kulyanganga
Member
- Nov 13, 2012
- 60
- 20
Mkuu hauna taarifa? Sasa hivi ni hiari ya mtu kujiunga na mfuko apendao mara anapoajiriwa, ila walio kwenye ajira tayari hawaruhusiwi kuhama mfuko alionao. Wajulishe na ndugu zako na rafiki zako. The best mfuko kwa sasa ni LAPF ukifuatiwa na PSPF. Achana na NSSF, PPF na GEPF lao moja. Mfano mtu mwenye mshahara wa 2.5 million akistaafu baada ya kuchangia miaka 20 (240 months) kwa PPF, GEPF na NSSF anapata lumpsum ya Tshs. 38,793,103.45 wakati wa LAPF anaondoka na Tshs. 103,333,333.33. Na pensheni ya kila mwezi haitofautiani sana japo hao PPF, GEPF na NSSF wanalipa kubwa kidogo.
Hauna data unaropoka tu, nenda SSRA ukapewe formula ya mafao mbumbumbu wewe