Nyalutubwi
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 573
- 173
Nssf tafadhali tunaombeni majibu yenu kuhusiana na taarifa hizi za mitandao ambazo kwa kiasi kikubwa zinatutia hofu sisi tulio wanachama wa Mfuko huu.
Afadhali nilihamia LAPF
ni wewe kutokujitambua tu,ni hiari elewa.na ujue kabisa anayefanya jitihada za kukujazisha form analapa posho ya kufanikishakuna kwingine kabla ya kusaini mkataba unaletewa fomu ya hii mifuko,hasa NSSF!
Zito hayupo huru kuiandika vibaya NSSF,yeye kama mwenyekiti aliramba mpunga mzito kupitia Leka Tutigite,pia amewahi kupewa prizes kadhaa.he was not independentHivi zile Report za ZITO akiwa Mwenyekiti EPA ziko wapi??
Sijui kama hii mikopo ya Serikali kutoka NSSF inaingizwa kwenye deni la Taifa ambalo sasa limefikia Trilioni 40, kama haliwekwi basi Serikali haitaki kuonyesha deni halisi la Taifa.
Mwambieni Mbowe arudishe mkopo wa NSSF ambao amepanga kuwatapeli. Watu aina ya Mbowe ndio hao hao wanaoshiriki kuikwamisha mifuko yetu ya kijamii.
Nssf tafadhali tunaombeni majibu yenu kuhusiana na taarifa hizi za mitandao ambazo kwa kiasi kikubwa zinatutia hofu sisi tulio wanachama wa Mfuko huu.
Lazima wafilisike tu. Huo wanaoita uwekezaji ni ufisadi tu. nyumba ambayo wangenunua kwa sh. milioni 60 Temeke wanainunua milioni 300. Unategemea nini?
nenda ukiwa na barua ya kuacha kazi, kitambulisho chako cha nssf na picha mbili. ukikamilisha zoezi pale ofisini utaambiwa uende kuchukua hundi yako baada ya siku 14 kama sikosei tangu ukamilishe ujazaji fomu. siku 14 za kazi hivyo ondoa jumamosi, jumapili na sikukuuu
aisee kumbee!ni wewe kutokujitambua tu,ni hiari elewa.na ujue kabisa anayefanya jitihada za kukujazisha form analapa posho ya kufanikisha
Zito hayupo huru kuiandika vibaya NSSF,yeye kama mwenyekiti aliramba mpunga mzito kupitia Leka Tutigite,pia amewahi kupewa prizes kadhaa.he was not independent