Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 5,706
- 8,964
Naona mapicha picha tu
Naunga mkono hojaHawa jamaa tuwatengenezee movie kabisa...Maana ni ma'role model wazuri kwa watoto wetu.
Huna unachokijua wewe motiveshenoo sipika. Hujawai kusikia habari za akina Osama bin ladeni? Au ndio kujifanya unajuaWatanzania mko very desparate hadi imefika hatua mnashindanisha majambazi kuwa nani mkali zaidi ya mwenzake.
Huyo ni mchambuzi anachambua comment mkuuHuna unachokijua wewe motiveshenoo sipika. Hujawai kusikia habari za akina Osama bin ladeni? Au ndio kujifanya unajua
Umsogelee mtu ana cha moto.Zali kama hizo mbona hazikunitokea. Yani huyo boya kenonke ndo anitokee hivyo na maswali yake ya kipumbavu ningemjibu pumba halafu huo mkono ningevyomtembezea
Hizo ndo zangu mkuu ikija issue ya kukabiliana na silaha za moto mimi natisha hata kwenye elite force yetu wananifaham. Unaweza kunifyatulia risasi nikaikwepa yani na bwaka chini kwa chini naibukia kwengine wakati bado unashangaa shangaa naibukia nyuma yako nakukuwasha konzi la hatarii kisogoni na kukunyanganya silaha kiulainiUmsogelee mtu ana cha moto.
Mwamba una mikwara🤣🤣🤣🙌Dogo kwa kujifanya kujuwa mambo ya zamani. Unapendaga sana kutegesha sikio kwenye vijiwe vya kahaea vya wazee
Huyo jamaa alikua nyokoNdanje huyo
Huyo Mkurya ni mchumba tu.Kwa miaka mitatu mfululizo niliamua kufanya utafiti wa kina maeneo ya Arusha, Mbeya na Mara, utafiti huu ulikuwa hasa ukiangalia kwa ukaribu maisha ya Nyokaa, Kenonke na Jombi.
Nilikaa maeneo hayo yote kwa miezi 6, kuzungumza na watu waliokaa na hii miamba, wahanga wa matukio ya hawa jamaa nk.
Kwa umafia wa kibabe nilijiridhisha pasipo shaka kuwa Kenonke wa Nyamongo alikuwa ni habari nyingine, Jombi anashika namba mbili , Nyokaa alikuwa ni hatari kwa mazingira yake lakini hakuwafikia hawa wawili.
Njia pekee ya kummaliza Kenonke ilibidi jeshi la polisi- liombe msaada kutoka wenzao wa JWTz, pamoja na kupata intelijensia kutoka kwa watu wake wa Katibu.
Watanzania mko very desparate hadi imefika hatua mnashindanisha majambazi kuwa nani mkali zaidi ya mwenzake.
Nilipofika pale darajani siku ile ndiyo mikimiki ilipoanza, na basi lilikuwa BM siyo Abood.Huyo jamaa alikua nyoko
Mtoto wa jombi alikuwa hapo sinza kijiweni na ni mtu poa tu.... jombi kasumbua sana huku kwa wasafwa...Huyo Mkurya ni mchumba tu.
1. Hakupelekwa Ikulu kuonana na raisi
2. Hakuharibu uhusiano wa kimataifa
3. Hakuisababishia nchi ifutiwe misaada.
Kuna mwamba pale morogoro nimemsahau jina ila ilikua miaka ya 98 jamaaa alitikisa hatari walikuja kumuua pale soko kuu moro baada ya watu kuwatonya askali jamaa alikua anakuja dar wakamkuta kwenye abood akaruka ndo akaanza kukimbizana na maaskari lakini alaiua asikali wawili nae ndo kufika soko kuu wakampiga ..dah yule mwamba hua sisahau ilikua km movie maana tulikua ndo tunaenda shule milio ya risasi ilikua inalia km tuko ukrain hatari san
Alikua anaitwa ...ndanje...ni noma huyo mwamba...kama unasikilizaga mchiriku..jaguar music wanamtajaga sana maza ake na ndanje...mama ndanje.Kuna mwamba pale morogoro nimemsahau jina ila ilikua miaka ya 98 jamaaa alitikisa hatari walikuja kumuua pale soko kuu moro baada ya watu kuwatonya askali jamaa alikua anakuja dar wakamkuta kwenye abood akaruka ndo akaanza kukimbizana na maaskari lakini alaiua asikali wawili nae ndo kufika soko kuu wakampiga ..dah yule mwamba hua sisahau ilikua km movie maana tulikua ndo tunaenda shule milio ya risasi ilikua inalia km tuko ukrain hatari sana.
Bujii...unamjua mwasimba?Huyo Mkurya ni mchumba tu.
1. Hakupelekwa Ikulu kuonana na raisi
2. Hakuharibu uhusiano wa kimataifa
3. Hakuisababishia nchi ifutiwe misaada.
Bm kaanza juzi tu enzi hizo ni Abood, islam na sadiq ndo gari zilikua zinakimbiza moro.Nilipofika pale darajani siku ile ndiyo mikimiki ilipoanza, na basi lilikuwa BM siyo Abood.
Kwenye hiyo abood alipanda na demu wake mmoja hivi, mkalii sana...totoz ya maana...alikua anashare na brig.general mmoja hiv ambaye alishawah kua C.O wa smh moro......iilikuaga kisanga kimoja hatari sana..kama movie la kihindi vileKuna mwamba pale morogoro nimemsahau jina ila ilikua miaka ya 98 jamaaa alitikisa hatari walikuja kumuua pale soko kuu moro baada ya watu kuwatonya askali jamaa alikua anakuja dar wakamkuta kwenye abood akaruka ndo akaanza kukimbizana na maaskari lakini alaiua asikali wawili nae ndo kufika soko kuu wakampiga ..dah yule mwamba hua sisahau ilikua km movie maana tulikua ndo tunaenda shule milio ya risasi ilikua inalia km tuko ukrain hatari sana.
kabisa...msamvu terminal haipo kipindi hicho kabisa...huyo dogo mtoto wa juzi..bila shakaBm kaanza juzi tu enzi hizo ni Abood, islam na sadiq ndo gari zilikua zinakimbiza moro.
Watu wa Nyamongo niliwapa habari ya Jombi wakasema alikuwa Mtoto wa mama tu.Huyo Mkurya ni mchumba tu.
1. Hakupelekwa Ikulu kuonana na raisi
2. Hakuharibu uhusiano wa kimataifa
3. Hakuisababishia nchi ifutiwe misaada.
Yaaa ilikuwa sadiq siyo BM sorry.Bm kaanza juzi tu enzi hizo ni Abood, islam na sadiq ndo gari zilikua zinakimbiza moro.