Mchuja Nafaka G
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 763
- 253
Katika hii mada ya NSSF,jamani mtu akitaka kujitoa ambaye alikuwa voluntary inakuwaje na malipo huchukua muda gani? Tafadhalini wakuu
nenda ukiwa na barua ya kuacha kazi, kitambulisho chako cha nssf na picha mbili. ukikamilisha zoezi pale ofisini utaambiwa uende kuchukua hundi yako baada ya siku 14 kama sikosei tangu ukamilishe ujazaji fomu. siku 14 za kazi hivyo ondoa jumamosi, jumapili na sikukuuu