Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Kwann wengi wao uitamani sana ndoa hata Kwa kumuomba Mungu kushinda makanisani,wakishaipata ndoa na watoto uanza tena chokochoko za kuibomoa tena ndoa Kwa kiburi,dharau,majivuni,nk ndoa ikivunjika uanza kujutia tena maamuzi yao
 
😋😋 endelea kuwa wet tupo huku nje tuna subiria
Mtaalam katuambia tusitumia nguvu tusubiri tu huku nje maana hapo ni kuteleza tu!
Great-Hunting-Dogs-IV.jpg
 
Wanawake imara sana katika kulea na kujeng familia. Lakini pia wana mapungufu mengine ambaayo ni aghalabu kutokea kwa mwanaume.Mapungufu hayo ni kama
1. Kukosa usiri. Wanawake wengi sio watu wa kutunza siri. Wanaweza kutoa siri za familia kwa mtu ambaye hana msaada sana. Mfano ni rahsi mwanamke kumuelezea shoshti wake kama mmewe ana upungufu wa nguvu.
2.Kutumia hisia zaidi kuliko akili. Maamuzi ya wanawake wengi yanafuata hisia zaidi kuliko akili.
3.Wivu.
4.Matarijio ya uongo. ni rahsi sana wanawake kuamini wanayo ambiwa , kuona kwenye tv. kama umewahi kusikai mapenzi ya kwenye tamthilia yalianzia kwa wanawake. WENGI HAWAISHI KATIKA UHALISIA
Tumia kwa usahihi neno aghalabu
 
Kwann wengi wao uitamani sana ndoa hata Kwa kumuomba Mungu kushinda makanisani,wakishaipata ndoa na watoto uanza tena chokochoko za kuibomoa tena ndoa Kwa kiburi,dharau,majivuni,nk ndoa ikivunjika uanza kujutia tena maamuzi yao
Level ya maturity ya wana ndoa ni muhimu sana katika uhai wa ndoa. Lakini pia family upbringing, ushauri wa marafiki na kuiga ni mambo yanaweza kufanya ndoa iendelee kuishi au kusambaritika
 
Back
Top Bottom