NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

Status
Not open for further replies.

hekimanyingi

JF-Expert Member
Jul 12, 2013
679
573
Wadau,
Kama tunavyofahamu Tanzania ni nchi isiyoongozwa kwa misingi ya dini fulani japokuwa wanaoutuongoza wana dini.

Kwangu mimi naona ni jambo jema endapo hatutaangalia dini zetu ili tupate au kutoa huduma mbalimbali za kijamii. Ni hivi majuzi mfuko wa jamii ya watanzania wote NSSF imetangaza nafasi lukuki za kazi lakini zimo tuhuma ambazo zinatolewa na watu wanaodai ni wafanyakazi na wenginesio wafanyakazi kuwa NSSF kuna udini eti kama hauna 'sigda' haupati kazi au kama wewe si Abubakari au Hamisi haupati kazi.

Tuhuma hizi ni mbaya na kubwa kwa mfuko unaoitwa wa jamii. Eti ili wakuajiri si kwamba umefaulu interview bali kwa majina na dini yako. Ni jambo linalohitaji ufafanuzi na ushahidi wa kutosha aidha kukubali au kukataa kuwa kuna udini au hakuna maana litaleta mpasuko kwa taifa.

Moto wa dini ni rahisi kuuanzisha na kuuchochea lakini ni ngumu kuumaliza. Kesho tutaskia na PPF kuna 'UDINI' Keshokutwa tutaskia mahakamani kuna udini na mwisho itakuwa ni jeshi na ikulu kuna udini huku mamlaka zikiwa kimya.
 
Wadau,
Kama tunavyofahamu Tanzania ni nchi isiyoongozwa kwa misingi ya dini fulani japokuwa wanaoutuongoza wana dini. Kwangu mimi naona ni jambo jema endapo hatutaangalia dini zetu ili tupate au kutoa huduma mbalimbali za kijamii. Ni hivi majuzi mfuko wa jamii ya watanzania wote NSSF imetangaza nafasi lukuki za kazi lakini zimo tuhuma ambazo zinatolewa na watu wanaodai ni wafanyakazi na wenginesio wafanyakazi kuwa NSSF kuna udini eti kama hauna 'sigda' haupati kazi au kama wewe si Abubakari au Hamisi haupati kazi. Tuhuma hizi ni mbaya na kubwa kwa mfuko unaoitwa wa jamii. Eti ili wakuajiri si kwamba umefaulu interview bali kwa majina na dini yako. Ni jambo linalohitaji ufafanuzi na ushahidi wa kutosha aidha kukubali au kukataa kuwa kuna udini au hakuna maana litaleta mpasuko kwa taifa. Moto wa dini ni rahisi kuuanzisha na kuuchochea lakini ni ngumu kuumaliza. Kesho tutaskia na PPF kuna 'UDINI' Keshokutwa tutaskia mahakamani kuna udini na mwisho itakuwa ni jeshi na ikulu kuna udini huku mamlaka zikiwa kimya.

Usipende kusikiliza habari za vijiweni ....subiri nafasi zikitoka na kama una sifa peleka CV yako. ......watu mnakuwa hamjatimiza vigezo na mkitimiza mnakuwa mmefanya vibaya kwenye interview halafu mnakuja hapa na habari za kuokoteza kuwa kuna udini.
Mi nna rafiki yangu amesoma vizuri hapo Tanzania na ni muislam lakini alikosa kazi nssf, sasa na huyu nae alalamike kuwa kuna udini?
 
Usipende kusikiliza habari za vijiweni ....subiri nafasi zikitoka na kama una sifa peleka CV yako. ......watu mnakuwa hamjatimiza vigezo na mkitimiza mnakuwa mmefanya vibaya kwenye interview halafu mnakuja hapa na habari za kuokoteza kuwa kuna udini.
Mi nna rafiki yangu amesoma vizuri hapo Tanzania na ni muislam lakini alikosa kazi nssf, sasa na huyu nae alalamike kuwa kuna udini?

Kuna Kazi zilitolewa July za operation officers mpaka leo hawajaita watu....hii inakaaje?

Lazima watu waamini hizo tuhuma.

"Mi huwa nasema ni rahisi sana kwa mtu aliyeajiliwa anayelipwa vizuri kumpuuza mtafuta ajira"
 
miss chagga a.k.a missshimbonyi dadaa wa heshima jf

Naomba Maoni Yako kuhusu hili suala mbali na kuifurahia post hii tu.......


-----------KARIBU----------

mngifuatilia je hao waislamu hawana vigezo? kama hawana basi ndiyo tulalame.. ila kama mnaona mnaonewa mna haki ya kulalamika
 
E bwana hizi habari ni za kweli kabisa, na huu ni mwongozo toka mamlaka za juu. Ni ngumu sn kupata kazi pale ikiwa si muislamu, hili mbona linajulikana wazi kabisa

Lenye mwanzo halikosii kuwa na mwisho na mwisho ni mwakani atakujaa rais mwingine na wakurugenzi wake!
 
Tuanze na CRDB, WORLD VISION hakuna waislamu kabisa.Mawaziri wengi ni wakristo. Watuhumiwa wengi wa ufisadi Escrow ni wakristo. Wakristo wanaifilisi hii nchi. Tanzania ni masikini kwa sababu ya ufisadi wa wakristo.

Unafurahisha kwakuwa mdomo haulipii kodiii Endelea kuongea....World Vision wamejiweka wazi ni shirikaa la kidinii sasa we muislamuu ukafuate nini Uko?labda ubatizwe.....
 
Wadau,
Kama tunavyofahamu Tanzania ni nchi isiyoongozwa kwa misingi ya dini fulani japokuwa wanaoutuongoza wana dini. Kwangu mimi naona ni jambo jema endapo hatutaangalia dini zetu ili tupate au kutoa huduma mbalimbali za kijamii. Ni hivi majuzi mfuko wa jamii ya watanzania wote NSSF imetangaza nafasi lukuki za kazi lakini zimo tuhuma ambazo zinatolewa na watu wanaodai ni wafanyakazi na wenginesio wafanyakazi kuwa NSSF kuna udini eti kama hauna 'sigda' haupati kazi au kama wewe si Abubakari au Hamisi haupati kazi. Tuhuma hizi ni mbaya na kubwa kwa mfuko unaoitwa wa jamii. Eti ili wakuajiri si kwamba umefaulu interview bali kwa majina na dini yako. Ni jambo linalohitaji ufafanuzi na ushahidi wa kutosha aidha kukubali au kukataa kuwa kuna udini au hakuna maana litaleta mpasuko kwa taifa. Moto wa dini ni rahisi kuuanzisha na kuuchochea lakini ni ngumu kuumaliza. Kesho tutaskia na PPF kuna 'UDINI' Keshokutwa tutaskia mahakamani kuna udini na mwisho itakuwa ni jeshi na ikulu kuna udini huku mamlaka zikiwa kimya.

Bwana usituanzishie issue za udini hapa, unadhani mambo yakilipuka sisi wakristo tulivyo woga wa kufa tutakimbilia wapi, tafadhali acha chokochoko, yanayowapata wakenya yawe ni fundisho, please stop!ukisema udini wakristo tutaumbuka tulivyojazana maofisini
 
umeshawahi kutembelea branch mbali mbali za NSSF?kama bado nenda halafu utakuja na jibu Mimi mdogo wangu aliambiwa na mtoto Dada yake Dau kwamba angekuwa muislamu angempeleka moja kwa moja kwa dau apate kazi ila am not blaming maana kuna institution kibao wanajazana wakurya, wachaga hata kwenye benki za kikristo eg mkombozi maendeleo na efatha huezi kukuta muislamu
 
Udini upo NSSF kama ambavyo umeanza kuchomoza TRA na pia tunatarajia ofisi ya CAG.

Kenge we, umetumia vigezo gani?! Ili uridhike ratio inapaswa iwe vipi?! Kama udini upo wa kulalamika wangekuwa Muslims kwani ndio wengi. Japo president ni Muslim bado serikali yake majority ni Christians. Kigezo si Dini.
 
Natamani nchi hii tufundishane adabu siku moja . Tunadharauliana sana. Nadhani Kenya now adabu inaanza kurudi

Taasisi ya umma kuwa na kashfa kama hiyo si sahihi. Ni lazima tutofautishe. Taasisi ikibeba maudhui ya dini flani na ikaajiri watu wa dini hiyo kwa mujibu wa taratibu zao kama world vision si tatizo. Tatizo hapa ni NSSF inashutumiwa kuweka udini ni taasisi ya umma si ya wakristu wala waislam.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom