Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,444
- 104,939
- Thread starter
- #181
Wengi wanadhani kwamba mwizi hadi awe ameshikilia kisu ama bunduki na kupora, huyo ndie mwizi.Kichefuchefu cha kutetea wezi na majambazi kila uchao kinazidi, tunakunywa maji mengi kuzuia kutapika, lakini inashindikana hadi tunatapika sasa.
Hivi nikuulize wewe mwenye dalili zote za kihalifu, hiyo sim card# ya simu yako mnaimiliki watu wangapi?
Mtu asemeje hadi umsapoti kuwa kadhulumiwa Kitapeli cha kiaminifu?
Ndiyo nyie mnaodai hata mwizi akikamatwa hatakiwi kuitwa mwizi, bali ni mtuhumiwa hadi atiwe hatiani na mahakama. Na mahakama inahukumu kosa ama tendo la wizi na haimuiti huyo aliyepatikana na hatia ya wizi kuwa ni mwizi. Itamfunga bila kumuita mwizi, akifika jela haitwi mwizi, bali anaitwa mfungwa.
Sasa mwizi huwa ni nani?
WaTz tumezoea blahblah za kishenzi sana na upotoshaji wa lugha kwa uwazi bila ya soni.
Kwa hiyo kumuita mtu mwenye tabia za ukwapuaji kuwa ni mwizi ni kumharibia brand!
Kweli jf linakada zote
Humu watoto wengi, na wengi hawajajua changamoto za makosa kama haya