NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

Status
Not open for further replies.
Kutenga sehemu ya kuswali ni udini???
St james park uingereza , unamilikiwa na timu ya newcastle united umetenga sehemu ya kusali kwa ajili ya waislamu,
Inayokusumbua ni chuki tu, haya na hawa wazungu nao ni wadini????

basi watenge na sehemu ya maombi ndio tuone. na ukumbuke ili ni shirika la uma sio private institution.
 
NI kweli NSSF udini upo wametenga adi sehemu ya kuswalia kwenye shirika la umma. Mi nawajua wengi waislam niliosoma nao na ambao sijasoma nao wako pale. udini upo sana tu.

Huo ni uongo. Kama u mkweli tuwekee majina hapa ya wafanyakazi wote wa NSSF tujionee wenyewe.
 
Unasubiri nini, si ungeenda kuleta majina tu ya waliokuwepo sasa hivi NSSF tujionee. Sasa mleta mada ni mtabiri?

Yanini mnaandikia mate na wino upo?

Siamini kama haujanielewa,unafanya kusudi. Najua wewe always unasimamia upande upi lakini katika hili naomba common sense ikuongoze.I'm neutral
 
Kaa ukielewa CRDB si taasisi ya serikali. Kinachohojiwa na mtoa uzi ni tuhuma za kuwepo kwa udini kwa taasisi za umma kama nssf.

NSSF
1. Mkurugenzi Mkuu.
Ramadhani Dau. Muislamu
2. Mkurugenzi wa Fedha.
Ludovic Mrosso. Mkristo
3. Mkurugenzi wa shughuli. Cresentius Magori. Mkristo
4. Mkurugenzi wa Kompyuta.
I. Halfani. Muislamu
5. Mkurugenzi wa Utumishi.
Bi Chiku Matessa. Muislamu
6. Mkurugenzi wa uwekezaji. Yacoub Kidula. Muislamu
7. Mkurugenzi wa Ndani.
Pauline Mtunda. Mkristo
8. Meneja wa uhusiano. Bi
Eunice chiume. Mkristo
9. Mkuu wa usalama. Ramadhani Nasibu. Muislamu
10. Meneja kitengo maalum.
Davis Senkoro. Mkristo
11. Mkuu wa Idara ya Sheria.
Chedrick Komba. Mkristo
12. Mkuu wa Tathmini ya Mfuko. Sadi Shemliwa.
Muislamu
haya toa majibu na hapo maana mijicho imekutoka kwa roho mbaya thats why mshazoea kuwa 70%-100% sasa mkiliona shirika linafanya uadilifu km nssf linafanya 50-50 mapovu yanawatoka kwa roho mbaya zenu,kikwete alivyofanya uadilifu katika tume kuweka 50-50 mapovu yaliwatoka walitaka wawepo ht km sehemu hawapo km kule znz tena kikwete nyinyi anawapendelea sana ilibidi katika ile tume watanganyika wawe 7 waislam na 7 wakristo 1 mpagani ila aliwapendlea alijua tu mtafungua mi****ndu yenu inayonuka shahawa za mapadri,shiit
 
NI kweli NSSF udini upo wametenga adi sehemu ya kuswalia kwenye shirika la umma. Mi nawajua wengi waislam niliosoma nao na ambao sijasoma nao wako pale. udini upo sana tu.

Kutenga sehemu ya kuswalia ndio udini!!!, waislamu tunatakiwa kuswali mara tano kwa siku, sasa kama msikiti upo

mbali tufanyaje??? Kama hoja ni kuwa na idadi ya waislamu wengi kuwa ndio kisingizio cha udini basi nchi hii ni ya

udini kweli kweli hasa ukristo, maana hakuna taasisi yoyote ya umma yenye waislamu wengi zaidi ya wakrisro... ni

ukristo ukristo ...kila taasisi.
 
Matusi ya nini sasa?umefafanua vizuri mwisho umekua mjinga kama mwenzko tena
 
Wadau,
Kama tunavyofahamu Tanzania ni nchi isiyoongozwa kwa misingi ya dini fulani japokuwa wanaoutuongoza wana dini. Kwangu mimi naona ni jambo jema endapo hatutaangalia dini zetu ili tupate au kutoa huduma mbalimbali za kijamii. Ni hivi majuzi mfuko wa jamii ya watanzania wote NSSF imetangaza nafasi lukuki za kazi lakini zimo tuhuma ambazo zinatolewa na watu wanaodai ni wafanyakazi na wenginesio wafanyakazi kuwa NSSF kuna udini eti kama hauna 'sigda' haupati kazi au kama wewe si Abubakari au Hamisi haupati kazi. Tuhuma hizi ni mbaya na kubwa kwa mfuko unaoitwa wa jamii. Eti ili wakuajiri si kwamba umefaulu interview bali kwa majina na dini yako. Ni jambo linalohitaji ufafanuzi na ushahidi wa kutosha aidha kukubali au kukataa kuwa kuna udini au hakuna maana litaleta mpasuko kwa taifa. Moto wa dini ni rahisi kuuanzisha na kuuchochea lakini ni ngumu kuumaliza. Kesho tutaskia na PPF kuna 'UDINI' Keshokutwa tutaskia mahakamani kuna udini na mwisho itakuwa ni jeshi na ikulu kuna udini huku mamlaka zikiwa kimya.

Unajua Napata taabu sana kukuelewa mkuu, Kwa uelewa wako Naomba utupatie maana ya UDINI tafadhali, tupate kwenda vizuri.
 
Kutenga sehemu ya kuswalia ndio udini!!!, waislamu tunatakiwa kuswali mara tano kwa siku, sasa kama msikiti upo

mbali tufanyaje??? Kama hoja ni kuwa na idadi ya waislamu wengi kuwa ndio kisingizio cha udini basi nchi hii ni ya

udini kweli kweli hasa ukristo, maana hakuna taasisi yoyote ya umma yenye waislamu wengi zaidi ya wakrisro... ni

ukristo ukristo ...kila taasisi.

wakristo walijisahau sana

walidhani kwamba nchi hii wenye haki ya kukaa maofisni ni wao pekeyao na kupiga nyimbo za injili kwenye desktops za umma

wakiona hijabu tuh huwa wanapata homa

nchi hii ni yetu soote

kwani hao waislam wanaowaona nssf hawana qualifications??

tena wakristo ni wengi hapo kuliko waislam ila kwa kuwa wameona barkashia na hijabu tuh imekuwa nongwa

waende vatican huko ndiko kwenye wakristo kila sekta siyo hapa
 
NSSF
1. Mkurugenzi Mkuu.
Ramadhani Dau. Muislamu
2. Mkurugenzi wa Fedha.
Ludovic Mrosso. Mkristo
3. Mkurugenzi wa shughuli. Cresentius Magori. Mkristo
4. Mkurugenzi wa Kompyuta.
I. Halfani. Muislamu
5. Mkurugenzi wa Utumishi.
Bi Chiku Matessa. Muislamu
6. Mkurugenzi wa uwekezaji. Yacoub Kidula. Muislamu
7. Mkurugenzi wa Ndani.
Pauline Mtunda. Mkristo
8. Meneja wa uhusiano. Bi
Eunice chiume. Mkristo
9. Mkuu wa usalama. Ramadhani Nasibu. Muislamu
10. Meneja kitengo maalum.
Davis Senkoro. Mkristo
11. Mkuu wa Idara ya Sheria.
Chedrick Komba. Mkristo
12. Mkuu wa Tathmini ya Mfuko. Sadi Shemliwa.
Muislamu
haya toa majibu na hapo maana mijicho imekutoka kwa roho mbaya thats why mshazoea kuwa 70%-100% sasa mkiliona shirika linafanya uadilifu km nssf linafanya 50-50 mapovu yanawatoka kwa roho mbaya zenu,kikwete alivyofanya uadilifu katika tume kuweka 50-50 mapovu yaliwatoka walitaka wawepo ht km sehemu hawapo km kule znz tena kikwete nyinyi anawapendelea sana ilibidi katika ile tume watanganyika wawe 7 waislam na 7 wakristo 1 mpagani ila aliwapendlea alijua tu mtafungua mi****ndu yenu inayonuka shahawa za mapadri,shiit

hawa nuksi ndiyo wanaotaka kutuletea kasumba za udin ndan ya taifa hili,laana sana hawa

ona sasa wanatumia hadi makanisa kuiba fedha za umma,

hawana msaada kwa taifa hili zaid ya wizi tuh
 
watanzania jamani tuachane na mada za kichochezi kama hizi. mnatukana na kudhihaki dini za watu kisa mada kama hii jamani. Tumieni hekima na busara katika kujibu mada kama hizi jamani. Tusiendeshwe na hisia. watanzania wote ni kitu kimoja bila kujali din
 
NI kweli NSSF udini upo wametenga adi sehemu ya kuswalia kwenye shirika la umma. Mi nawajua wengi waislam niliosoma nao na ambao sijasoma nao wako pale. udini upo sana tu.

Unahitaji nafasi ya urefu wa hatua mbili na nusu tu ili uweze kuswali. Unaweza hata kuswali ndani ya ofisi yako. tatizo mahali pa kuswali ni faragha na hapatakiwi pakanyagwe hovyo.
Nyie mnasali kwa wiki mara moja hali sisi ni mara 5 kwa siku !
 
kwani mwenye sifa kati ya waloomba ni huyo kijana wako tu na akifeli interview wacha ubwege
 
nyinyi kazi fitna tu mkiambiwa mulete ushahidi mnakimbia tumewashtukia mnataka washtushe na tuhuma wabadili muelekeo wachague wakristo watupu hapa mwenye sifa tu na mpaka uadilifu sifa.
 
MBONA nssf na sio pspf, tra, jeshini, wizarani au AU hakuna nafasi ya kuiba pale nssf ili mpeleke pesa kwa maaskofu wenu
 
Tupeni orodha ya TBC, RITA, COTMW, UDSM, TTCL, MKURABITA, MUHIMBILI.
 
Udini na ukabila bongo upo.

Tunavumiliana tu kwa heshima ya tunu yetu ya taifa ya umoja na mshikamano ya nyerere
 
Kuna Kazi zilitolewa July za operation officers mpaka leo hawajaita watu....hii inakaaje?

Lazima watu waamini hizo tuhuma.

"Mi huwa nasema ni rahisi sana kwa mtu aliyeajiliwa anayelipwa vizuri kumpuuza mtafuta ajira"

Wameitwa tarh 13 dec ifm
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom