Niruhusu nikusaidie kutatua changamoto yako kiafya

Niruhusu nikusaidie kutatua changamoto yako kiafya

Kuwa na mafua yasio isha kipindi cha baridi au mvua na chafya zisizoisha pamoja na muwasho wa kwenye macho ni nin hasa sababu
Pole ,
Hizo ni dalili za mzio au allergy,
Allergic rhinitis au allergic conjuctivatis.

Allegy ni tatizo linalotokana na overeaction ya mfumo wa kinga kwa kile kitu inachodhani sio sehemu ya mwili wake.

Pale mwili unapotengeneza kumbukumbu hiyo kuwa kitu flani sio sehemu ya mwili, kila kinapoingia mwilini mwili lazima u react.

Allergy mara nyingi ni tatizo sugu ila mwili uendelea kujicontrol kadri unavyoendelea kukua. Its severity tend to descrease.

Ila kuna dawa unaweza kuzitumia ili kupunguza frequency of attacks/occurance and its severity.

Ukipata nafasi wasiliana nami kwa mawasiliano niliyotoa kule juu.
 
Nashukuru sana dr kwa ufafanuzi mzuri na wa kitaalam, nina mwenza ambae mwaka jana alipata hyo issue,sasa tukataman kujua sababu, ili tujiandae endapo ata conceive tena, pia sorry ultrasound inaweza ikaonyesha kiumbe kwa mimba ya mwez mmoja?
Ndg swali lako huulizwa na wazazi wengi wenye shahuku ya kupata mtoto kwa sababu mbalimbali ikiwemo kuchelewa kupata mtoto kwa muda mrefu au dada aliyehaidiwa kuwa kuolewa pale apatapo ujauzito.

Ni kweli Ultrasound ni kipimo mhimu ambacho utumiwa na doctors ili kujua taarifa za ujauzito. Hata hivyo kipimo hicho ufanywa kwa kusudi maalumu kama kujua mtoto yuko viable, na ujauzito umejishikisha vyema kwenye nyumba ya uzazi au later in pregnancy unaweza kujua sex ya mtoto, au mtoto kama ana mapungufu ya kimaumbile.

Ikiwa lengo ni kijua kama mzazi ni mjamzito au la kwa siku za awali kabisa za ujauzito...urine pregnancy test (UPT) ndo investigation of choice.

Tunashauli uvumilivu kidogo mpaka week ya sita na kuendelea Ultrasound inaweza kukupa taarifa za ujauzito.

Chini ya hapo kuna mabadiliko huwa yanatokea kwenye nyumba ya uzazi ila haziwezi kuwa much informative.

Mfano, ukiwa utafanya US katika week ya 4 - unaweza kuona kitu kitaalamu tunakiita gastational sack

Week ya 5 na nusu - unaweza ona what we call gastational yolk sac

Kuanzia week ya 6 ndipo tunapoanza kuona ki-fetus katika hali ya fetal pole...na ukuaji uendelea.

Nikutakie kila lakheli ndg.

Vumilia kidogo , week ya 6 ndo nashuri anza mishe hizo za ultrasound.
 
Mimi nina shida moja,upande wa kushoto wa tumbo kwenye mbavu hua wkt flan naona panadunda,tena kwa spidi kidgo kuzid ata moyo,mara nying hua inantokes nikiwa nanjaa na kuna kipindi hua inapotea


Nna siku kama mbili mshipa wa kichwan,huu ambao uko juu ya sikio ambao nadhan mtu akikasitika hua unavimba,nausikia unadunda(sina neno lingine lakutumia) na hata nikiugusa nauona unavibrate. je jidalili ya ugonjwa au ni hali yakawaida?!?
Ok mkuu
Maelezo yako yako vague ila ntapenda kukuongoza ili kupata kujua tatizo lako ni nini hasa?

Una umri gani ?

Je kichwa kinakuuma?

Je una tatizo la presha ya juu?

Je una tatizo la macho?

Kama una issue private usiache kunicheck kwa mawasiliano niliyotoa kule juu.
 
Swali langu lingine ni kuwa nimekuwa nikisumbuliwa sana na tatizo la kichwa kwa muda mrefu sana takribani miaka 3 huwa kinanigonga sana sehemu ya nyusi(eyebrows) kuna raia walinambia ni kipanda uso nikampata mbabu mmoja hivi akasema anaweza kunitibu nikaenda akanichanja chanja na kunipaka dawa anazozijua yeye kikatulia kwa muda mafupi kama mwiezi 2 hivi kikaanza tena mikaamua kwenda hospitali wakanifanyia uchunguzi wa vipimo vya macho Wakasema sina tatizo la macho.... Kiukweli hali hii inanitesa sana na sijui nifanyeje kikianza inanibidi nilale Weee kama masaa 2_3 ndio kitulie na sana sana muda wa mchana ndio shida zaidi huwa natamani hata kusinge kuwa na mchana coz asubuhi huwa inakuwa fresh tu.naomba kujua nifanyeje nini ili niondokane na haya mateso.
Pole ndg

Watu wengi usumbuliwa na maumivu ya kichwa yatokanayo na exhaution/uchovu, kutopata usingizi na muda wa kupumzika, njaa etc.

Ila ukiona kichwa kinauma hadi unashindwa kuendelea na shughuli za maisha hapo ujue kuna tatizo na vyema kutambua tatizo ni nini ili upatiwe tiba.

Kimsingi maumivu ya kichwa is not a disease by itself ...ila ni dalili ya tatizo la afya ulilonalo.

Mbaya zaidi magonjwa mengi huweza sababisha kichwa kuuma. Hivyo dkt uhitaji kupata full medical history ili aweze kukusaidia ikiwa atabaini tatizo. Hata vivyo licha ya good medical history chronic headache sababu yake huwa haijulikani.

Ntajaribu kukusaidia kujua tatizo ,fanya tuwasiliane tushauriane very specific .
 
Shukran sana mkuu kwa ushauri mzuri na uliosheheni utaalam na ueledi wa hali ya juu, kwakuwa shida ilishatokea mwanzo basi mpk kwenye hii tumekuwa na kimuhe muhe kweli tukitamani isijitokee tena.
 
Mkuu ukipata mud usisahau kuniulizia surgery ya strabismus pale MUHIMBILI kama yafanyika kwa watu wazima.

Nitashkuru kama CCBRT pia endapo utaniulizia.
 
Shukran sana mkuu kwa ushauri mzuri na uliosheheni utaalam na ueledi wa hali ya juu, kwakuwa shida ilishatokea mwanzo basi mpk kwenye hii tumekuwa na kimuhe muhe kweli tukitamani isijitokee tena.
Bravo brother ...usisahau kutuma glass ya [emoji485]
 
Shukrani mkuu nmechukua namba yako nitakucheck WhatsApp.
Pole ndg

Watu wengi usumbuliwa na maumivu ya kichwa yatokanayo na exhaution/uchovu, kutopata usingizi na muda wa kupumzika, njaa etc.

Ila ukiona kichwa kinauma hadi unashindwa kuendelea na shughuli za maisha hapo ujue kuna tatizo na vyema kutambua tatizo ni nini ili upatiwe tiba.

Kimsingi maumivu ya kichwa is not a disease by itself ...ila ni dalili ya tatizo la afya ulilonalo.

Mbaya zaidi magonjwa mengi huweza sababisha kichwa kuuma. Hivyo dkt uhitaji kupata full medical history ili aweze kukusaidia ikiwa atabaini tatizo. Hata vivyo licha ya good medical history chronic headache sababu yake huwa haijulikani.

Ntajaribu kukusaidia kujua tatizo ,fanya tuwasiliane tushauriane very specific .
 
Pole ,
Hizo ni dalili za mzio au allergy,
Allergic rhinitis au allergic conjuctivatis.

Allegy ni tatizo linalotokana na overeaction ya mfumo wa kinga kwa kile kitu inachodhani sio sehemu ya mwili wake.

Pale mwili unapotengeneza kumbukumbu hiyo kuwa kitu flani sio sehemu ya mwili, kila kinapoingia mwilini mwili lazima u react.

Allergy mara nyingi ni tatizo sugu ila mwili uendelea kujicontrol kadri unavyoendelea kukua. Its severity tend to descrease.

Ila kuna dawa unaweza kuzitumia ili kupunguza frequency of attacks/occurance and its severity.

Ukipata nafasi wasiliana nami kwa mawasiliano niliyotoa kule juu.
Asante
 
Ndugu mungu akubariki sana kwa kujitolea kuusaidia uma, hakika Mungu yuko upande wako na nina amini kuna thawabu unazipata,
Mimi nipo kwenye fifties, nasumbuliwa na maumivu upande wa kushoto chini kidogo ya kitovu. Sometimes nikikaa sana kwenye kiti nahisi maumivu inabidi niebend upande wa kulia ili kuupa ahueni huu upande wa kushoto, pia ninaposafiri mf toka dar hadi singida inafika muda naienjeka kwa kulia hasa nikihisi maumivu upande huu wa kushoto, kama nimekaa, nikibend leftwards nahisi ka maumivu eneo hilo ila nikibend rightwards sina maumivu. Naomba msaada wako, eneo lenyewe ni maeneo ya kiuno, chini ya kitovu upande wa kushoto
 
Dokta huwa nasikia kuwa kuna baadhi ya group zadamu huwa haziendani katika kupata watoto endapo mnapokuwa mke namume au wapenzi.

Swali langu je mimi mwanaume nina group O- namwenza wangu wakike ana O+ vipi hapo kwenye kupata watoto hatuwezi Pata shida
 
Chief DM is it a curable disease o a chronic disease for which the patient has to subjected to a life long treatment...na inategemea na aina ya kisukari chenyewe...I stand to be corrected
Pole Sana. Kisukari kinatibika kwa kubadilisha kabisa mfumo/ aina ya vyakula unavyokula.
 
Kimsingi wanasema matibabu ya maradhi ya vidonda ya tumbo hutegemea uwepo wa bakteria h.pylori au kutokuwepo kwake ikiwa inamaanisha Hcl acid hypersecretion ndo ime damage gastric mucosa na kusababisha kidonda...kimsingi Kama ulivoeleza matibabu yako unatakiwa utumie antibiotics + PPI kwa wiki mbili na baada ya hapo unatakiwa kuendelea na PPI's kwa mwezi mmoja na baada ya hapo unatakiwa kufanya controll test ili kuthibitisha eradication ya helicobacter pylori...hivo ni muhimu kwenda kufanya vipimo mkuu
Ahsante kwa msaada wako,
Mwezi huu tarh 3 nilikuw nahs maumivi ya tumbo nikaenda kupima typhod na vidonda vya tumbo,typhod sikuw nayo ila wakaniambia nina bacteria pylori(vidonda) nikaandikiwa dozi na nimeimaliza sahv naendelea vzr, je nipime tena lini ili kuangalia kama hao bacteria wameisha?
 
Back
Top Bottom