Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Niulize swali lolote kuhusu wanawake

1544702541386.png
kikwenu hicho kitanda unakiitaje?
 
Ukubwa au udogo wa uume hauna maana kitandani. Ukiona mwanamke analalamikia size ya maumbile yako ni kwamba haumridhishi. Kuwa mtundu zaidi kitandani. Umepewa vidole, ulimi, midomo na dudu. Vitumie vyote. Soma kwenye mitandao mambo hayo Siku hizi yameandikwa kila mahali
Hiii ww umesema uulizwe alafu unamwambia akasome mitandaoni
 
Sio mtu wa kwenda zahanati, ametibiwa hospitali kubwa kama 4 hv za hapa dar
Shida sio ukubwa wa hospital shida ni je amekutana na mtaalamu sahihi wa tatizo lake??

Aende kwa gynaecologist wafanye culture ya hizo fluid za huko ukeni wajue what type of microorganism yupo responsible na hiyo condition .

Au ikiwezekana aende na partner wake hospital maana husband anaweza akawa carrier wa ugonjwa hivyo bila kutibu wote wawili bado tatizo litabakia pale pale
 
2.Wanawake wote bila kujua urefu wa mzunguko wao yai linapevuka siku 14, kabla ya hedhi inayofuata. Muulize hedhi yake anaingia lini, then hesabu siku 14 kabla ya hiyo tarehe. Siku hiyo piga gemu. Anachance ya kupata ujauzito kwa asilimia 80 kama ana umri chini ya miaka 30

Kwa bahati mbaya hanaga tarehe maalum
Piga show mwezi mzima, vipi wewe? Una ulemavu gani?
 
Ni kipi mwanamke anaweza kuvumilia kati ya maumivu ya mwili na maumivu ya nafsi.

Maelezo pia utoe (usiseme tu mwili au nafsi)
 
Back
Top Bottom