Kinachoendelea mimi na rafiki wa mke wangu baada ya mke kumueleza madhaifu ya chumbani ya kwetu

General Nguli

JF-Expert Member
Apr 22, 2022
1,116
2,285
Baada ya kuwa mbali kimajukumu... Nilipata simu pendwa ya Mama Alpha.

Mama Apha; Mume wangu siku ya Jumamosi nitaenda Dar kumfanyia Shoping ya hapa ndani.

Mimi(mume); Aah sawa usijali na je..? Utafikia wapi pa kulala baada ya mizunguko yako kumalizaka?

Mama Apha; Nitaenda kwa Shangazi yangu alieko Tabata nikamsalimie nitalala huko.

Mume(mimi); Okay basi hakuna shida safari njema mke wangu.

Ghafla Moyo wangu ukastuka na kuanza kuhisi mbona kama hii safari ni kama Ghafla na pia haiko katika mipango ya muda?

Likanijia wazo la kumtafuta rafiki yake wa karibu sanaa anaitwa Suzi Albert, kupitia Facebook. Kwa bahati iliyoje nlimpata online nakuanza kumsalimia na kuchart nae. Na rafiki yake huyu anaishi Kibaha.

Mimi; Hello shem mambo vipi?
Suzie Albert; Poa shem za miaka na ma siku mingi.
Mimi; Poa sana namshukuru Mungu naendelea vyema.
Je, Unawasiliana na rafiki yako?

Suzie Albert; Ndio nawasiliana nae na kesho amenambia atakuja mjini kwa ajili ya Shopping ya nyumbani kwake, akimaliza atafikia na kulala kwangu.

Mimi;Okay basi akifika jaribu kumdodosa story zake malengo yake na pia mipango yake na hata kuhusu mahusiano ya nje alionayo.

Suzie Albert; Sawa shem hakuna shida ila hii kazi naomba uniangalizie chochote kidogo maana si mchezo, ili nipate hata stimulation ya kujituma na kukupa kila hatua. Mimi nikatuma muamala wa 70k.

Suzan Albert; Asante shem usikae mbali na simu yako ntakujuza kila hatua. Muda ulipowadia alifika kwake mida ya saa 2 usiku. Na mimi nlimpigia simu Mama Alpha kumuuliza vipi ushafika kwa shangazi yako huko Tabata alisema ndio nishafika nimeoga na sasa niko kitandani naingia kulala. Roho iliniuma sanaaa tena mnoo.

Sikuwahi kukasirika hivi maisha yangu yote ya hii ndoa.

1. Kweli aliweza kuanika kila kitu juu ya haya mahusiano na nilithibitisha kwa maana aliyomueleza rafiki yake 80% nia ya kweli. 20% iliobakia ni chumvi nyingi na uwongo.

2. Aliweza kumwambia anakumbuka sana mahusiano yake ya nyuma maana hawakugombana na huyo mwanaume mpaka wanaachana ispokuwa ni Dini ndio iliowatenganisha na kuja kuolewa na mimi.
Mwisho waliwasiliana na Ex wake, jina Samson na alifika alipo kwa rafiki yake na kuongea nae japo hapo Suzana Albert aligoma kabisa kunambia nini kilifuata.

3. Ana mpango wa kusepa zake.
Baada ya haya yote. Kweli rafiki yake akawa ametokea kunizoea sanaa kwa kuwa ananifahamu kila kitu na kuanza kumponda rafiki yake kwangu.

Hivi sasa huyo shoga yake ameahidi kunipa penzi na kunifariji kwa hayo ambayo Mama Alpha kanifanyia. So nikirudi nyumbani nina hakika ya kupewa Penzi na shoga ake na kuliwazwa. Na mimi nimelipitisha na ntalifaidi penzi lote na sitojali chochote nukta.
 
Hivi wewe hucheat?
Em wachukulieni wanawake kama binadami kama ninyi.

Kama wao wanavyokua, wanajua mwanaume anacheat ila as long as hawajamfumania basi wanakausha.

Wewe unafonyoa vitu huko lazima ukute mabaya.

Hata leo ukaamua kumfatilia mama yako, hakyanani utamkana. Ndivyo binadamu tulivyo.

Kama anakuheshimu, anatimiza wajibu wake, kwann uanze kumtafutia sababu( maana huwezi kosa sababu) za kumuacha.
 
Baada ya kuwa mbali kimajukumu... Nilipata simu pendwa ya Mama Alpha.

Mama Apha; Mume wangu siku ya Jumamosi nitaenda Dar kumfanyia Shoping ya hapa ndani.

Mimi(mume); Aah sawa usijali na je..? Utafikia wapi pa kulala baada ya mizunguko yako kumalizaka...???

Mama Apha; Nitaenda kwa Shangazi yangu alieko Tabata nikamsalimie nitalala huko.

Mume(mimi); Okay basi hakuna shida safari njema mke wangu.

Ghafla Moyo wangu ukastuka na kuanza kuhisi mbona kama hii safari ni kama Ghafla na pia haiko katika mipango ya muda...!!!?

Likanijia wazo la kumtafuta rafiki yake wa karibu sanaa anaitwa Suzi Albert... kupitia Facebook.
Kwa bahati iliyoje nlimpata online nakuanza kumsalimia na kuchart nae. Na rafiki yake huyu anaishi Kibaha.

Mimi; Hello shem mambo vipi...???
Suzie Albert; Poa shem za miaka na ma siku mingi.
Mimi; Poa sana namshukuru Mungu naendelea vyema.
Je..? Unawasiliana na rafiki yako..???

Suzie Albert; Ndio nawasiliana nae na kesho amenambia atakuja mjini kwa ajili ya Shopping ya nyumbani kwake, akimaliza atafikia na kulala kwangu.

Mimi;Okay basi akifika jaribu kumdodosa story zake malengo yake na pia mipango yake na hata kuhusu mahusiano ya nje alionayo.

Suzie Albert; Sawa shem hakuna shida ila hii kazi naomba uniangalizie chochote kidogo maana si mchezo, ili nipate hata stimulation ya kujituma na kukupa kila hatua.
Mimi; Nikatuma muamala wa 70k.

Suzan Albert; Asante shem usikae mbali na simu yako ntakujuza kila hatua.
Muda ulipowadia alifika kwake mida ya saa 2 usiku. Na mimi nlimpigia simu Mama Alpha kumuuliza vipi ushafika kwa shangazi yako huko Tabata alisema ndio nishafika nimeoga na sasa niko kitandani naingia kulala.
Roho iliniuma sanaaa tena mnoo...
Sikuwahi kukasirika hivi maisha yangu yote ya hii ndoa.

1. Kweli aliweza kuanika kila kitu juu ya haya mahusiano na nilithibitisha kwa maana aliyomueleza rafiki yake 80% nia ya kweli
20% iliobakia ni chumvi nyingi na uwongo.

2.Aliweza kumwambia anakumbuka sana mahusiano yake ya nyuma maana hawakugombana na huyo mwanaume mpaka wanaachana ispokuwa ni Dini ndio iliowatenganisha na kuja kuolewa na mimi.
Mwisho waliwasiliana na Ex wake, jina Samson na alifika alipo kwa rafiki yake na kuongea nae japo hapo Suzana Albert aligoma kabisa kunambia nini kilifuata.

3. Ana mpango wa kusepa zake.
Baada ya haya yote. Kweli rafiki yake akawa ametokea kunizoea sanaa kwa kuwa ananifahamu kila kitu na kuanza kumponda rafiki yake kwangu.

Hivi sasa huyo shoga yake ameahidi kunipa penzi na kunifariji kwa hayo ambayo Mama Alpha kanifanyia.
So nikirudi nyumbani nina hakika ya kupewa Penzi na shoga ake na kuliwazwa... Na mimi nimelipitisha na ntalifaidi penzi lote na sitojali chochote nukta.
Kwahiyo faza huyo mwenzake unaamini ataweza kuvumilia hayo mazaifu yako ya chumbani...?
 
Hivi wewe hucheat?
Em wachukulieni wanawake kama binadami kama ninyi.

Kama wao wanavyokua, wanajua mwanaume anacheat ila as long as hawajamfumania basi wanakausha.

Wewe unafonyoa vitu huko lazima ukute mabaya.

Hata leo ukaamua kumfatilia mama yako, hakyanani utamkana. Ndivyo binadamu tulivyo.

Kama anakuheshimu, anatimiza wajibu wake, kwann uanze kumtafutia sababu( maana huwezi kosa sababu) za kumuacha.
Duuh haya maneno mazito sana .
Kama si muhenga sijui kama unaweza kuyaweka kichwani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom