Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,274
- 6,435
Unaweza ukamuona mtu amekukonyeza(ni ukweli kabisa) ila ukashindwa kuthibitisha kuwa huyo mtu kuwa ni kweli kakukonyeza.Sasa kama huna uthibitisho maana yake hujui ukweli wa kile unachokisema una hakika nacho kua kipo
Mimi nimedai uthibitisho kwa anayesema mungu yupo, huna uthibitisho hivyo huwezi kuthibitisha, huwezi kuthibitisha ni kwasababu ni mungu wa kufikirika tu
Ishu ni kwamba mimi naamini Mungu yupo bila ya shaka na nina sababu za kuamini,sasa wewe unataka uthibitisho kitu ambacho mie sijadai kuwa ninacho.
Juzi kati hapa kuna baba mmoja aliachiwa huru kutoka jela baada ya kukuka jela kama miaka 7 hivi kutokana na kesi ya kumbaka mwanae, alihukumiwa kifungo cha maisha ila mahakama ikaja kugundua kuwa yule mtoto aliyedai kubakwa ni kwamba alitoa ushahidi wa uongo mahakamani.