Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

Kuna security Doors hizi haziathiriwi na maji na moto. Hauna haja ya kuweka drill na mbao. Security doors zinakuwa fabricated na chuma kizito na kufanyiwa finishing ya hardwood.
Mlango 1 unaweza kuuziwa 1.5m mpaka 3m
 
Kuna security Doors hizi haziathiriwi na maji na moto. Hauna haja ya kuweka drill na mbao. Security doors zinakuwa fabricated na chuma kizito na kufanyiwa finishing ya hardwood.
Mlango 1 unaweza kuuziwa 1.5m mpaka 3m

Picha yake .
 
Kitu cha kwanza lazima ujuwe kuwa madhumuni ya mlango ni usalama na falagha ...kujibu.swali lako kwanza inategemea na eneo ulilopo lina mazingira ya kiusalama kwa ukubwa gani ? Uimara wa uzio wa nyumba unavizuizi ya usalama kwa ukubwa gani ? Mimi mwenyewe napenda sana mlango wa bao na kusiwe na grill nje ya mlango ila kilicho nitokea aiseee.... Acha tu niendelee kuiheshimu grill kwa haya mazingira yetu ya uswazi ?
 
1. Mlango wa mbele ni mkubwa

2. Sipendi kuweka mlango wa mbao halafu kwa nje niweke grill naona kama ni uchafu, halafu unauondolea thamani mlango wa mbao, ambao ni lazima uwe mkali

3. Sometimes nafikiria milango ya chuma, ile steel security door. Ina show nzuri sana, Lakini vipi kutu na makelele ya funga-fungua?

4. Sometimes nafikiria kwa mbele niweke mlango wa mbao mkubwa halafu kwa ndani niweke zile grills za kufunguka pembeni kwa kujikunja. For security purposes

View attachment 3582542

Inanitatiza, Mawazo tafadhali

 
umaskini tu kila mtu ni kibaka. unawekaje grill dirishani aha haha ulaya kwenye hayapo
Mbona China wanawekaga grili kwenye makazi yao na ni nchi ya pili tajiri?

Screenshot_20260608_161626_Facebook.jpg


Xi Jinping
 
Hivi bado kuna wezi wa kutumia fatuma??
Nilijua Jen z wame advance hata kwenye kuiba.
 
Hii post watu wanaweza his ni mlango door unaozungumziwa Kumbe ni mlango mwingine
 
Utofauti wa milango ya nyumba za kisasa masaki na nyumba za kisasa uku chamwino morogoro ni ulinzi na usalama tu uko masaki nyumba unaweza kuweka milano ya mbao tu ila nguvu ukaamishia kwenye fensi ya umeme,ukuta mkubwa,mbwa wengi,na walinz kama wamasai au watu wengine ila uku kwingine inabid ufunge vyuma mlangon na madirishan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom