Njoo tulime tikiti ujikomboe

Njoo tulime tikiti ujikomboe

Jamani wale tuliokubaliana kuja shamba vikindu kesho kuanzia SAA moja asbh ntakua shamba anaetaka kuja kulipia anakaribishwa kuja mikataba itajuwepo
 
"Tengeneza hadi mil 5 kwa siku 60 tu..."

Mambo siyo rahisi kama tunavyoamishana hivyo.
 
Hayo maji utakayochimba yanatosheleza mahitaji ya heka moja mpaka unapovuna?
 
Lakini mkuu matikiti hukomaa kwa siku 60?
Maana kuna habari nimesoma inayosema kwamba matikiti yanayokomaa mapema huchukua siku 90
 
Hivi mnalimaje kwenye keyboard, unamwambia MTU heka moja unatengeneza mil 5, je vipi kuhusu garama, kulima matikiti ni garama, tuwe wahalisia usikubali kuaminishwa kwenye mitandao, nenda kwa wazoefu pale pale shambani ili ujue changamoto kabla hujakurupuka. Msifanywe misukule!!
 
Na ili tikiti likomae ni siku 75 mpaka 90 maximum. Sio siku 60, litakuwa tikiti lakini halitakuwa na sukuri.
 
Hivi mnalimaje kwenye keyboard, unamwambia MTU heka moja unatengeneza mil 5, je vipi kuhusu garama, kulima matikiti ni garama, tuwe wahalisia usikubali kuaminishwa kwenye mitandao, nenda kwa wazoefu pale pale shambani ili ujue changamoto kabla hujakurupuka. Msifanywe misukule!!
Wapo waliokuja shamba usikurupuke kuongea hata wewe karibu sisi hatuna maneno mengi vingi vitendo njoo ujionee hakuna stori hapa kazi tu wacha maneno mengi
790c788d5460b71229922771353c07ef.jpg
8b51203e865de17c61ef0b2f47e1a64f.jpg
4b15c80148f53890380ad0805272bc88.jpg
1e6f0e7146d73904e5ed77e01eaf317b.jpg
6f75151dbd5bc806de9690ab7b945377.jpg
f4ad68146d339bd65dc12a9f9d56e8f8.jpg
6417bfe9be04ab1f387fc8158a51f47b.jpg
b4b78ee0f9bc0dc15be1027939b5cc18.jpg
 
Na ili tikiti likomae ni siku 75 mpaka 90 maximum. Sio siku 60, litakuwa tikiti lakini halitakuwa na sukuri.
Sukari ya tikiti inategemea na mbegu kaka uliza sio unaongea tu ,sisi tunatumia f1 sugar queen hybrids, mbegu zipo nyingi kuna f1 sukari
 
Na ili tikiti likomae ni siku 75 mpaka 90 maximum. Sio siku 60, litakuwa tikiti lakini halitakuwa na sukuri.
Ushauri wa bure nenda dukani kaulizie hizo mbegu utaona specification zake..endekea kubisha watu wanawekeza na wanapata pesa
 
Nimevutiwa na huu uzi, ngoja nijipange. Mwaka ujao nitakutafuta mtoa mada. Shukrani sana mkuu.
 
sasa kila mtu akilima tikiti nani atanunua la mwenzake....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom