Njoo tulime tikiti ujikomboe

Njoo tulime tikiti ujikomboe

Ukubwa wa shamba ni uwezo wako hata ukitaka heka 100 zipo .ilaukishatoa gharama kwa heka moja faida ni mil 5.

Bt tujadl kwanza cost, faida baadae, niambie exactly cost ya kukod heka moja kwa msimu n kama kuna chanzo cha maji karbu
 
Ngoja nidundulize kamilioni kangu nije kulima
Mazao unauzia shamba au mpaka upeleke sokoni kwa dalali
 
Hivi vitu vingi maelezo huwa marahisi mno ila kwenye kutekeleza ndio unaona suala lilivyo gumu.

Mara nyingi nafikiri hizi ideas ni nzuri ila iwekwe vizuri mchanganuo unaoeleweka sio kama mtu anakimbizwa hapana.
 
Mkuu mimi ni mtanzania. Huku Kenya nimekuja kuangalia mazingira ya kibiashara tu

Alafu mkuu huku kenya nimepokelewa vizuri sana na wenyeji. Sasa ukiniambia hivyo nahuzunika sana
Kaka haijalishi wakenya wamekupokeaje. Hatakama umepokelewa kama malaika. Ukweli hapa kwetu Tanzania wakenya hawaruhusiwi kulima pasipo na vibali maalumu.
It might be a very bitter pill to swallow.
 
Kaka haijalishi wakenya wamekupokeaje. Hatakama umepokelewa kama malaika. Ukweli hapa kwetu Tanzania wakenya hawaruhusiwi kulima pasipo na vibali maalumu.
It might be a very bitter pill to swallow.
Hata huku pia watanzania hawaruhusiwi kulima bila kibali. Kumbuka mwenzako kasema kuwa hawaruhusiwi kulima kabisa
 
Bt tujadl kwanza cost, faida baadae, niambie exactly cost ya kukod heka moja kwa msimu n kama kuna chanzo cha maji karbu
Kukodi shamba heka ni sh .80,000 tu,matikiti hayana msimu kiongozi,chanzo cha maji kipo maji yakutosha
 
Mkuu mimi ni mtanzania. Huku Kenya nimekuja kuangalia mazingira ya kibiashara tu

Alafu mkuu huku kenya nimepokelewa vizuri sana na wenyeji. Sasa ukiniambia hivyo nahuzunika sana

uliona wapi mkenya akampoke mtanzania vizuri, ukiona hivo jua kuna kitu anakitaka kwako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom