Basi aliwapanga wengi humu jf, kuna mwingine kajitaja jana.Najua mtasema ila ndo hvo.
:rip: my X wangu Hussein Ramadhan Mkeity.
(Sitaki maswali)
Basi aliwapanga wengi humu jf, kuna mwingine kajitaja jana.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Umebug meeeenn...
hahaha...jamaa katutoka dah huko Muheza(Bondeni) sijui kunani maana nasikia ajali imetokea mahali peupeee....
Nendeni kule jukwaa la Picha, Amavubi kaweka picha yake baada ya kupata ajali na kufariki.
Aisee inatisha,yahtaji moyo kuangalia.
R.I.P Mkeity
Huu 'ustaarabu' wa mtu kutundika picha za maiti wa watu siupendi. Fikiri angekua mwanao, mdogo wako au mtu wako wa karibu kwa namna yoyote, nani angependa aanikwe akiwa hivyo alivyoumia?
Huo uzi wa picha bado upo?Yaani acha tu.
Hellow CC
Binafsi nimeumizwa sana na huu msiba wa Sharobaro coz nilikuwa nampenda sana kuliko msanii yeyote nchini. Kwa kweli nimepoteza furaha yote..kifupi niko kwenye majonzi sana.
Naomba tujumuike kumuombea na binafsi ntakuwa kwenye maombolezo hadi baada ya mazishi.
Hivyo naomba tuonane baada ya mazishi yake!
RIP Sharobaro!
I remain
Erickb52
ulikuwaga wapi siku zote? Au ndo kama tu wasifu wa marehemu ambao huwa ni wa sifa nzuri mara zote?!
Huenda tungemwanzishia mada hapo kabla ya kumsifia, ww ungekua wakwanza kumpondea.