Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,334
- 7,868
Mkuu mchanganuo mzuri sana..Inaendelea...
8)Gharama ya spray tank sh 40,000/=
9)Gharama ya mbolea.
Kupandia, DAP sh 70,000 mfuko1 na kukuzia CAN sh70,000 Booster kopo2 za 1litre@12000=sh24000 TOTAL=164,000/-
8) Gharama ya vibarua +ulimaji haitazidi sh150000 mpaka kuvuna.
9)Upandaji na makisio ya matunda mazuri kwa ekari moja.
Eneo la ekari1 ina 4000sqm
Hivyo idadi ya mashimo ni 4000sqm/(2m*1m)=2000.
Idadi ya mashina kkt ekari1 kama utapanda punje2 kila shimo 2000*2=4000.
Ukifanikiwa kutunza matunda mawili makubwa katika kila shina, ekari1 utapata matunda 4000*2=8000.
Kadilio la chini kabisa la bei ya tikiti shambani ni sh1000.
TOTAL YIELD; 1000*8000= SH 8000,000/=
Fuatilia vipengele vyote vya gharama kisha DEDUCT toka kwenye total yeald utapata RETURN ya hii project.
Nyongeza;
Epuka kuspray viuatilifu mida ya asubuhi ili kujenga urafiki na nyuki ambao ndo wahusika wakuu ktk uchavishaji.
Usimwagilie maji usiku kuepuka kulowanisha majani ya tikiti yatashindwa kukauka mapema.
Karibuni kwa maswali.
cc Lizarazu etc
Ina maana haya maandalizi yote na gharama zake ni kwa heka moja tu?
.
Na vipi mtu anaetaka kufanya cultivation ya nusu heka tu vipi gharama zake zinakadiriwa kuwa kma shingap hivi kwa uzoefu wako?