Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,407
Hahaha labda anayejibu ni gynaecologistMaswali ya humu yamenichekesha hata anaye jibu hayo maswali hana papuchi majibu mengi ni kamba tu. Aliponichosha eti wanawake ni dhaifu kisa kaaminishwa na jamii yake.