Emar
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 1,789
- 2,903
sisi wasakatonge tunasubr majibu1)Kwa nini binadamu akiumwa homa anajiskia baridi ila ukimgusa mwilini ni wa moto inasababishwa na nini..??
2)Kwa nini virusi vya ukimwi vikingia kwnye mwili wa binadamu vinaenda moja kwa moja kukaa kwnye DNA.??
3) Kwa nini inakuwa vigumu kuviuwa virusi vya ukimwi vikiwa kwnye DNA.??
4)Kwa nini Binadamu akienda chooni kujisaidia haja kubwa lazima haja ndogo itoke kwa nini.??
5)Kwa nini binadamu akila chakula lazima abeuwe kubeuwa inasababishwa na nini..??
6)Kwa nini magroup ya damu yametofautiana...??
NB:nimekuliza maswali marahisi sana nataka nijue je ww kweli ni mtu wa medicine afu ndo tuje sasa kwnye maswali ya kibabe ya medicine..
Sent using Jamii Forums mobile app