Nitumie njia gani niisahau pombe?

Nitumie njia gani niisahau pombe?

careenjibebe

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2020
Posts
1,604
Reaction score
1,655
Mwenzenu nikinywa pombe usiku asubuhi najuta sana najuta kwanini nilikunywa lakini huwa sifanyi kibaya kwa maana nikishajiona nimelewa tu huwa natoroka narudi kulala ila majuto yake ni makubwa sana lakini cha kushangaza nashindwa kuacha naeza nikakaa nikapata kiu nikanywa halafu tena baadaye najuta.

Kwa mliofanikiwa kuacha mlifanyaje?
 
Hapo tuu upo kwenye majuto kutokana na pombe za Jana,kama umezoea kunywa mda flani tafuta kitu kingine cha kufanya kwa mda huo
Yaan nimeshtuka saa kumi alfajiri nikawa najuta sana kwanini nimekunywa tena? Imekuaje? Mpaka sahiz nipo kitandan hata kazin sijaenda nimesema nitafute njia leo ya kunisaidia niache kabisa
 
Dah! Daktar wa aina gan sasa? Wa maginjwa ya akili au?
Hahahh Daktari wa kawaida tuu
Unajua kuacha kipekeako pekeako ni ngumu sana lazima upate msaada wa kitaalamu Nenda hospital mkuu
Screenshot_2020-12-14-08-03-13-1.jpg
 
Ni maajabu gani yanayokukutaga ukilewa mpka unafikia kujuta??tuanzie hapo maana inawezekana ukawa unatuchosha tu bila kujua ni nini kinachokufana ujute.
Ukilewa unabaka,unatuka na,unapiga,unaibiwa,unafanyaje hasa mkuu
 
Mwenzenu nikinywa pombe usiku asubuhi najuta sana najuta kwanini nilikunywa...lakini huwa sifanyi kibaya kwa maana nikishajiona nimelewa tu huwa natoroka narudi kulala ila majuto yake ni makubwa sana...

Lakini chakushangaza nashindwa kuacha...naeza nikakaa nikapata kiu nikanywa hlf tena baadae najutaaa.

Kwa mliofanikiwa kuacha mlifanyaje?
hyo simpo sana nitafute nikupe namba ukanunue dawa ya kuacha pombe na sigara
 
Ni maajabu gani yanayokukutaga ukilewa mpka unafikia kujuta??tuanzie hapo maana inawezekana ukawa unatuchosha tu bila kujua ni nini kinachokufana ujute.
Ukilewa unabaka,unatuka na,unapiga,unaibiwa,unafanyaje hasa mkuu
Kwanza natumia hela kinyume na malengo hlf siwez kusali tena..najut sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom