mullaX
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 312
- 97
Hata waliofanya field pale wanasema the same things,unakuta department nzima mkristo Mmoja au hakuna HATa
Kama unabisha nenda pale makao makuu mida ya sala Ijumaa uone kama utapata wa kukuhudumia. Iko wazi kwamba pale nafasi za kazi hutolewa kwa misingi ya udini.
Ova
TANESCRO dogo 1 alifanya field mwez wa ramadhan, department nzima wakawa wanamcheka kwnn anafunga. Ale tu kama wao coz he was muslim and the rest were christians. Say a word.