Possibly the MIC is wireless as TBC is well equipped nowadays.Kosa lingine...Hiyo coaxial cable inayoingia kwenye mic ya TBC...imepitia wapi? Naona kama haikuchomekwa kwenye mic, au naona vibaya?
Possibly the MIC is wireless as TBC is well equipped nowadays.
Navyohisi (maana mimi sio Salva na wala simsemei) hiyo podium ilitumika wakati Bush alipoitembelea Tanzania na baada ya kuondoka ilihifadhiwa hapo kama mbadala wa kutoitupa ili itumike kama atatembelea Rais wa USA mwingine. Ningemlaumu Salva kama angeitumia ku'address' waandishi aliowaita pasipo kuifanyia marekebisho.
Haitusaidii kuwa negative ktk kila jambo hata kama linahitaji simple digestion, kuna mengi ya msingi!!
Navyohisi (maana mimi sio Salva na wala simsemei)hiyo podium ilitumika wakati Bush alipoitembelea Tanzania na baada ya kuondoka ilihifadhiwa hapo kama mbadala wa kutoitupa ili itumike kama atatembelea Rais wa USA mwingine.
Nyie mnaona hiki kitendo cha kawaida ebu kiangalie kwa jicho la kijasusi ukitaka kuelewa zaidi na zungumzia nini tatufa story inaitwa Great Seal Bug.
Icadon wee si mchezo..........maana hapa watu wanafikiri kirahisi rahisi sana
.......mbali na hiyo seal, nilichojiuliza miye ni hiyo sehemu ilikuwa ni wapi? sijui kuna matengenezo yanaendelea
Mimi Niatamsamehe Kwani Hajaitumia, Iko Nyuma Sana.
Japo Haipendezi, Si Kosa Lake Kwani Chumba Kiliandaliwa Na Akaambiwa Tayari Ndio Akatoka, Mwenye Koa Ni Muandaaji, Mzembe. Au Labda Hii Ilikuja Na Bush Na Waliacha Kama Zawadi, Si Unajuwa Hawa Wakija Huku 60% Ya Vitu Vyao Ni Disposable, Hawarudi Navyo. Hivyo Sisi Kwakuendeleza Nyaa Tuna Reuse Mpaka Vibomoke.
Cha Muhimu Waweke Nembo Nyingine Juu Ya Hio Ili Tuendelee Kutumia Zawadi
mmesahau yale ya cheki aliyoshikishwa JK ambayo figure ya number na maelezo vinatofautiana?
Watanzania ndivyo tulivyo!