Kwa wifiakohahahaa duuh kusishi kwa shemeji yangu tena
Wapo waliokuja shamba usikurupuke kuongea hata wewe karibu sisi hatuna maneno mengi vingi vitendo njoo ujionee hakuna stori hapa kazi tu wacha maneno mengiHivi mnalimaje kwenye keyboard, unamwambia MTU heka moja unatengeneza mil 5, je vipi kuhusu garama, kulima matikiti ni garama, tuwe wahalisia usikubali kuaminishwa kwenye mitandao, nenda kwa wazoefu pale pale shambani ili ujue changamoto kabla hujakurupuka. Msifanywe misukule!!
Sukari ya tikiti inategemea na mbegu kaka uliza sio unaongea tu ,sisi tunatumia f1 sugar queen hybrids, mbegu zipo nyingi kuna f1 sukariNa ili tikiti likomae ni siku 75 mpaka 90 maximum. Sio siku 60, litakuwa tikiti lakini halitakuwa na sukuri.
VP kuhusu garama, sio ubishi mkuu, full info is needed.Ushauri wa bure nenda dukani kaulizie hizo mbegu utaona specification zake..endekea kubisha watu wanawekeza na wanapata pesa
BEI GANI,,,MAJI YAKO UMBALI GANINitakukodishia shamba ,utalima ntakushauri pia ukipenda tunatoa usimamizi wa shamba
Unabamiza sana aiseeMajadirio kwa heka moja ni 1.5