NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

Status
Not open for further replies.
Udini NSSF haujaanza kupigiwa kelele leo labda kama mnajifanya viziwi,,, sio vizuri serikal kuu kupuuza habar kama hizi,

Kama ni upuuzi kwanini usipuuzwe? Ni chuki tu kwakuwa eti kuna watu wanavaa hijabu, huku wakurugenzi karibia wote si waislamu sasa hapo huoni ni issue za chuki na umbea
 
Udini NSSF haujaanza kupigiwa kelele leo labda kama mnajifanya viziwi,,, sio vizuri serikal kuu kupuuza habar kama hizi,

Ramadhani Dau pale Nssf aliteuliwa na KAFIRI MWENZAKO MKATOLIKI MKAPA

VIPI UNACHUKIA SHIRIKA LILE KUOBNGOZWA NA MUISLAM???

KAMA NI NI IDADI YA WAKRISTO NSSF NI KUBWA KULIKO WAISLAM KAMA UNABISHA KAFANYE UTAFITI WAKO,

THEN NYINYI MASHIRIKA KARIBIA YOOTE NA MIFUKO YOOTE YA PENSIONS MMEJAZANA KAMA MNATAKA KUCHEZA DISCO LA YESU HUMO,LINI MMESKIA WAISLAM WAKIWAPIGIA MAKELELE,,UNADHAN HATUJUI KINACHOENDELEA??

MIMI NINACHOSHANGAA NYINYI JAMAA MMEJAZANA HUKO MAOFISINI MIAKA NENDA MIAKA RUDI MNALIFANYIA NINI TAIFA HILI??

MAANA TAIFA LINAZIDI KUWA MASKINI TUH NA NYINYI MMEKALIA WIZI TUH HAMUONI AIBU??

WEZI WAKUBWA
 
Mnaongea kama kuku mnaotaga shenzy kabisa

WEKENI MAJINA YA WAFANYAKAZI WAISLAM NA WAKRISTO HAPO NSSF TUONE NI KINA NAN WENGI KAMA HAMJATOKA VICHWA CHINI HAPA

MKIONA SEHEMU KUNA KANZU NA HIJABU TUH MNACHUKIA KWAN MMEZANI NCHI HII NI VATICAN KIAS KWAMBA KILA SEHEMU MMBAKIE NYINYI TUH??

SI MLIKUWA MNASEMA KUWA MPO WENGI HUKO MAOFISINI KWA KUWA WAISLAM HAWAJASOMA NA HAWATAKI SHULE

HAO MNAOWALALAMIKIA HUKO NSSF VIPI,,,HAWANA SHULE PIA??

ACHENI CHUKI ZENU ENYI MAKAFIRI
 
Ramadhani Dau pale Nssf aliteuliwa na KAFIRI MWENZAKO MKATOLIKI MKAPA

VIPI UNACHUKIA SHIRIKA LILE KUOBNGOZWA NA MUISLAM???

KAMA NI NI IDADI YA WAKRISTO NSSF NI KUBWA KULIKO WAISLAM KAMA UNABISHA KAFANYE UTAFITI WAKO,

THEN NYINYI MASHIRIKA KARIBIA YOOTE NA MIFUKO YOOTE YA PENSIONS MMEJAZANA KAMA MNATAKA KUCHEZA DISCO LA YESU HUMO,LINI MMESKIA WAISLAM WAKIWAPIGIA MAKELELE,,UNADHAN HATUJUI KINACHOENDELEA??

MIMI NINACHOSHANGAA NYINYI JAMAA MMEJAZANA HUKO MAOFISINI MIAKA NENDA MIAKA RUDI MNALIFANYIA NINI TAIFA HILI??

MAANA TAIFA LINAZIDI KUWA MASKINI TUH NA NYINYI MMEKALIA WIZI TUH HAMUONI AIBU??

WEZI WAKUBWA

sidhani kama swala la wizi lina udini , bali ni tabia ya mtu binafsi, maana hakuna dini inayoruhusu wizi kwa namna yoyote ile
 
sidhani kama swala la wizi lina udini , bali ni tabia ya mtu binafsi, maana hakuna dini inayoruhusu wizi kwa namna yoyote ile

eti eeeeh,,,

basi sawa,,


kumbe ndio kwa maana tunaona kanisa katoliki na wachungaji wake kina kilaini bila aibu bila haya yanakwiba mapesa ya walalahoi wa taifa hili huku mnabana pua eti kwamba wizi hauni dini,,,

umesikia majina ya mashekhe pale kwenye huo mgao wenu haramu wa esrow??

Hivi mnajua hili taifa limekuawa maskini shauri yenu nyinyi makafiri

then mnapenda sana kutufuata fuata na choko choko zenu za chuki..

Nan hajui kwamba sekta za serikali zoote mmezihold nyinyi kwa fake propaganda kwamba waislam hatuna shule na hatutaki kusoma

mnakera sana nyinyi

watu baadhi wameonekana kuwa smart kama ramadhan dau hapo nssf na anadeliver nyinyi mnaanza chuki na choko choko

nani kawaambia wenye hati miliki ya taifa hili ni kanisa??

Nyerere laaanatullah aliwazoesha vibaya sana nyinyi vibaka

keshakufa sasa nendeni mkamfufue kama mnaweza

mnazingua sana nyinyi jamaa
 
eti eeeeh,,,

basi sawa,,


kumbe ndio kwa maana tunaona kanisa katoliki na wachungaji wake kina kilaini bila aibu bila haya yanakwiba mapesa ya walalahoi wa taifa hili huku mnabana pua eti kwamba wizi hauni dini,,,

umesikia majina ya mashekhe pale kwenye huo mgao wenu haramu wa esrow??

Hivi mnajua hili taifa limekuawa maskini shauri yenu nyinyi makafiri

then mnapenda sana kutufuata fuata na choko choko zenu za chuki..

Nan hajui kwamba sekta za serikali zoote mmezihold nyinyi kwa fake propaganda kwamba waislam hatuna shule na hatutaki kusoma

mnakera sana nyinyi

watu baadhi wameonekana kuwa smart kama ramadhan dau hapo nssf na anadeliver nyinyi mnaanza chuki na choko choko

nani kawaambia wenye hati miliki ya taifa hili ni kanisa??

Nyerere laaanatullah aliwazoesha vibaya sana nyinyi vibaka

keshakufa sasa nendeni mkamfufue kama mnaweza

mnazingua sana nyinyi jamaa
sidhani kama pesa ina nembo ya kanisa ama msikiti, ila watumiaji wa fedha ndio wenye dini, kuna masheikh wengi matepeli tunakutana nao huku mtaani na tunaona kawaida tu wala hatupazi sana sauti, maana tunajua binadamu wote ni dhaifu linapokuja swala la kipato.
 
sidhani kama pesa ina nembo ya kanisa ama msikiti, ila watumiaji wa fedha ndio wenye dini, kuna masheikh wengi matepeli tunakutana nao huku mtaani na tunaona kawaida tu wala hatupazi sana sauti, maana tunajua binadamu wote ni dhaifu linapokuja swala la kipato.

Hilo la mtaani poa tuh hata hao maaskofu wangeiba mtaani hakuna ungeskia watu wanatoa kauli kama hizi

TATIZO NI HUKU NA WAO KUJIINGIZA KWENYE POLITICAL ENTREPRENUERSHIP NA KUACHA KAZI YAO YA MSINGI,,

ANYWAY NAJUA HUNA LA KUJITETEA HAPA,,SISI TUTAENDELEA KUWACHANA TUH NA TUNAJUA KUWA MNATUCHUKIA NA HATUNA HATA MPANGO WA KUJIPENDEKEZA KWENU

INSHORT HAMTUPI SHIDA
 
Bwana usituanzishie issue za udini hapa, unadhani mambo yakilipuka sisi wakristo tulivyo woga wa kufa tutakimbilia wapi, tafadhali acha chokochoko, yanayowapata wakenya yawe ni fundisho, please stop!ukisema udini wakristo tutaumbuka tulivyojazana maofisini
Hivi kujiita mkristo wakati c mkristo huoni haibu? Wewe unazani ni kazi rais kuwa mkristo?
 
Nssf sidhani kama kuna udini,wanaoajiriwa pale ni either uhonge au uwe mtoto wa mkubwa fulani..field tu hupati kizembe ni mpaka uwe na mtu wa kukusaidia
 
Maneno tu sifa ndo zinamfanya mtu apate kazi...wala sio dini coz nssf kuna waislam na wakristo....
 
Lenye mwanzo halikosii kuwa na mwisho na mwisho ni mwakani atakujaa rais mwingine na wakurugenzi wake!


Unadhani Dau aliwekwa na kikwete pale? Dr. dau ni uteuzi wa Mkapa mkatoliki mwenzenu na kamwe hajawahi kumwangusha kwa utendaji wake!.. hayo ya udini ni dalili ya kushindwa mapema ku compete na waislam kwenye soko la ajira!.. ukweli ni kwamba kwa wingi wa shule hzi na vyuo hivi basi mtarajie kuwaona waislam wengi tu maofisini!.. msiishi kwa mazoea tena!
 
Wadau,
Kama tunavyofahamu Tanzania ni nchi isiyoongozwa kwa misingi ya dini fulani japokuwa wanaoutuongoza wana dini. Kwangu mimi naona ni jambo jema endapo hatutaangalia dini zetu ili tupate au kutoa huduma mbalimbali za kijamii. Ni hivi majuzi mfuko wa jamii ya watanzania wote NSSF imetangaza nafasi lukuki za kazi lakini zimo tuhuma ambazo zinatolewa na watu wanaodai ni wafanyakazi na wenginesio wafanyakazi kuwa NSSF kuna udini eti kama hauna 'sigda' haupati kazi au kama wewe si Abubakari au Hamisi haupati kazi. Tuhuma hizi ni mbaya na kubwa kwa mfuko unaoitwa wa jamii. Eti ili wakuajiri si kwamba umefaulu interview bali kwa majina na dini yako. Ni jambo linalohitaji ufafanuzi na ushahidi wa kutosha aidha kukubali au kukataa kuwa kuna udini au hakuna maana litaleta mpasuko kwa taifa. Moto wa dini ni rahisi kuuanzisha na kuuchochea lakini ni ngumu kuumaliza. Kesho tutaskia na PPF kuna 'UDINI' Keshokutwa tutaskia mahakamani kuna udini na mwisho itakuwa ni jeshi na ikulu kuna udini huku mamlaka zikiwa kimya.


Hapana sio kweli dogo, mawazo yako tu. Mimi kuna ndugu yangu Anafanya kazi pale makao makuu na sio Muislamu, na ile nafasi alipata kwenye mwaka jana hivi, kitu kama hicho kama sikosei.................achana na maneo ya kuambiwa, wewe kama unavigezo stahiki apply halafu uone kama hawatakuita.
 
Mpo bize kuuzungumzia uislamu wakati hamna uwezo wa wa kuufanya chochote mtaishia kuusema tu ,mataifa ya magharibi kutwa wanapigana kutaka kuuangusha uislam lakini matokeo yake uislam unazidi kukua duniani, hii ni dini ya kweli ya haki inayoongozwa na muumba nyinyi endeleeni kuumia lakini wenye akili kila cku wanasilimu
 
eti eeeeh,,,

basi sawa,,


kumbe ndio kwa maana tunaona kanisa katoliki na wachungaji wake kina kilaini bila aibu bila haya yanakwiba mapesa ya walalahoi wa taifa hili huku mnabana pua eti kwamba wizi hauni dini,,,

umesikia majina ya mashekhe pale kwenye huo mgao wenu haramu wa esrow??

Hivi mnajua hili taifa limekuawa maskini shauri yenu nyinyi makafiri

then mnapenda sana kutufuata fuata na choko choko zenu za chuki..

Nan hajui kwamba sekta za serikali zoote mmezihold nyinyi kwa fake propaganda kwamba waislam hatuna shule na hatutaki kusoma

mnakera sana nyinyi

watu baadhi wameonekana kuwa smart kama ramadhan dau hapo nssf na anadeliver nyinyi mnaanza chuki na choko choko

nani kawaambia wenye hati miliki ya taifa hili ni kanisa??

Nyerere laaanatullah aliwazoesha vibaya sana nyinyi vibaka

keshakufa sasa nendeni mkamfufue kama mnaweza

mnazingua sana nyinyi jamaa

Nakusalimu mkuu THE BIG SHOW!
 
PPF
DAH..HATARI SANA MKUU.

UNAONA HII HAPA PPF WALIVYOJAZANA HAPO NA HUJASKIA WAISLAM WAKILALAMA.,,


1. Mkurugenzi Mkuu Bw. William Erio Mkristo
2. Mkurugenzi wa Operations Bi. Maina Mallya Mkristo
3. Mkurugenzi wa Sheria Bi. Vupe Ligate Mkristo
4. Mkurugenzi wa Fedha Bw. Martin Mmari Mkristo
5. Mkurugenzi wa Uwekezaji Bw. Steven Alfred Mkristo
6. Mkurugenzi wa Kompyuta Bi Carina Wangwe Mkristo
7. Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani Hosea Kashimba Mkristo
8. Mkurugenzi wa Utumishi Julius Mganga mkriisto


LAKINI HAPO NSSF MUSLIMS VS CHRISTIANS NAMBA YAO KIIDADI HAPO TOP LEVEL IKO SAWA SAWA KABISA

TENA HATA HUKU WA CHINI WAO NDIO STIL BADO WEENGI LAKIN BADO WANALALAMA.

NSSF
1. Mkurugenzi Mkuu. Ramadhani Dau. Muislamu
2. Mkurugenzi wa Fedha. Ludovic Mrosso. Mkristo
3. Mkurugenzi wa shughuli. Cresentius Magori. Mkristo
4. Mkurugenzi wa Kompyuta. I. Halfani. Muislamu
5. Mkurugenzi wa Utumishi. Bi Chiku Matessa. Muislamu
6. Mkurugenzi wa uwekezaji. Yacoub Kidula. Muislamu
7. Mkurugenzi wa Ndani. Pauline Mtunda. Mkristo
8. Meneja wa uhusiano. Bi Eunice chiume. Mkristo
9. Mkuu wa usalama. Ramadhani Nasibu. Muislamu
10. Meneja kitengo maalum. Davis Senkoro. Mkristo
11. Mkuu wa Idara ya Sheria. Chedrick Komba. Mkristo
12. Mkuu wa Tathmini ya Mfuko. Sadi Shemliwa. Muislamu
 
Lakini hii mie nadhani kuna ukweli, coz nshakaa na mtu mmoja mkubwa tu NSSF tulikua hapa dodoma alisema kitu kama hicho cha udini.......kama ni kweli nssf na nhif wanafanya mambo ya udini basi sio fair ni bora wangekua wazi kama world vision wanakwambia kabisa kama upo tayari kufanyakazi katika maadhi ya Christianity mtu unakua unaelewa kabisa.....
 
Acha kuwa fikra za konokono mtoa mada hzo fikra zako kitaalam znaitwa conglotent normal science hvi wew unawajua hata wafanyakaz ishirini tu wa nssf na ukatafiti dini zao au unaongea nonsense? Jana kuna walimbwende kama wew walikua wanamshutumu bwana bakhresa eti anaajir waislamu tu nikamuuliza hivi tido mhando ni miislam? Nayule mtendaj mkuu wa azam mediazungu nae ni muislam? Tatzo lenu mshazoea kuona nyadhifa fulani kubwa na za mafanikio znashkwa na wakina richard sasa mki prove the opposite mnachachawa mcendekeze udini hapa nchini tuvumiliane tuu mbona hujitokez ukasema pale kwenye kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC woote ni wagalatia wake up bw mdogo kama unaona mzik wa ajira ni mgumu uclalamike jiajiri
 
Acha Kukariri Kijana, hakuna Kitu kama icho, tembelea Ofisini halaf Angalia vitambulisho kama majina mengi ni ya Kiislam, Angalia CV yako na elimu yako, unategemea una GPA ya 1.9 halaf ukabidhiwe Uhasibu?
 
Acha kuwa fikra za konokono mtoa mada hzo fikra zako kitaalam znaitwa conglotent normal science hvi wew unawajua hata wafanyakaz ishirini tu wa nssf na ukatafiti dini zao au unaongea nonsense? Jana kuna walimbwende kama wew walikua wanamshutumu bwana bakhresa eti anaajir waislamu tu nikamuuliza hivi tido mhando ni miislam? Nayule mtendaj mkuu wa azam mediazungu nae ni muislam? Tatzo lenu mshazoea kuona nyadhifa fulani kubwa na za mafanikio znashkwa na wakina richard sasa mki prove the opposite mnachachawa mcendekeze udini hapa nchini tuvumiliane tuu mbona hujitokez ukasema pale kwenye kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC woote ni wagalatia wake up bw mdogo kama unaona mzik wa ajira ni mgumu uclalamike jiajiri

Wagalatia=terrorists (jihadists).
 
kiukweli serekali inatakiwa iwe macho na kuhakikisha panakuwa na uwiano sawa katika mgawanyo wa ajira kwa kuzingatia dini,la sivyo itakuja tuletea shida hapo mbeleni
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom