careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,655
- Thread starter
- #81
Siyo vizuriHivyo virungu vya uzidi vitamuua.bora virungu vya kwenye magoti ili akose nguvu ya kwenda vilabuni
Au unaonaje!
Siyo vizuriHivyo virungu vya uzidi vitamuua.bora virungu vya kwenye magoti ili akose nguvu ya kwenda vilabuni
Au unaonaje!
Unaweza kunywa bia moja tu tena na chakula inakua poa sana. Kwa mfano bia, ugali, nyama choma na kachumbari.Kunywa Bia 1?
Hapo unakunywa bia au unasafisha koromeo tu mkuu?
Yaan nikishakula nashushia bia moja hlf naona niongeze ya pili nichangamshe kichwa hlf naona tena haijakolea naongeza ya tatu najiona angalau imeanza kukolea naamua ya mwisho aah mwisho nasema sa nakunywa ili nileww au niumize kichwa? Weita hebu ongeza tatu hapa ninywe nisepe lolUnaweza kunywa bia moja tu tena na chakula inakua poa sana. Kwa mfano bia, ugali, nyama choma na kachumbari.
Yani anaakili mbaya sana.😁😁sijui huko vilabuni kuna kuwaga na totozi za maana !!!Neno vilabuni huwa linanichekesha sana!😂Yeye ikishafika jioni ni kuwaza tu vilabu vya pombe!😅
Hapana bia 1 hio hua tunasafishia glass mkuu.Unaweza kunywa bia moja tu tena na chakula inakua poa sana. Kwa mfano bia, ugali, nyama choma na kachumbari.
Hapa ndipo tunatofaitiana, wengine wanachanganya bia na konyagi ili walewe. Bila kufikiria madhara kwenye ini.Hapana bia 1 hio hua tunasafishia glass mkuu.
Sijaelewa hataSiku Wakivunja Speaker
Hutarudia Pombe!!
Walevi konki hua wanaulizana kwani unataka ufe na ini zako zikiwa nzima ili ukazifanyie nini?Hapa ndipo tunatofaitiana, wengine wanachanganya bia na konyagi ili walewe. Bila kufikiria madhara kwenye ini.
Bahati nzuri ukiumwa matibabu unajigharimia mwenyewe. Matajiri wanaweza kununua ini India. Apeche alolo tunakulia ubwabwa na kusema RIP.Walevi konki hua wanaulizana kwani unataka ufe na ini zako zikiwa nzima ili ukazifanyie nini?
Hebu weka wazi, unajutia nini? Kupoteza hela? Imefanya dhambi? Unajutia nini hasa?Mwenzenu nikinywa pombe usiku asubuhi najuta sana najuta kwanini nilikunywa lakini huwa sifanyi kibaya kwa maana nikishajiona nimelewa tu huwa natoroka narudi kulala ila majuto yake ni makubwa sana lakini cha kushangaza nashindwa kuacha naeza nikakaa nikapata kiu nikanywa halafu tena baadaye najuta.
Kwa mliofanikiwa kuacha mlifanyaje?
Na baada ya muda na wao wanakuja kuimbiwa Parapanda kama kawa.Bahati nzuri ukiumwa matibabu unajigharimia mwenyewe. Matajiri wanaweza kununua ini India. Apeche alolo tunakulia ubwabwa na kusema RIP.
Hapo sasaNa baada ya muda na wao wanakuja kuimbiwa Parapanda kama kawa.
Au wenyewe hua wanaishi milele?
Hela mkuuHebu weka wazi, unajutia nini? Kupoteza hela? Imefanya dhambi? Unajutia nini hasa?
Kufa kupo tu na kila kifo kina sababu yake..kuna wanaokufa na kansa na kuna wanaokufa na maleria..hapa dunian tunatafuta ahuen ya maisha kabla ya kufa ndo tunajikuta tumetumbukia hukoBahati nzuri ukiumwa matibabu unajigharimia mwenyewe. Matajiri wanaweza kununua ini India. Apeche alolo tunakulia ubwabwa na kusema RIP.
Afya ni asset isiyo nunulika lakini inatunzika. Ukiilinda afya yako utaweza kupigana na maisha na uzeeni uishi bila stress.Kufa kupo tu na kila kifo kina sababu yake..kuna wanaokufa na kansa na kuna wanaokufa na maleria..hapa dunian tunatafuta ahuen ya maisha kabla ya kufa ndo tunajikuta tumetumbukia huko
Kaka umeongea kihekima zaidi si kiuhalisia, kuacha mazoea si pombe tu inahitaji jitihada sana, kwani kuna vitu vingine ninachangia hayo mazoea, so si rahisiUkiamua kuacha pombe unaaacha vizuri tu,ujue mambo mengi tunayoyafanya ni kujiendekeza,ukijinedekeza kufanya jambo flani inakujengea mazoeza na hali ya kutamani kufanya!! Kuna mtu alikuwa kila msosi lazima ashushie na soda yaani hawezi kupiga msosi bila soda pembeni lakini kwasasa kashaacha fresh tu! Weka dhamira kwamba kwasasa sitaki kunywa pombe na pia epuka vitu vinayokufanya utamamani pombe.
We kachumbari huwa Inaongeza kiu 🙆Unaweza kunywa bia moja tu tena na chakula inakua poa sana. Kwa mfano bia, ugali, nyama choma na kachumbari.