Wasifu wa Imani Kajula, CEO wa Simba SC

Mamujay

Senior Member
Dec 24, 2022
150
342
IMANI KAJULA NDIYE CEO WETU MPYA

uongozi wa Klabu umefikia makubaliano ya kumuajiri Ndugu Imani Kajula kuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) kwa mkataba wa miezi sita✍️

Kajula anachukua nafasi iliyoachwa na Barbara Gonzalez ambaye alijiuzulu nafasi hiyo Desemba 10/2022✍️

Kajula ni Mzoefu kwenye msuala ya uongozi wa mpira kwani alikuwepo kwenye kamati ya Maandalizi Michuano ya Afrika kwa Vijana chini ya umri wa miaka 17 iliyofanyika nchini mwaka 2019✍️

Kabla ya kujiunga nasi kajula alikuwa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Masoko na Mawasiliano ya EAG Group tangu 2013 mpaka sasa✍️

Kajula ni mbobevu wa masuala ya Masoko na Mawasiliano na amaefanya kazi na Makampuni mbalimbali na mabenki ndani ya nje ya nchi✍️

Miongoni mwa kazi alizofanya mpaka sasa✍️

-Mkuu wa kitengo cha masoko na Mawasiliano NMB (2006-2013)✍️

-Mkurugenzi wa Masoko na Maendeleo ya Biashara wa Benki ya Posta(2003-2006)✍️

-Meneja Masoko wa CRDB(1999-2003)✍️

Akiwa EAG Group Kajula alikuwa sehemu ya Maandalizi ya Wiki Ya Simba Mpaka kilele chake (Simba Day) ambapo Kampuni hiyo ndiyo ilitengeneza mitandao ya kijamii ya Klabu💪
 
IMANI KAJULA NDIYE CEO WETU MPYA

uongozi wa Klabu umefikia makubaliano ya kumuajiri Ndugu Imani Kajula kuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) kwa mkataba wa miezi sita✍️

Kajula anachukua nafasi iliyoachwa na Barbara Gonzalez ambaye alijiuzulu nafasi hiyo Desemba 10/2022✍️

Kajula ni Mzoefu kwenye msuala ya uongozi wa mpira kwani alikuwepo kwenye kamati ya Maandalizi Michuano ya Afrika kwa Vijana chini ya umri wa miaka 17 iliyofanyika nchini mwaka 2019✍️

Kabla ya kujiunga nasi kajula alikuwa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Masoko na Mawasiliano ya EAG Group tangu 2013 mpaka sasa✍️

Kajula ni mbobevu wa masuala ya Masoko na Mawasiliano na amaefanya kazi na Makampuni mbali mbali na mabenk ndani ya nje ya nchi✍️

Miongoni mwa kazi alizofanya mpaka sasa✍️

-Mkuu wa kitengo cha masoko na Mawasiliano NMB (2006-2013)✍️

-Mkurugenzi wa Masoko na Maendeleo ya Biashara wa Bank ya Posta(2003-2006)✍️

-Meneja Masoko wa CRDB(1999-2003)✍️

Akiwa EAG Group Kajula alikuwa sehemu ya Maandalizi ya Wiki Ya Simba Mpaka kilele chake (Simba Day) ambapo Kampuni hiyo ndiyo ilitengeneza mitandao ya kijamii ya Klabu💪
Karudisha kadi ya Yanga?
 
IMANI KAJULA NDIYE CEO WETU MPYA

uongozi wa Klabu umefikia makubaliano ya kumuajiri Ndugu Imani Kajula kuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) kwa mkataba wa miezi sita✍️

Kajula anachukua nafasi iliyoachwa na Barbara Gonzalez ambaye alijiuzulu nafasi hiyo Desemba 10/2022✍️

Kajula ni Mzoefu kwenye msuala ya uongozi wa mpira kwani alikuwepo kwenye kamati ya Maandalizi Michuano ya Afrika kwa Vijana chini ya umri wa miaka 17 iliyofanyika nchini mwaka 2019✍️

Kabla ya kujiunga nasi kajula alikuwa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Masoko na Mawasiliano ya EAG Group tangu 2013 mpaka sasa✍️

Kajula ni mbobevu wa masuala ya Masoko na Mawasiliano na amaefanya kazi na Makampuni mbali mbali na mabenk ndani ya nje ya nchi✍️

Miongoni mwa kazi alizofanya mpaka sasa✍️

-Mkuu wa kitengo cha masoko na Mawasiliano NMB (2006-2013)✍️

-Mkurugenzi wa Masoko na Maendeleo ya Biashara wa Bank ya Posta(2003-2006)✍️

-Meneja Masoko wa CRDB(1999-2003)✍️

Akiwa EAG Group Kajula alikuwa sehemu ya Maandalizi ya Wiki Ya Simba Mpaka kilele chake (Simba Day) ambapo Kampuni hiyo ndiyo ilitengeneza mitandao ya kijamii ya Klabu💪
Sawa mkuu, pamoja na CV hiyo huyu Bwaa mkubwa atachacheza namba ngapi pale Simba ili ichukue makombe naomba kufahamu.
 
Hili jambo limefanyika ki mkakati sana.
Kuelekea uchaguzi mkuu ndani ya KLABU.

Mwamedi ni Mjanja sana.
 

Attachments

  • Screenshot_20230126-152330_Instagram.jpg
    Screenshot_20230126-152330_Instagram.jpg
    164.4 KB · Views: 12
Back
Top Bottom