Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Papa Mobimba mimi swali langu ni kuwa "NI KWELI KWAMBA MWANAMKE AMBAYE KATOLEWA UBIKIRA SIKU CHACHE NA AKAWA UKE WAKE HAUJATANUKA VIZURI HAWEZI STAILI ZINGINE KAMA MBUZI KAGOMA,KIFUDIFUDI?

BADALA YAKE ETI ANNAWEZA KIFO CHA MENDE TUUU,JE NI KWELI HILO??
 
Kwann inasemakana kuna wanawake wa mkkoa fulan fula huwa hawawez kusquirt!hii inaukweli wowote?na nn kifanyike ili tuweze kufika wote vileleni jaman!?😊
au ni uongo tu na fitna..huenda wanaume ndo wanashindwa kujua wapi zilipo hisia zao😔
Sio kile mwanamke anapofika kileleni anasquirt
 
sasa wengine wanafikaje mkuu
Kilele na kusquirt ni vitu viwili tofauti kabila. Kwa kifupi ni hivi kuna wanawake ambao wanafika kileleni na kumwaga maji hiyo ndio inaitwa squirting na kuna wengine hawana uwezo huo wa kumwaga maji kwenye kama bomba
 
Back
Top Bottom