Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Asante sana mkuu,nitajitahidi.Tena Sana wakati ndo huu jitume kaka
Asante sana mkuu,nitajitahidi.Tena Sana wakati ndo huu jitume kaka
Ukianza mchakato unitaarifuAsante sana mkuu,nitajitahidi.
Wateja wa kununulia shamba unawapataje mkuu?Mmh mbona naona kama imekuwa bit exp mimi nimelima mwaka jana hapo mwasonga kigamboni, heka moja nlitumia kama million 1 tu! Na nikauza after 70 days shamba zima kwa shilling 2.8 m
Sawa mkuuUkianza mchakato unitaarifu
PamojaSawa mkuu
Mkuu kama nataka la kununua sio kukodi Napata? sh. ngapi kwa heka?Karibu tulime tikiti maji ujikimboe tengeneza hadi mil 5 kwa siku 60 tu kamafaida yakuwekeza kwenye kilimo,karibu vikindu.mawasiliano 0628910680![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hii kuishi kwa shemeji yako inakupa kiburi sana wee mtotoi feel sory for you, umeenda kenya basi unajiona umetembea duniani, i have been in more that 15 countries, sijui una nini cha kunifundisha, i know what am talking about, damn bitch
Aisee asante sana kwa ukarimu wako. Hizo ni fulsa nzuri sana. Sasa kwa mfano mtu anashamba huko kimanzichana na ardhi ya pale maji yako karibu au mbali sijui? Na je hayo matikiti yanakubali huko kimanzichana? Naomba ufafanuzi plz.Karibu tulime tikiti maji ujikimboe tengeneza hadi mil 5 kwa siku 60 tu kamafaida yakuwekeza kwenye kilimo,karibu vikindu.mawasiliano 0628910680![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ni vikindu boss unataka kukodi au kununuaAisee asante sana kwa ukarimu wako. Hizo ni fulsa nzuri sana. Sasa kwa mfano mtu anashamba huko kimanzichana na ardhi ya pale maji yako karibu au mbali sijui? Na je hayo matikiti yanakubali huko kimanzichana? Naomba ufafanuzi plz.
haipungui ndugu?Kuanzia mil 2.5
Hii kuishi kwa shemeji yako inakupa kiburi sana wee mtoto