Ntakukumbuka daima Sharobaro!

Kifo kipo na ndio njia pekee ya kuondoka ulimwenguni.

Eeh Moyo wangu hima,
Enenda mbinguni,
Ulimwenguni humu,
Hapana cha raha,

Chorus;
Mchungaji wetu Yesu
Achungapo kondoo
Ni kwenye raha kuu
Enenda mbinguni.
 
Nendeni kule jukwaa la Picha, Amavubi kaweka picha yake baada ya kupata ajali na kufariki.
Aisee inatisha,yahtaji moyo kuangalia.
R.I.P Mkeity

Huu 'ustaarabu' wa mtu kutundika picha za maiti wa watu siupendi. Fikiri angekua mwanao, mdogo wako au mtu wako wa karibu kwa namna yoyote, nani angependa aanikwe akiwa hivyo alivyoumia?
 
Last edited by a moderator:
Huu 'ustaarabu' wa mtu kutundika picha za maiti wa watu siupendi. Fikiri angekua mwanao, mdogo wako au mtu wako wa karibu kwa namna yoyote, nani angependa aanikwe akiwa hivyo alivyoumia?

Yaani acha tu.
 
Kumbeee...
Atantambua huyo mwanamke.

Wewe mwanamke rijali kweli Madame B! Utagombania marehemu? Kumbuka ule wimbo wa WATAKA KUNIUA BURE HUYO SI WAKO..WALA SI WANGU.. haya punguza hasira za kumgombea marehemu eeh.
 
Last edited by a moderator:
Poleni wadau kwa msiba,,, R.I.P Sharobaro...
Hivi huyu Jamaa ndiye mwanzilishi wa hili neno Sharobaro?
 
Hellow CC
Binafsi nimeumizwa sana na huu msiba wa Sharobaro coz nilikuwa nampenda sana kuliko msanii yeyote nchini. Kwa kweli nimepoteza furaha yote..kifupi niko kwenye majonzi sana.
Naomba tujumuike kumuombea na binafsi ntakuwa kwenye maombolezo hadi baada ya mazishi.
Hivyo naomba tuonane baada ya mazishi yake!
RIP Sharobaro!

I remain
Erickb52

Ulikuwaga wapi siku zote? au ndo kama tu wasifu wa marehemu ambao huwa ni wa sifa nzuri mara zote?!
Huenda tungemwanzishia mada hapo kabla ya kumsifia, ww ungekua wakwanza kumpondea.
 
Back
Top Bottom