Ushauri mzuri sanaKweli ni mtihani mgumu Sana,hata wakawepo wengine wakidai Kuna dawa ya kuacha kitu ambacho Mimi siafiki.Nilitumia Sana pombe kipindi kirefu hatua niliyofikia mwenyewe niliamini siwezi Tena kuiacha,ilitokea siku moja katika tafakuri ya kina nilijihoji binafsi nimefaidika na Nini kwa unywaji was pombe na nimepata hasara gani?kweli kuanzia hapo niliichukia pombe na kuisema Sana Tena kuisema vibaya hatimaye nilitangaza Vita na hata kuishinda.Imani yangu kubwa no kwamba Mungu ndiyo aliniwezesha kuishinda,hivyo kitendo Cha wewe kuichukia no mwanzo mzuri was kuiacha mwombe Mungu atakuvusha
Kuamua ni vigumuHili ni janga kwa Sasa Cha muhimu amua toka moyoni utafanikiwa tu kuacha niamini mimi
Pole mkuu tutumie ushaur hapaAise iyo kitu mwenyewe Ina nitesa Sana Kwanza heal natumia nyingi nikinywa pombe najuta Sana kesho yake utakuta Sina raha kabisa hang over kibao
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Ndio mnaitwaga chapombe.Mimi naeza kunywa kuanzia asubuhi mpaka jioni na kesho nikanywa tena..yaan naweza kunywa wiki nzima bila wasiwasi..
Kumbe we ni " Ke?Nimerudi kwenye bia sasa zaman nilikua nakunywa savana heeehee we acha tu
Ahaaahaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]We kachumbari huwa Inaongeza kiu [emoji134]
Kunywa siku ambayo unajua kesho hauendi kaziniYaan nimeshtuka saa kumi alfajiri nikawa najuta sana kwanini nimekunywa tena? Imekuaje? Mpaka sahiz nipo kitandan hata kazin sijaenda nimesema nitafute njia leo ya kunisaidia niache kabisa
Piga kachumbari na samaki choma apo pande za Kawe beach dah una shushia na za vugu vugu kama kumi una pumua kidogo kwa 'round ya pili eti mtu ana kuambia me nina pigaga 2 au 4 🙆Ahaaahaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
Akeshe kabisa sioKunywa siku ambayo unajua kesho hauendi kazini
Kama ataona inamfaa kuliko kunywa pombe kila sikuAkeshe kabisa sio
Dah pombe inakautam kake amazingKama ataona inamfaa kuliko kunywa pombe kila siku
Sasa kwann unataka kuacha vitu vya maana Mkuu?Bahati mbaya silewi kiasi cha kutojielewa..huwa nikiona hiki kiwango nazidiwa natoroka naenda nyumbani
Raha ya pombe ni kuinywa mara moja au mbili tu kwa wiki. Ukikaa muda mrefu bila kunywa ndio inakuwa na ladha madhubutiDah pombe inakautam kake amazing
Hebu jaribu basi kuileta hiyo imani yako katika uhalisia wa maisha wote tuweze kwenda sawa,kwa sababu hapo maelezo ni kana kwamba unatuambia kuwa ili mtu aache addition lazima awe mkristo kinyume na hivyo haiwezekani. Hebu fafanua maana unajua humu watu tuna mitazamo tofauti na tunaitizama dunia tofauti kutokana na hizo tofauti za mitazamo.Kuna kitu kinaitwa 'relapse'. Hao walioacha kwa jitihada zao most likely in the future watarudi kulekule walikotoka. The only way ya kuacha permanently ni kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi. Yeye pekee ndiye alikufa kwa ajili ya maovu ya wanadamu.
Ni kweli inahitaji jitihada kama watu wanaacha NGADA ambapo ni kazi sana kuliko vitu vyote kuacha lakini wanaacha ndio itakuwa pombe ambayo haina alosto yeyote?Kaka umeongea kihekima zaidi si kiuhalisia, kuacha mazoea si pombe tu inahitaji jitihada sana, kwani kuna vitu vingine ninachangia hayo mazoea, so si rahisi