Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,635
- 6,235
Meneja Mradi wa Ujenzi wa Daraja hili Mhandisi John Msemo (kulia) wa NSSF akiwa na Bw. Abdallah Mseri wakitembelea mradi huo jana.
Huyu John Msemo, usifanye kosa ukadhani ni Mkristo, jamaa ni Muislaam kuzidi hata Dau. Alianza long time akiwa Kibaha Sec.
http://www.safina.co.tz/ceo-words/index.php
Hapo juu anawakaribisha kwenye hotel yake kubwa tu. Mishahara ya NSSF kweli minono....
Angalia timu nzima ya UKAGUZI hapa chini kwa majina tu, utajua walikuwa wamekamilika.
Affinity PR: NSSF NA KASI YA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI