careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,655
- Thread starter
- #61
Haahaaa hili nalo neno !Unawaambia naumwa macho!! Nimeshauliwa nivae GOGOZI kuzuia mwanga wa taa na jua.
Haahaaa hili nalo neno !Unawaambia naumwa macho!! Nimeshauliwa nivae GOGOZI kuzuia mwanga wa taa na jua.
Kivp?
Shukran mkuu! Lakn sasa ndo hayo mambo ya kutapika au?Pole Sana mkuu ila ungekuwa Kigoma Kuna dawa Mama mmoja anatoa unachanganya na pombe unakunywa Wengi wameacha kabisa na walikuw ma amada wazuri kuliko wew..
Mimi naeza kunywa kuanzia asubuhi mpaka jioni na kesho nikanywa tena..yaan naweza kunywa wiki nzima bila wasiwasi..hujanywa na kushiba, toa siku moja unywe mpaka ushibe. Nadhani yatakayokukuta baadae utaamua kuacha.
Ntachelewa kutafuta maisha..naiman sijafikia hukoTafuta sober house uende
Ar u sure?Try me[emoji38]
Lazima kunywa usahau, try me if you dare
Atakua ameliwa jicho huyoKama hulewi chakari,hutukani watu,hupigi watu,etc huwa unajutia kitu gani sasa?Yaani unakunywa zako pombe kisha unaenda zako nyumbani kirohoo safi kabisa halafu unajuta tena?Huwa unajutia nini?
Ngoja tujaribu ndugu yangu sema mm kidogo naweza kujicontroll ata weekDoh! Mkuu angalau tupunguze tu
Mkuu siyo kweli...nimeshajaribu sana kuacha nashindwaNi kujiendekeza tu
Hakuna haja ya kutapika unakunywa kidogo tu..Shukran mkuu! Lakn sasa ndo hayo mambo ya kutapika au?
Acha ujinga bas..hata hilo jicho ni starehe tu kama starehe nyingine kama unataka na wewe kaliwe nyau weAtakua ameliwa jicho huyo
Mkuu nakuja inboxHakuna haja ya kutapika unakunywa kidogo tu..
Anngalau wewe mie sikumbuki kukaa wikiNgoja tujaribu ndugu yangu sema mm kidogo naweza kujicontroll ata week
PowaaMkuu nakuja inbox
Hivyo virungu vya uzidi vitamuua.bora virungu vya kwenye magoti ili akose nguvu ya kwenda vilabuniPia tumpige virungu vya utosini!
Neno vilabuni huwa linanichekesha sana!😂Yeye ikishafika jioni ni kuwaza tu vilabu vya pombe!😅Hivyo virungu vya uzidi vitamuua.bora virungu vya kwenye magoti ili akose nguvu ya kwenda vilabuni
Au unaonaje!
Kunywa Bia 1?Pombe si kitu kibaya ila binadamu wanaitumia vibaya. Pombe inaburudisha baada ya kazi ngumu. Raha ya pombe ni kunywa kiasi kidogo tu. Kama ni bia, moja au mbili zinatosha. Unasikiaje raha baada ya bia 5 au 7?
Mwanzo wa Wazungu kuanzisha Public Houses au Pubs ilikuwa ni sehemu ya wanaume kukutana na kubadilisha a mawazo. Kutokana na hali ya uchumi wanaume wengi wa ujira wa chini walimudu bia moja au mbili.
Siku hizi watu wanakunywa benefit yote. Matokeo yake ni kuongezeka kwa magonjwa yatokanayo na Pombe.
Umenifanya nichekeKunywa Bia 1?
Hapo unakunywa bia au unasafisha koromeo tu mkuu?