Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 29,124
- 93,247
BTW namm,,nipite tu kwakuuliza haya ...
Kwann wakati wa baridi MTU anapauka ngozi ??
Kwann ukiwa namafua hata radha ya chakula huipati ???.
...siku ya kwanza kuona Cadaver ,ulijisikiaje ????
Kwann wakati wa baridi MTU anapauka ngozi ??
Kwann ukiwa namafua hata radha ya chakula huipati ???.
...siku ya kwanza kuona Cadaver ,ulijisikiaje ????