Inaonaekana muapishaji,aliweka tarehe ya nyuma ili kumkwamisha SharifMbona hujaweka sababu ya pingamizi wakati ameisema wazi tarehe za kiapo ni za nyuma kabla ya kuanza zoezi? Watu wengine kama wewe hovyo kabisa.
Tuambie anatakiwa kujaza nakala ngapi??Mkuu hizo technicalities unazozungumzia wewe hebu tuoneshe hapo kwenye hicho kielelezo.
Kiapo chake ametia saini 07/07/2020 ambapo tume ilikuwa bado haijatoa fomu!
Kweli mtu anakosea hata kuandika tarehe tuKukosea tarehe ndio itunyime kumpata Rais bora.. mbona watanzania tunakua wehu kiasi hiki.
Kama terehe imekosewa inarejebishwa na mambo yanaendelea..
Kuna mamno serious ambayo kweli mtu hastahili kuwa Rais..
Kama makosa ya jinai etc
Hata deni la serena ni izushi mkubwa..
Jee hiyo fomu ww umeiyona mbona fomu iko sawa haijakosewaKweli mtu anakosea hata kuandika tarehe tu
Je Mambo makubwa ya NCH ataweza
Aisee huo ni uonevu na dhambi ya hivyo sijui inasamehekajeKuna wagombea ubunge wa ACT waliandika jina la chama kama Maalim hapo "ACT Wazalendo". Wameenguliwa kwa kutokuweka "-" yaani "ACT-Wazalendo". Naona Maalim naye hakuweka hako ka-.
Hapo sasaNinashaka na elimu ya maalimu seif mbona kama chekechea au anayo degree ya Quran ataweza kusaini mikataba huyu,hapana akapumzike 77 ni babu kabisa.
Wanasheria wa ACT kama ismail Jussa hawakuzipitia fomu zote ili kujiridhisha na usahihi wake?
Ngoja ACT watoe utetezi wao tusikie.
Umesahau ndege mjanja...unaswa kwenye nini!?Tena ukiangalia ni mgombea mwenye uzoefu aliekuwa Makamu wa Rais.
Pia Transparency naona imeandikwa TrasparencyKuna wagombea ubunge wa ACT waliandika jina la chama kama Maalim hapo "ACT Wazalendo". Wameenguliwa kwa kutokuweka "-" yaani "ACT-Wazalendo". Naona Maalim naye hakuweka hako ka-.
Hilo ni zumbukuku tu, kazi yake ni kupongeza na kuponda bila kujua anaponda nini au anapongeza niniKama Unashindwa kusoma usikomenti
Atakuwa kawekewa pingamizi kwa kuwa katumia peni mbili za rangi tofauti.Ukiangalia fomu ipo sawa haijakosewa. Mkurugenzi wa tume alisema alijaza Tareh 7/7 2020, hapa kwenye fomu inapnyesha wazi amejaza tarehe 7/09.
Tusubiri jibu la tume kuhusu hilo pingamizi. Natumaini haki itatendeka.
View attachment 1565612
Damu ya Nani imwagike kisa tumbo la mwanasiasa 😂😂?Damu imwagike kisa tarehe acheni woga na wehu nyie mcc
Kiapo chake ametia saini 07/07/2020 ambapo tume ilikuwa bado haijatoa fomu!
Pia Transparency naona imeandikwa Trasparency
Viongozi wangu wa upinzani. Mkishajua kuwa mnatafutwa kwa udi na uvumba, punguzeni sababu za shetwani kuwavamia. Naona hata mwandiko wa mwapishwaji na mwapishaji uko sawa. Fomu imejazwa pote na mtu mmoja. Wino tu wa kalamu ndio umebadilishwa (mweusi na bluu). Maalim hawezi kujaza fomu mwenyewe ili kuepusha uwezekano wa "kuuzwa"?