Niulize swali lolote kuhusu Anatomy

Niulize swali lolote kuhusu Anatomy

BTW namm,,nipite tu kwakuuliza haya ...

Kwann wakati wa baridi MTU anapauka ngozi ??

Kwann ukiwa namafua hata radha ya chakula huipati ???.


...siku ya kwanza kuona Cadaver ,ulijisikiaje ????
 
What is meaning of pyramidal decussation stroke

Sent using Jamii Forums mobile app
Sroke ambayo inatikea kwenye medula sehemu inayojulikana kama pyramid ambpo inatokea crossing over ya neurons kwenda upande mwengine wa mwili.
Sifa kuu ya aina hii ya stroke ni kwamba patient atakuwa quadriplegic instead of hemiplegic.

Sent from my Huawei mate 9
 
Nyuzi km izi nimara chache kuwapata waschana wahumu JF !!.


BTW namm,,nipite tu kwakuuliza haya ...

Kwann wakati wa baridi MTU anapauka ngozi ??

Kwann ukiwa namafua hata radha ya chakula huipati ???.


...siku ya kwanza kuona Cadaver ,ulijisikiaje ????
Mkuu mbona unajibu wengine Mimi hunijibu ?? Nyie watu wa muhas mnajiona eeehhh.[emoji35]
 
Unaifanya mada iwe ya kuboa aisee

Toa swali lako syo utake akutafsirie tena kwa kiswahili

Vitu tunasoma kwa lugha ya malkia alafu ww unataka upewe tafsiri
 
1. What's the clinical significance of inguinal canal, and what are its anatomical landmarks?

2. Nipe brief anatomy ya Cow

3. Na je can anatomy influence physiology of an individual, if yes how?

Clinical siginificance of inguinal canal
It acts like a passage for
1.Round ligament of the uterus.
2.Spermatic cord
3.Blood vessels and nerves
4 .Psoas
The most important thing about inguinal canal is that its the weakest point in the abdominal wall its the site where hernias can occur.
Anatomical randmarks
Postriolly... transverse fascia
Anterior ... external oblique aponeurosis
Floor.... inguinal ligament

Ni kweli anatomy ina influence physiology mfano chukulia kwenye moyo kuna transposition of great vessels badala ya normal positions ya zile great vessels hapo physiology itakuwa tofauti kabisa.
Sent from my Huawei mate 9
 
1.Chemikali ambazo zinatolewa na bacteria waliopo mwili ambao wamesababisha homa zinafanya hypothalamus (ambayo ni kama thermostat kwenye mwili ihisi kwamba mwili unasikia baridi) kumbe wakati huo mwili upo na joto la kawaida kabisa au limezidi,so kinachofanyika ni mwili kujaribu kutafuta njia za kuongeza joto mwilini kama kutetemeka,kukaa juani au kuota moto kitu ambacho kitaongeza joto zaidi.
In short ni kwamba mtu anasikia baridi ambayo haipo.

Sent from my Huawei mate 9

Sijaridhika na hili jibu
Rudi kwenye kanuni za kiphysics za Thermoenergy ujibu swali vizuri
 
Kwa nn Mtu mwenye Group A– akipewa damu na mtu mwenye group A+ kuna reactn inatokea

Sent using Jamii Forums mobile app
Reaction inatokea kwasababu mtu mwenye A- anakuwa na antibodies against A+ hivyo damu ya mtu mwenye A+ikiingia kwenye mwili wa mtu mwenye A- itaonekana kama adui kwahiyo itashambuliwa.
Inshort ni kwamba mtu yeyote mwenye -ve anakiwa na antibodies against +Ve iwe kwa A au B type.

Sent from my Huawei mate 9
 
Nyuzi km izi nimara chache kuwapata waschana wahumu JF !!.


BTW namm,,nipite tu kwakuuliza haya ...

Kwann wakati wa baridi MTU anapauka ngozi ??

Kwann ukiwa namafua hata radha ya chakula huipati ???.


...siku ya kwanza kuona Cadaver ,ulijisikiaje ????
Nitakujibu hayo maswali mkuu

Sent from my Huawei mate 9
 
Sijaridhika na hili jibu
Rudi kwenye kanuni za kiphysics za Thermoenergy ujibu swali vizuri

Tufafanulie kidogo basi hizo kanuni za thermoenergy Mkuu.

Sent from my Huawei mate 9
 
Whats the essence of reading different triangles of the neck while the neck is one? Describe the triangles.
Umuhimu wa kugawa neck katika triangles ni kwamba itasidia kuonesha precise location kama mtu akipata shida hapo kwenye shingoni pia itasaidia communication among doctors kama ilivyo kwa classification ya viumbe hai, tukisema tuanze kuzi describe hizo triangle zote moja baada ya nyingine hapa siju kama patatosha

Sent from my Huawei mate 9
 
Back
Top Bottom