwakoWatu wa Nyamongo niliwapa habari ya Jombi wakasema alikuwa Mtoto wa mama tu.
Jambazi Mkuu ni CCMWatanzania mko very desparate hadi imefika hatua mnashindanisha majambazi kuwa nani mkali zaidi ya mwenzake.
Van dame wa sinza alichezeshewa nakozi na ostazi alivyotaka kuchukua kwa lazima sadaka msikitiniWapi shetani aliebarikiwa,wapi haji vandame wa sinza,wapi cool 9
Wee fuatisha mamuvi ya kihindi uje kufa.Hizo ndo zangu mkuu ikija issue ya kukabiliana na silaha za moto mimi natisha hata kwenye elite force yetu wananifaham. Unaweza kunifyatulia risasi nikaikwepa yani na bwaka chini kwa chini naibukia kwengine wakati bado unashangaa shangaa naibukia nyuma yako nakukuwasha konzi la hatarii kisogoni na kukunyanganya silaha kiulaini
Cheka balaaVan dame wa sinza alichezeshewa nakozi na ostazi alivyotaka kuchukua kwa lazima sadaka msikitini
kuveta mzee wa mapanga pia walikuwepoMburahati kulikuwa na mtu wa kuitwa Abdallah kuveta miaka ya tisini
Benaco ya Ngara?Kuna msera wangu mmoja alikuwa akijulikana kama baba Shilingi pale Benaco
Mbona wadau wanadai Van Same alikula nakoz mkuuWapi shetani aliebarikiwa,wapi haji vandame wa sinza,wapi cool 9
Wewe movie zitakua zimekuvuruga ubongo..Hizo ndo zangu mkuu ikija issue ya kukabiliana na silaha za moto mimi natisha hata kwenye elite force yetu wananifaham. Unaweza kunifyatulia risasi nikaikwepa yani na bwaka chini kwa chini naibukia kwengine wakati bado unashangaa shangaa naibukia nyuma yako nakukuwasha konzi la hatarii kisogoni na kukunyanganya silaha kiulai
Kuna mwamba pale morogoro nimemsahau jina ila ilikua miaka ya 98 jamaaa alitikisa hatari walikuja kumuua pale soko kuu moro baada ya watu kuwatonya askali jamaa alikua anakuja dar wakamkuta kwenye abood akaruka ndo akaanza kukimbizana na maaskari lakini alaiua asikali wawili nae ndo kufika soko kuu wakampiga ..dah yule mwamba hua sisahau ilikua km movie maana tulikua ndo tunaenda shule milio ya risasi ilikua inalia km tuko ukrain hatari sana.