Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,071
- 144,505
Kausha damu: Unawekeza mtaji wa shilingi 1,000,000, unavuna faida ya shilingi 300,000 mpaka 400,000 kwa mwezi. Nitajieni biashara nyingine kama hii.
Tunaposema hii mikopo ni kausha damu na initia watu umasikini, basi hicho ndicho kinachofanyika.
Hivi leo hii ukipewa mtaji wa shilingi 1000,000 unaweza kufanya biashara gani halali ukapata faida kama hiyo ndani ya siku 30 tena ukiwa umetulia tu unahesabu siku? Hiyo ni riba ya asilimia 30 mpaka 40 kwa mwezi na Serikali ipo na Bunge lipo.
Hatumpendi Makonda, lakini saaa tumuombe amvae Waziri wa Fedha na Viongozi wa BOT maana hii biashara ni kama imewashinda kuidhibiti kwani Makonda kwa sasa ndio anasikilizwa na kujadiliwa kwa kila atachokisema.
Uzembe umezidi ndio maana Makonda anakuwa maarufu.
Tunaposema hii mikopo ni kausha damu na initia watu umasikini, basi hicho ndicho kinachofanyika.
Hivi leo hii ukipewa mtaji wa shilingi 1000,000 unaweza kufanya biashara gani halali ukapata faida kama hiyo ndani ya siku 30 tena ukiwa umetulia tu unahesabu siku? Hiyo ni riba ya asilimia 30 mpaka 40 kwa mwezi na Serikali ipo na Bunge lipo.
Hatumpendi Makonda, lakini saaa tumuombe amvae Waziri wa Fedha na Viongozi wa BOT maana hii biashara ni kama imewashinda kuidhibiti kwani Makonda kwa sasa ndio anasikilizwa na kujadiliwa kwa kila atachokisema.
Uzembe umezidi ndio maana Makonda anakuwa maarufu.