The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,396
- 12,979
Kwa kweli wananchi wa Tanzania hasa wafanyakazi wa serikali wamesota sana kwa miaka 6 iliyopita. Kuiishi miaka yote hiyo bila kuongezewa mshahara wakati ghalama za maisha zikiendelea kupanda kwa kweli siyo mchezo.
Hapa lazima tuwapongeze hawa wafanyakazi. ingekuwa nchi za wenzetu has kama za ndugu zetu kule Bondeni naamini kabisa wangeitisha Kunji za kufa mtu. Thanks God, this is Bongoland!
Straight to the point. Naona Wabunge wetu safari hii wamekuja na mapendekezo ya Uzalendo pamoja na ile kodi ya kidogo iliyoitwa na Mh. Zungu kuwa ni ya Uzalendo, ile ya makato ya siku kila uki-recharge voucher. Ni wazo zuri, ila kwa nini hatokei Mbunge mmoja akapendekeza makato kwenye mishahara na marupurupu yao manono. Mimi nitamuita SHUJAA WA TANZANIA.
Kwanini miaka yote hii hatokei walau Chizi moja tu humo mjengoni akaja na wazo hili; kila moja wetu anajua kuwa halitakubaliwa lakini litampa ushujaa mleta hoja.
Hapa lazima tuwapongeze hawa wafanyakazi. ingekuwa nchi za wenzetu has kama za ndugu zetu kule Bondeni naamini kabisa wangeitisha Kunji za kufa mtu. Thanks God, this is Bongoland!
Straight to the point. Naona Wabunge wetu safari hii wamekuja na mapendekezo ya Uzalendo pamoja na ile kodi ya kidogo iliyoitwa na Mh. Zungu kuwa ni ya Uzalendo, ile ya makato ya siku kila uki-recharge voucher. Ni wazo zuri, ila kwa nini hatokei Mbunge mmoja akapendekeza makato kwenye mishahara na marupurupu yao manono. Mimi nitamuita SHUJAA WA TANZANIA.
Kwanini miaka yote hii hatokei walau Chizi moja tu humo mjengoni akaja na wazo hili; kila moja wetu anajua kuwa halitakubaliwa lakini litampa ushujaa mleta hoja.