1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,802
- 10,304
Natamani nchi hii tufundishane adabu siku moja . Tunadharauliana sana. Nadhani Kenya now adabu inaanza kurudi
Aloo usijidanganye wakristo wa Kenya wakiweka imani pembeni na kuamua kulipiza visasi patamwagika damu ambayo haijawahi kutokea duniani. Kumbuka makabila yaliyopo Kenya ni Wakikuyu ,wajaluo,wamasai,wameru,wakurya,wakalenjii n.k.Hapo hakuna mtu mwoga hapo.
Wakristo huwa hawapiganii dini, Wanapigania mambo yanayogusa maisha yao kama mali,madaraka n.k. Lakini hakuna mkristo anayeweza kuteka watu na kuwaambia wale wasiojua sala ya Bwana wakae huku na kisha kuwamiminia risasi. Mkristo yeyote akimwaga damu ya mtu ni dhambi kubwa na atadaiwa hiyo damu kwa Mungu.
Ndio maana Kenya wana vita za kikabila na kisiasa lakini hao hao wamekua kondoo wa kutolewa kafara za mashetani wa Al shabab.
Tusitumie dini kuajiri watu kwani hii mifumo ya ajira ni ya kikafiri. Ndio maana haya mashirika yote yanaendeshwa kwa riba nadhulma dhidi ya watumishi wakioweka hela zao .
Hii mifumo yote iliyopo ni mipangilio ya kinyonyaji tu na haina uhusiano na dini za watu.Awe mwislam au mkristo anayepata ajira ni kwa faida yake na familia yake na mahawara zake hainihusu.