Nitamuita Shujaa wa Taifa Mbunge yeyote atakayependekeza kodi kwa Wabunge

Waliotuletea DEBATE walitumaliza kabisa

Mi huwa naona mle nikama upande wa WANAO PROPOSE na wanao OPPOSE motion

Haiwezekani mbunge achangine mabadiliko ya bajeti na ushauri mwingiiii halafu anaishia na neno NAUNGA MKONO HOJA

muda wote unatoa maoni na mabadiliko ya nini kama hoja iliyoletwa unaiunga mkono

Kwanini usiseme kama A,B,C hazilekebishwi hoja iondolewwe iletwe kwa marekebisho?
 
Hivi mshahara wao ni mil 12?????

Ndio Mkuu wanakunja 12m ,haukuona yule mbunge alikuwa anawaonyesha wapiga kura wake mshahara wa kwanza kuingia kwa meseji? Pili wabunge wa sasa walioshindwa uchaguzi wa 2020 wanasema wazi kwenye mijadala mbali mbali kwamba mshahara ni 12m.
 
Wabunge wetu kama watakatwa 30% ya 15m = 4.5m

Kwa wabunge 380 ina kuwa 1.7billion kwa mwezi

Kwa mwaka ni 20.7 billion. Hii pesa inatosha kabisa kuhakikisha mama wazazi wanajifungua salama nchini na kuboresha mazingira ya afya. Hawataki nasisi hatutadai rist kutoka kwa wafanya biashara pindi tununuapo bidhaa.
 
Wabunge ilitakiwa wakatwe kati ya 20% to 25% kwa kila mapato yao.

Kwa namna hii wangekuwa na feeling ya what it take ku-earn then kabla fedha haijaungia mfukoni, TRA inakata kutoka kwenye pay yao.

Otherwise tuna watu ambao hawana hisia za nini wafanyakazi wa nchi hii wanapitia.
Tumeshapiga hesabu kama watakatwa basi kwa mwaka tutapata zaidi ya 20.7 billion - hizi tumeamua kuzipeleka kwenye zahanati zote nchini ili mama wajawazito wajifungue salama.

Wabunge ni LAZIMA wakatwe kodi kama sheria inavyotamka, Zungu upo?
 
Na nadhani tulichukue kama ajenda ya kitaifa.... Ifike mahala siasa kisiwe kicha cha watu kuchota fedha tu....

Lazima nao waone uchungu wa kodi kama ilivyo kwa watanzania wengine na tuuone unafiki wao wakianza kupinga hoja...
Kwa kuongezea tuwe na kitu specific cha kufanya kwa hizo fedha kwa kila bunge.. mfano tujenge shule, hospitali nk kwa mgawanyo sasa wa kitaifa

mafano ujenzi wa viwanja vya kisasa vya mchezo kila mwaka tungekua na uwezo wa kujenga kimoja
 
Kwa kweli wananchi wa Tanzania hasa wafanyakazi wa serikali wamesota sana kwa miaka 6 iliyopita. Kuiishi miaka yote hiyo bila kuongezewa mshahara wakati ghalama za maisha zikiendelea kupanda kwa kweli siyo mchezo.

Hapa lazima tuwapongeze hawa wafanyakazi. ingekuwa nchi za wenzetu has kama za ndugu zetu kule Bondeni naamini kabisa wangeitisha Kunji za kufa mtu. Thanks God, this is Bongoland!

Straight to the point. Naona Wabunge wetu safari hii wamekuja na mapendekezo ya Uzalendo pamoja na ile kodi ya kidogo iliyoitwa na Mh. Zungu kuwa ni ya Uzalendo, ile ya makato ya siku kila uki-recharge voucher. Ni wazo zuri, ila kwa nini hatokei Mbunge mmoja akapendekeza makato kwenye mishahara na marupurupu yao manono. Mimi nitamuita SHUJAA WA TANZANIA.

Kwanini miaka yote hii hatokei walau Chizi moja tu humo mjengoni akaja na wazo hili; kila moja wetu anajua kuwa halitakubaliwa lakini litampa ushujaa mleta hoja.
Halafu ukiishamuita shujaa?
 
Hao wabunge ni kama ma fisi, kila kinachoning'inia wanaona ni chao na hakiwahusu wengine,
Yaani inafika sehemu unaona hakuna haja ya kuwa na bunge lenyewe
Iwepo katiba tu na ikitokea shida watu watafutwe viingizi wa maeneo kama wenyeviti wakae na wananchi wao na watatue tatizo lao kupitia vikao vyao vya sehemu husika basi.
 
Wabunge wetu kama watakatwa 30% ya 15m = 4.5m
Kwa wabunge 380 ina kuwa
1.7billion kwa mwezi
Kwa mwaka ni 20.7 billion. Hii pesa inatosha kabisa
kuhakikisha mama wazazi
wanajifungua salama nchini na kuboresha mazingira ya afya. Hawataki nasisi hatutadai rist kutoka kwa wafanya biashara pindi tununuapo bidhaa.
Kwakuwa wabunge wote ni wazalendo na wamechaguliwa na wanyonge kuwaletea maendeleo sasa waanze kwa vitendo
 
Acha tu kuna Daktari Christopher Cyril ameanzisha movement ya kupinga mishahara mikubwa ya wabunge huku walimu,MD,Eng etc wakilipwa mishahara ya namba za viatu....Tumuunge Mkono mwanaharakati huyo kupigania maslahi ya watumishi wa umma.
Mitaa ya twita au wapi?
 
Kwa kweli wananchi wa Tanzania hasa wafanyakazi wa serikali wamesota sana kwa miaka 6 iliyopita. Kuiishi miaka yote hiyo bila kuongezewa mshahara wakati ghalama za maisha zikiendelea kupanda kwa kweli siyo mchezo.

Hapa lazima tuwapongeze hawa wafanyakazi. ingekuwa nchi za wenzetu has kama za ndugu zetu kule Bondeni naamini kabisa wangeitisha Kunji za kufa mtu. Thanks God, this is Bongoland!

Straight to the point. Naona Wabunge wetu safari hii wamekuja na mapendekezo ya Uzalendo pamoja na ile kodi ya kidogo iliyoitwa na Mh. Zungu kuwa ni ya Uzalendo, ile ya makato ya siku kila uki-recharge voucher. Ni wazo zuri, ila kwa nini hatokei Mbunge mmoja akapendekeza makato kwenye mishahara na marupurupu yao manono. Mimi nitamuita SHUJAA WA TANZANIA.

Kwanini miaka yote hii hatokei walau Chizi moja tu humo mjengoni akaja na wazo hili; kila moja wetu anajua kuwa halitakubaliwa lakini litampa ushujaa mleta hoja.
Well said my friend!!!

Ili wananchi wa Tanzania waelewe kuwa kweli hili Bunge letu wabunge wake ni wazalendo na wana nafasi kubwa ya kuijenga nchi yao kama inavyofanywa na watumishi wengine wa umma, wafanyabiashara na wakulima basi na kwa wao wabunge ni muda muafaka wa kuanza KULIPA KODI kutokana na mshahara na marupurupu wanayopewa.

Laa sivyo itaonekana kuwa wanaendeleza unafiki tu Bungeni.

WABUNGE WANATAKIWA WALIPE KODI!!!!!!
 
Kwa kweli wananchi wa Tanzania hasa wafanyakazi wa serikali wamesota sana kwa miaka 6 iliyopita. Kuiishi miaka yote hiyo bila kuongezewa mshahara wakati ghalama za maisha zikiendelea kupanda kwa kweli siyo mchezo.

Hapa lazima tuwapongeze hawa wafanyakazi. ingekuwa nchi za wenzetu has kama za ndugu zetu kule Bondeni naamini kabisa wangeitisha Kunji za kufa mtu. Thanks God, this is Bongoland!

Straight to the point. Naona Wabunge wetu safari hii wamekuja na mapendekezo ya Uzalendo pamoja na ile kodi ya kidogo iliyoitwa na Mh. Zungu kuwa ni ya Uzalendo, ile ya makato ya siku kila uki-recharge voucher. Ni wazo zuri, ila kwa nini hatokei Mbunge mmoja akapendekeza makato kwenye mishahara na marupurupu yao manono. Mimi nitamuita SHUJAA WA TANZANIA.

Kwanini miaka yote hii hatokei walau Chizi moja tu humo mjengoni akaja na wazo hili; kila moja wetu anajua kuwa halitakubaliwa lakini litampa ushujaa mleta hoja.
wabunge wa nchi hii ni shida tu.wanajali matumbo yao tu wala hawana huruma na wengine.wao kodi hawalipi lkn maslahi yao kila siku yanaboreshwa.watumishi ati wanadanganywa kupunguziwa kodi ya 1% hilo punguzo litamsaidia nini mtumishi.mimi natamani waingie wabunge wengi kutoka upinzani ili hawa waliopo nao waonje joto la jiwe.wananchi tuungane wakati wa kupiga kura tuwadondoshe hao wabunge dhalimu na mafisadi.
 
Mitaa ya twita au wapi?

DRCC.jpg


DRCC1.jpg


1. Mpango wa kupinga tofauti kubwa ya kipato baina ya wabunge na watumishi wa serikali (hasa walimu, madaktari na wanajeshi) utaanza kwa kusambaza jumbe, picha na video, ili kuwajulisha watumishi husika juu ya tofauti iliopo. Nitaandaa jumbe hizo kwa lugha inayotafakarisha.

2. Ifahamike, ninapinga ni utofauti wa kipato baina ya wabunge na watumishi kwa sababu malipo yao yanatokana na kodi za watanzania. Wenye mamlaka waamue kupunguza utofauti huu kwa kushusha malipo ya wabunge au kuwaongezea watumishi wengine. Wataaua wenye maamuzi. Lakini tofauti iliyopo sasa haikubaliki.

3. Sambamba na kusambaza jumbe hizo, nitaandaa 'online petition' kwa watu wote wanaoguswa waweze kutia saini. Pia nitaandika barua (nakala ngumu) kwenda kwa waziri mkuu ambaye ndo kiongozi wa shughuli za serikali bungeni kueleza jambo hili.

4. Kabla ya kuifikisha barua kwa w/mkuu, nitaisambaza kokote ninapoweza ili watumishi husika watie sahihi zao.
Hili ni zoezi endelevu lisolokoma (Continuous & endless). Mbinu ya mwisho itakuwa ni kuitisha mgomo wa watumishi kupinga tofauti hii kubwa ya mgawanyo wa kodi za watanzania.Hakuna sababu zozote za msingi za utofauti mkubwa wa malipo ya wabunge na watumishi wengine yanayotokana na kodi za wananchi. Katika nchi zinazojitambua, hili jambo halipo.


5. Nakaribisha maoni. Nitapokea yale yatakayosaidia mpango huu na kupuuza yale ya kukwamisha.
Watu wa video graphics, cartoonists na yyt anayeona anaweza kufanya kazi hii (overtly or covertly), anicheki kwa 0713933736 (whatssap and sms tu).
 
Wabunge ni wanafiki na wabinafsi sana! Inabidi wanaharakati waanzishe wao kuishinikiza serikali ipeleke muswada wa kupunguza mipunga ya ubunge maana ni kufuru ,nimeona Mwanaharakati Dr Cyril Christopher amelianzisha.

Mafao ya Mil 250 anapewa bila kukatwa(Kuchangia) aisee wabunge wametudharau sana.
Hii inshu ya mafao wanayochukua ya mil 250 ndio huwa inaniuma sana na nikiangalia jinsi vijijini watu wakiteseka na huduma mbovu za afya asee mungu atuhurumie.
 
Kwa kweli wananchi wa Tanzania hasa wafanyakazi wa serikali wamesota sana kwa miaka 6 iliyopita. Kuiishi miaka yote hiyo bila kuongezewa mshahara wakati ghalama za maisha zikiendelea kupanda kwa kweli siyo mchezo.

Hapa lazima tuwapongeze hawa wafanyakazi. ingekuwa nchi za wenzetu has kama za ndugu zetu kule Bondeni naamini kabisa wangeitisha Kunji za kufa mtu. Thanks God, this is Bongoland!

Straight to the point. Naona Wabunge wetu safari hii wamekuja na mapendekezo ya Uzalendo pamoja na ile kodi ya kidogo iliyoitwa na Mh. Zungu kuwa ni ya Uzalendo, ile ya makato ya siku kila uki-recharge voucher. Ni wazo zuri, ila kwa nini hatokei Mbunge mmoja akapendekeza makato kwenye mishahara na marupurupu yao manono. Mimi nitamuita SHUJAA WA TANZANIA.

Kwanini miaka yote hii hatokei walau Chizi moja tu humo mjengoni akaja na wazo hili; kila moja wetu anajua kuwa halitakubaliwa lakini litampa ushujaa mleta hoja.
Anza na mshahara wa Rais kwanza nao ukatwe kodi
 
Back
Top Bottom