Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,164
- 5,761
Hana na hatoleta ila atakatika na vigelegele juu siku ipite
Hana na hatoleta ila atakatika na vigelegele juu siku ipite
Hapo ndo alipo jichanganya na Kama kweli fomu ndio hii basi amekwisha!Hiyo fomu editiwa baada ya kutoa photocopy ya photocopy .Mleta mada umechemka usidhani kila mtu mjinga humu .Ushahidi wa alichokosea kiko kwenye original
Unajua kusoma vema na kuandika?
Watoto mna shida sana. Mnapenda mambo ya vyeti siyo? Haya nenda UDSM kaulize GPA aliyopiga maalim Seif ilichukua miaka mingapi kuja kuvunjwaNinashaka na elimu ya maalimu seif mbona kama chekechea au anayo degree ya Quran ataweza kusaini mikataba huyu,hapana akapumzike 77 ni babu kabisa.
Kelele za nini sasa? Nyinyi mmeweka mapingamizi pia, kwa hiyo mkiwekewa mapingamizi msilalamike; ndio mchakato wenyewe! Acheni sheria ichukue mkondo wakeHii ndio taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kwa waandishi wa habari, huku ofisa wa Tume hiyo akionekana kuwa na uso wa bashasha jambo lililoashiria kufurahia pingamizi hilo, ameendelea kusisitiza uhalali wa pingamizi jambo lililoshangaza wengi.
Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojiri .
======
View attachment 1565642
Nawe ni mjukuuNinashaka na elimu ya maalimu seif mbona kama chekechea au anayo degree ya Quran ataweza kusaini mikataba huyu,hapana akapumzike 77 ni babu kabisa.
Je, hicho kimo kwenye orodha ya mambo yanayoruhusu pingamizi?Atakuwa kawekewa pingamizi kwa kuwa katumia peni mbili za rangi tofauti.
Ukiangalia fomu ipo sawa haijakosewa. Mkurugenzi wa tume alisema alijaza Tareh 7/7 2020, hapa kwenye fomu inapnyesha wazi amejaza tarehe 7/09.
Tusubiri jibu la tume kuhusu hilo pingamizi. Natumaini haki itatendeka.
View attachment 1565612
UzeeeeeeeHii ndio taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kwa waandishi wa habari, huku ofisa wa Tume hiyo akionekana kuwa na uso wa bashasha jambo lililoashiria kufurahia pingamizi hilo, ameendelea kusisitiza uhalali wa pingamizi jambo lililoshangaza wengi.
Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojiri .
======
View attachment 1565642
Vaaa miwani kisha angalia mweziKiapo chake ametia saini 07/07/2020 ambapo tume ilikuwa bado haijatoa fomu!
Hii ndio taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kwa waandishi wa habari, huku ofisa wa Tume hiyo akionekana kuwa na uso wa bashasha jambo lililoashiria kufurahia pingamizi hilo, ameendelea kusisitiza uhalali wa pingamizi jambo lililoshangaza wengi.
Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojiri .
======
View attachment 1565642
Huu ni ujinga lakini. Kweli unaacha kumpitisha mtu kisa typing error?? Tena mtu mwenye uzpefu wa kugombea toka 1995. Ebu twendeni field tuachane na haya mambo ya pingamizi, ni ya kitoto sana. Waacheni waZanzibar wachague kiongozi wamtakaye, mmewadhurumu miaka mingi sana.
Vipi hapa Angalia letter headUkiangalia unaweza kusema ni kitu kidogo ila kisheria ni kosa kubwa sana. Wakikomaa wanaweza kumuengua Maalim Seif. Ukiangalia hata katiba ya ACT imeandikwa ACT-Wazalendo na siyo ACT Wazalendo. Angalia hii screenshot hapa nchini.
View attachment 1565674
Hapa tunapiga ramli tu. Mara kiapo kimeandikwa 7-7-2020 mwingine anasema kimeandikwa 7-9-2020. Na pia tamko la ACT kuhusu pingamizi lililoelekezwa kwa Maalim Seif lipo kiujumlajumla na halionyeshi pingamizi linahusu kitu gani!
Kuna machafuko yanataka kutengenezwa kwa nguvuHii ndio taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kwa waandishi wa habari, huku ofisa wa Tume hiyo akionekana kuwa na uso wa bashasha jambo lililoashiria kufurahia pingamizi hilo, ameendelea kusisitiza uhalali wa pingamizi jambo lililoshangaza wengi.
Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojiri .
======
View attachment 1565642