johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,085
Tundu Lissu amesema Chadema haina urafiki na CCM na hata kinachofanyika kwenye Maridhiano ni kurekebisha makosa yalifanyika awamu ya 4 ikiwemo JK kutukosesha Katiba mpya na makosa ya Awamu ya 5 ya Magufuli
Lisu amesema uungwana ni kukiri makosa na kujirekebisha ndio sababu 2020 Kamati kuu ya Chadema iliteua mgombea Urais wa Zanzibar lakini baadae Uongozi ulibatilisha na Kumuunga mkono Maalim Seif wa ACT Wazalendo
Lisu anasema Chadema kuusimamisha mgombea Urais Zanzibar ni kuibeba CCM kwa sababu Wao na ACT watagawana kura za Wapinzani ukizingatia tofauti ya kura za Ushindi Zanzibar huwa ni mdogo sana
Lisu amesisitiza Chadema haiko tayari kuibeba CCM Katika Mazingira yoyote yale
Source Star tv
Lisu amesema uungwana ni kukiri makosa na kujirekebisha ndio sababu 2020 Kamati kuu ya Chadema iliteua mgombea Urais wa Zanzibar lakini baadae Uongozi ulibatilisha na Kumuunga mkono Maalim Seif wa ACT Wazalendo
Lisu anasema Chadema kuusimamisha mgombea Urais Zanzibar ni kuibeba CCM kwa sababu Wao na ACT watagawana kura za Wapinzani ukizingatia tofauti ya kura za Ushindi Zanzibar huwa ni mdogo sana
Lisu amesisitiza Chadema haiko tayari kuibeba CCM Katika Mazingira yoyote yale
Source Star tv