Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,313
- 46,825
Bora Physiology aisee..Anatomy mixer na kukariri basi balaa tupu.[emoji23][emoji23]daah , anatomy and physiology hizi Mambo zilinitesa Sana chuoni
Bora Physiology aisee..Anatomy mixer na kukariri basi balaa tupu.[emoji23][emoji23]daah , anatomy and physiology hizi Mambo zilinitesa Sana chuoni
Kama hujui anatomy phtsiology utaona uchawi tu aiseeBora Physiology aisee..Anatomy mixer na kukariri basi balaa tupu.
Sidhani mzee..Anatomy basic tu ukiijua Physiology unasoma fresh tu..na wakati wa kusoma physiology muda mwingine ndo unaielewa na anatomy vizuri.Kama hujui anatomy phtsiology utaona uchawi tu aisee
Karibu MkuuNoma sana
Asante MkuuUkiona uzi umeanza na neno niulize lolote kuhusu....
Hua nnaheshimu sana
Anyway fresh sana blood
Pole mkuu,anatomy ni rahisi sana ukiwa unaelewa na sio kukariri[emoji23][emoji23]daah , anatomy and physiology hizi Mambo zilinitesa Sana chuoni
Nikweli ila inategemeana na mtu aliekufundisha pia.Pole mkuu,anatomy ni rahisi sana ukiwa unaelewa na sio kukariri
Mkuu kwanza Hongera sana..unaijua fani yako kwa kiwango cha ajabu sanaPole mkuu,anatomy ni rahisi sana ukiwa unaelewa na sio kukariri
Karibu mkuu,na shukrani piaSubscribed
Asante sana mkuu.Mkuu kwanza Hongera sana..unaijua fani yako kwa kiwango cha ajabu sana
pili...nimshuku fungi na carcinoma kama sijakosea walikua wanajazia jazia
swali langu kimsingi lipo nje kabisa..naomba sana unijibu..
1. Hiyo fani kuisoma inahitaji IQ kubwa sana? maana naona ni ngumu na ww uko deep sana
2.kwa kuilewa anatomy ulishawahi kuwaza kwamba alieutengeneza mwili wa binadamu ni lazima awe na akili isio ya kikawaida...maana ni very complicated.
?
Ushauri wangu kama unataka kujifunza kutu,usimeze slides,au pamphlets,SOMA VITABU VINGI,ANGALIA VIDEO ZA LECTURES YOUTUBE, TUMIA GOOGLE,elimu imekuwa rahisi sana kutokana na kuimalika kwa teknolojia.Nikweli ila inategemeana na mtu aliekufundisha pia.
Mpiga nyeto anaweza kuendelea kipiga nyeto hadi anazeeka na dushe litakuwa linasimama vizuri tu kila anapotaka kupiga nyeto..Swali langu lipo kwenye mboo, tunaambiwa wanapiga nyeto Wana hatari ya kupoteza uwezo wa kuisimamisha hiyo inakuwaje maana naona hiki kiungo ni mikusanyiko wa misuli na mishipa ya damu, jaribu kutuelezea kwa mtazamo wa anatomy
Sidhani mzee..Anatomy basic tu ukiijua Physiology unasoma fresh tu..na wakati wa kusoma physiology muda mwingine ndo unaielewa na anatomy vizuri.
Mimi physiology nilikuwa nateleza tu,ila anatomy ile kukariri kariri ilikuwa inashosha aisee..
Phantom Sensation/PainMbona nimekujibu vizuri tu mkuu.
Ishu iko hivi ukishika moto ubongo unakuambia umeshika moto,ukishika barafu vivyo hivyo...hayo yote yanatokea sababu ubongo umepelekewa taarifa kutoka hiyo sehemu yenye moto au barafu.
Kinachotokea kwa mtu mwenye homa ni kwamba zile taarifa zinazopelekwa kwenye ubongo zinatafsiriwa kama "Mwili una baridi" kumbe uhalisia ni mwili una joto.
Na ukumbuke kwamba ubongo utakavyo tafsiri hisia yoyote hata kama ni uongo ndivyo jinsi mwili mzima utakavyoielewa.
Ndiyo maana unaweza kukuta mtu amekatwa mkono kwenye kiwiko halafu akaja akakwambia vidole vya ule mkono vinauma wakati hata vidole vyenyewe havipo.
Asante mkuu kwa majibu mazuri umemaliza kila kituMpiga nyeto anaweza kuendelea kipiga nyeto hadi anazeeka na dushe litakuwa linasimama vizuri tu kila anapotaka kupiga nyeto..
Kushindwa kusimamisha anapokutana na mwanamke kunasababishwa na ubongo wake tu(psychological effect)...taarifa kutoka kwenye ubongo kushindwa kufanya damu kujaa kwenye uume vizuri.
Physiology nyanya kwangu kisanga ilikua pathology..[emoji16]