Fundi chupi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 342
- 246
Mkuu mimi ni mtanzania. Huku Kenya nimekuja kuangalia mazingira ya kibiashara tuNchi yetu haturuhusu wakenya kulima![]()
![]()
![]()
Alafu mkuu huku kenya nimepokelewa vizuri sana na wenyeji. Sasa ukiniambia hivyo nahuzunika sana